Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,954
- 26,048
Manispaa ya Moshi iliyopo mkoani. kilimanjaro inayoongozwa na Mbunge wa CCM-Ibrahimu Shayo, Meya wa CCM ndugu Kidumuyo, RC naDC wa CCM ndio manispaa chafu zaidi kwa sasa.
Kipindi CHADEMA wakiwa na mbunge Ndesamburo na Mayor Ray Mboya , ndio manispaa iliyokuwa safi zaidi Tanzania na Afrika Mashariki.
Baada ya Priscus Tarimo , MB wa CCM kuingizwa Madarakani, kijana ambaye kwa asili inasemekana siyo msafi , alianza kwa kushirikiana na Mayor na viongozi wengine by then alikuwa Juma Raibu [aliyejiuzulu kwa kashfa ya ushoga-kuhudhuria hafla ya mashoga] walianza kuchukua maeneo ya wazi, vibali vya ujeni mjini kujenga nyumba za chini, wamachinga kupanga bidhaa popote , na kuua mji kabisa na sasa Moshi imekuwa chafu na kurudisha pale CHADEMA ya Ray Mboya alipoachan itachuyua miaka 15.
BUSTANI PEKEE UHURU PARK: Moshi kuna bustani ambayo ipo Manispaa, ikiitwa Uhuuru PArk, kwanza wakaanza na kuweka vibanda vya mama lishe, ikapunhua ukubwa na wakaweka kiingilio, tena wakaenda mbali zaidi , wakajenga jengo la mghahawa akakodisha kampuni ya MIMOSA na kushindwa biashara sasa amepewa ALTEZZA Tours, hii ni kampuni ya MRusi japo hajaanza biashara.
MANISPAA kwa akili yao, wameanza kujenga ukuta kuweka maduka kwenye hiyo garden, menas mtu akipita itakuwa haionekani , wanashindwa kujifunzwa kwa Dar es salaam kwani jijin lilishindwa kuweka maduka kuzunguka mnazi mooja, tena pale fremu ingekuwa ziaidiu ya milioni kodi kwa mwezi lakini ieahwa ionekani na mji upumulie hapo, sasa hiyop garden ya kuweka fremu mtu ataenda kupumzika garden ama itakuwa kusikiliza makelele garden?
Kipindi CHADEMA wakiwa na mbunge Ndesamburo na Mayor Ray Mboya , ndio manispaa iliyokuwa safi zaidi Tanzania na Afrika Mashariki.
Baada ya Priscus Tarimo , MB wa CCM kuingizwa Madarakani, kijana ambaye kwa asili inasemekana siyo msafi , alianza kwa kushirