Tujenge kuta za kifikra

Tujenge kuta za kifikra

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
372,756
Reaction score
863,661
Watu wa ujerumani walijikuta kwenye mtanziko mkubwa wa kuhitilafiana mitazamo, wa magharibi wakawa na mitazamo inayokinzana na wa mashariki... Wakashindwa kabisa kupatana..... Na mwisho wakaja na wazo la kujenga ukuta wa kuwatenganisha....

Ukuta ule haupo tena, ulikuja kubomolewa baada ya miaka mingi kupita lakini ni baada ya kujitambua kwamba ukuta wa mawe hauwezi kuondoa tofauti zao bali ukuta wa kifikra ukuta wa kimtazamo... Walivunja kuta hizi kwanza kabla ya kuvunja ukuta ule unaoonekana..

Waisrael wanajenga ukuta kuzunguka ukanda wa Gaza kujikinga na Wapelistina... Hii ni dhana iliyojengeka mioyoni mwao.... Kuna siku ule ukuta utavunjwa....

Trump anataka kujenga ukuta mpakani na Mexico ni dhana iliyo mawazoni mwake anataka kuifanya halisi... Atajenga sasa lakini kuna siku itafika utabomolewa.

Ukuta ni kitu kisicho na uhai.. Ukuta ni kitu kinatokana na dhana... Dhana huzaliwa hukua hubadilika na hata kufa pia.

Ni wazo jema kabisa kujenga ukuta kuzunguka machimbo ya TANZANITE kule mererani... Ni kuonyesha jinsi tulivyoguswa na wizi wa madini yetu adimu, lakini Mererani ni sehemu ndogo tu ya tatizo kubwa halafu sugu... Tutajenga kuta ngapi Tanzania nzima ?

Ukuta bila UZALENDO ni kazi bure hujuma zitaendelea bila kukoma, rushwa itatamalaki.... Ukuta kuzunguka Mererani sio suluhisho.. Watu watafanya mtobozano.. Zitachimbwa njia chini ya ardhi na biashara itafanyika kama kawa binadamu halindiki... Baki na ukuta wako na makamera yako wanaume wanapiga kazi chini ya ardhi kwa raha zao... Chini ya ukanda wa Gaza kuna njia mamia zimetobolewa kuingia Israeli.

Ukuta wa mawe hapana, tujenge ukuta wa fikra za kizalendo, huu ni ukuta imara zaidi na usio na gharama kubwa, ni ukuta usio na mtobazano... Ukuta huu si kwenye madini tu bali kwenye kila tunu na rasilimali za taifa letu tukuka.

Twendeni tukajenge sasa.....

#UKUTA#
 
Watu wa ujerumani walijikuta kwenye mtanziko mkubwa wa kuhitilafiana mitazamo, wa magharibi wakawa na mitazamo inayokinzana na wa mashariki... Wakashindwa kabisa kupatana..... Na mwisho wakaja na wazo la kujenga ukuta wa kuwatenganisha.... Ukuta ule haupo tena, ulikuja kubomolewa baada ya miaka mingi kupita lakini ni baada ya kujitambua kwamba ukuta wa mawe hauwezi kuondoa tofauti zao bali ukuta wa kifikra ukuta wa kimtazamo... Walivunja kuta hizi kwanza kabla ya kuvunja ukuta ule unaoonekana
Waisrael wanajenga ukuta kuzunguka ukanda wa Gaza kujikinga na Wapelistina... Hii ni dhana iliyojengeka mioyoni mwao.... Kuna siku ule ukuta utavunjwa....
Trump anataka kujenga ukuta mpakani na Mexico ni dhana iliyo mawazoni mwake anataka kuifanya halisi... Atajenga sasa lakini kuna siku itafika utabomolewa
Ukuta ni kitu kisicho na uhai.. Ukuta ni kitu kinatokana na dhana... Dhana huzaliwa hukua hubadilika na hata kufa pia
Ni wazo jema kabisa kujenga ukuta kuzunguka machimbo ya TANZANITE kule mererani... Ni kuonyesha jinsi tulivyoguswa na wizi wa madini yetu adimu, lakini Mererani ni sehemu ndogo tu ya tatizo kubwa halafu sugu... Tutajenga kuta ngapi Tanzania nzima ?
Ukuta bila UZALENDO ni kazi bure hujuma zitaendelea bila kukoma, rushwa itatamalaki.... Ukuta kuzunguka Mererani sio suluhisho.. Watu watafanya mtobozano.. Zitachimbwa njia chini ya ardhi na biashara itafanyika kama kawa binadamu halindiki... Baki na ukuta wako na makamera yako wanaume wanapiga kazi chini ya ardhi kwa raha zao... Chini ya ukanda wa Gaza kuna njia mamia zimetobolewa kuingia Israeli
Ukuta wa mawe hapana, tujenge ukuta wa fikra za kizalendo, huu ni ukuta imara zaidi na usio na gharama kubwa, ni ukuta usio na mtobazano.... Ukuta huu si kwenye madini tu bali kwenye kila tunu na rasilimali za taifa letu tukuka

Twendeni tukajenge sasa.....

#UKUTA#

Tunajenga UKUTA wajanja wanajenga turnel mpaka Kenya sijui imekaaje
 
Ukuta bila UZALENDO ni kazi bure hujuma zitaendelea bila kukoma, rushwa itatamalaki.... Ukuta kuzunguka Mererani sio suluhisho.. Watu watafanya mtobozano.. Zitachimbwa njia chini ya ardhi na biashara itafanyika kama kawa binadamu halindiki... Baki na ukuta wako na makamera yako wanaume wanapiga kazi chini ya ardhi kwa raha zao... Chini ya ukanda wa Gaza kuna njia mamia zimetobolewa kuingia Israeli
Ukuta wa mawe hapana, tujenge ukuta wa fikra za kizalendo, huu ni ukuta imara zaidi na usio na gharama kubwa, ni ukuta usio na mtobazano.... Ukuta huu si kwenye madini tu bali kwenye kila tunu na rasilimali za taifa letu tukuka

Twendeni tukajenge sasa.....

#UKUTA#
Tumekusomaa!!
 
Watu wa ujerumani walijikuta kwenye mtanziko mkubwa wa kuhitilafiana mitazamo, wa magharibi wakawa na mitazamo inayokinzana na wa mashariki... Wakashindwa kabisa kupatana..... Na mwisho wakaja na wazo la kujenga ukuta wa kuwatenganisha.... Ukuta ule haupo tena, ulikuja kubomolewa baada ya miaka mingi kupita lakini ni baada ya kujitambua kwamba ukuta wa mawe hauwezi kuondoa tofauti zao bali ukuta wa kifikra ukuta wa kimtazamo... Walivunja kuta hizi kwanza kabla ya kuvunja ukuta ule unaoonekana
Waisrael wanajenga ukuta kuzunguka ukanda wa Gaza kujikinga na Wapelistina... Hii ni dhana iliyojengeka mioyoni mwao.... Kuna siku ule ukuta utavunjwa....
Trump anataka kujenga ukuta mpakani na Mexico ni dhana iliyo mawazoni mwake anataka kuifanya halisi... Atajenga sasa lakini kuna siku itafika utabomolewa
Ukuta ni kitu kisicho na uhai.. Ukuta ni kitu kinatokana na dhana... Dhana huzaliwa hukua hubadilika na hata kufa pia
Ni wazo jema kabisa kujenga ukuta kuzunguka machimbo ya TANZANITE kule mererani... Ni kuonyesha jinsi tulivyoguswa na wizi wa madini yetu adimu, lakini Mererani ni sehemu ndogo tu ya tatizo kubwa halafu sugu... Tutajenga kuta ngapi Tanzania nzima ?
Ukuta bila UZALENDO ni kazi bure hujuma zitaendelea bila kukoma, rushwa itatamalaki.... Ukuta kuzunguka Mererani sio suluhisho.. Watu watafanya mtobozano.. Zitachimbwa njia chini ya ardhi na biashara itafanyika kama kawa binadamu halindiki... Baki na ukuta wako na makamera yako wanaume wanapiga kazi chini ya ardhi kwa raha zao... Chini ya ukanda wa Gaza kuna njia mamia zimetobolewa kuingia Israeli
Ukuta wa mawe hapana, tujenge ukuta wa fikra za kizalendo, huu ni ukuta imara zaidi na usio na gharama kubwa, ni ukuta usio na mtobazano.... Ukuta huu si kwenye madini tu bali kwenye kila tunu na rasilimali za taifa letu tukuka

Twendeni tukajenge sasa.....

#UKUTA#
Point tupu!
 
Watu wa ujerumani walijikuta kwenye mtanziko mkubwa wa kuhitilafiana mitazamo, wa magharibi wakawa na mitazamo inayokinzana na wa mashariki... Wakashindwa kabisa kupatana..... Na mwisho wakaja na wazo la kujenga ukuta wa kuwatenganisha.... Ukuta ule haupo tena, ulikuja kubomolewa baada ya miaka mingi kupita lakini ni baada ya kujitambua kwamba ukuta wa mawe hauwezi kuondoa tofauti zao bali ukuta wa kifikra ukuta wa kimtazamo... Walivunja kuta hizi kwanza kabla ya kuvunja ukuta ule unaoonekana
Waisrael wanajenga ukuta kuzunguka ukanda wa Gaza kujikinga na Wapelistina... Hii ni dhana iliyojengeka mioyoni mwao.... Kuna siku ule ukuta utavunjwa....
Trump anataka kujenga ukuta mpakani na Mexico ni dhana iliyo mawazoni mwake anataka kuifanya halisi... Atajenga sasa lakini kuna siku itafika utabomolewa
Ukuta ni kitu kisicho na uhai.. Ukuta ni kitu kinatokana na dhana... Dhana huzaliwa hukua hubadilika na hata kufa pia
Ni wazo jema kabisa kujenga ukuta kuzunguka machimbo ya TANZANITE kule mererani... Ni kuonyesha jinsi tulivyoguswa na wizi wa madini yetu adimu, lakini Mererani ni sehemu ndogo tu ya tatizo kubwa halafu sugu... Tutajenga kuta ngapi Tanzania nzima ?
Ukuta bila UZALENDO ni kazi bure hujuma zitaendelea bila kukoma, rushwa itatamalaki.... Ukuta kuzunguka Mererani sio suluhisho.. Watu watafanya mtobozano.. Zitachimbwa njia chini ya ardhi na biashara itafanyika kama kawa binadamu halindiki... Baki na ukuta wako na makamera yako wanaume wanapiga kazi chini ya ardhi kwa raha zao... Chini ya ukanda wa Gaza kuna njia mamia zimetobolewa kuingia Israeli
Ukuta wa mawe hapana, tujenge ukuta wa fikra za kizalendo, huu ni ukuta imara zaidi na usio na gharama kubwa, ni ukuta usio na mtobazano.... Ukuta huu si kwenye madini tu bali kwenye kila tunu na rasilimali za taifa letu tukuka

Twendeni tukajenge sasa.....

#UKUTA#

Mkuu umesema kweli hebu angalia BOT ilivyo na ulinzi na machuma lakini bado hela za escrow zinatoka na wanakwenda kuzigawa kwenye vigunia na magunia
 
ngoja tuone kama ngoma itakonga nyoyo au ndo vile tena
 
Watu wa ujerumani walijikuta kwenye mtanziko mkubwa wa kuhitilafiana mitazamo, wa magharibi wakawa na mitazamo inayokinzana na wa mashariki... Wakashindwa kabisa kupatana..... Na mwisho wakaja na wazo la kujenga ukuta wa kuwatenganisha.... Ukuta ule haupo tena, ulikuja kubomolewa baada ya miaka mingi kupita lakini ni baada ya kujitambua kwamba ukuta wa mawe hauwezi kuondoa tofauti zao bali ukuta wa kifikra ukuta wa kimtazamo... Walivunja kuta hizi kwanza kabla ya kuvunja ukuta ule unaoonekana
Waisrael wanajenga ukuta kuzunguka ukanda wa Gaza kujikinga na Wapelistina... Hii ni dhana iliyojengeka mioyoni mwao.... Kuna siku ule ukuta utavunjwa....
Trump anataka kujenga ukuta mpakani na Mexico ni dhana iliyo mawazoni mwake anataka kuifanya halisi... Atajenga sasa lakini kuna siku itafika utabomolewa
Ukuta ni kitu kisicho na uhai.. Ukuta ni kitu kinatokana na dhana... Dhana huzaliwa hukua hubadilika na hata kufa pia
Ni wazo jema kabisa kujenga ukuta kuzunguka machimbo ya TANZANITE kule mererani... Ni kuonyesha jinsi tulivyoguswa na wizi wa madini yetu adimu, lakini Mererani ni sehemu ndogo tu ya tatizo kubwa halafu sugu... Tutajenga kuta ngapi Tanzania nzima ?
Ukuta bila UZALENDO ni kazi bure hujuma zitaendelea bila kukoma, rushwa itatamalaki.... Ukuta kuzunguka Mererani sio suluhisho.. Watu watafanya mtobozano.. Zitachimbwa njia chini ya ardhi na biashara itafanyika kama kawa binadamu halindiki... Baki na ukuta wako na makamera yako wanaume wanapiga kazi chini ya ardhi kwa raha zao... Chini ya ukanda wa Gaza kuna njia mamia zimetobolewa kuingia Israeli
Ukuta wa mawe hapana, tujenge ukuta wa fikra za kizalendo, huu ni ukuta imara zaidi na usio na gharama kubwa, ni ukuta usio na mtobazano.... Ukuta huu si kwenye madini tu bali kwenye kila tunu na rasilimali za taifa letu tukuka

Twendeni tukajenge sasa.....

#UKUTA#

umeandika wewe? au umedesa? ha ha (natania)

kama umeandika wewe, lina heri tumbo lililokubeba na abarikiwe aliyekukuza

mabandiko kama haya yenye kulisha brain yamepotea sana na leo unaiweka hadhi ya JF mahali pake
 
Acha kudanganya wenzako ukuta wa ujerumani ulivunjwa eti wajerumani wamejitambua.
Ule ukuta ulivunjwa soon after the collapse of USSR hivyo capitalist bloc waliamua kuuvunja ukuta ule ili kuifanya ujerumani kuwa moja chini ya capitalist bloc.
 
Acha kudanganya wenzako ukuta wa ujerumani ulivunjwa eti wajerumani wamejitambua.
Ule ukuta ulivunjwa soon after the collapse of USSR hivyo capitalist bloc waliamua kuuvunja ukuta ule ili kuifanya ujerumani kuwa moja chini ya capitalist bloc.
Bado ni fikra zilizosababisha yote hayo! Ukuta ulijengwa na fikra USSR ilizaliwa na fikra na ikazikwa na fikra, fikra ni kitu chenye uhai na kina asili tamati yake... Naona hukulielewa hili vema
 
umeandika wewe? au umedesa? ha ha (natania)

kama umeandika wewe, lina heri tumbo lililokubeba na abarikiwe aliyekukuza

mabandiko kama haya yenye kulisha brain yamepotea sana na leo unaiweka hadhi ya JF mahali pake
umeona eh! Angalia post #1 kama vile mlishauriana. Ameandika vizuri sana.
 
Acha kudanganya wenzako ukuta wa ujerumani ulivunjwa eti wajerumani wamejitambua.
Ule ukuta ulivunjwa soon after the collapse of USSR hivyo capitalist bloc waliamua kuuvunja ukuta ule ili kuifanya ujerumani kuwa moja chini ya capitalist bloc.
Kilichoanza kubadirika ni fikra kuwa sisi ni ndugu kwa nini ukuta huu. UmemaLiza darasa la ngapi?
 
Back
Top Bottom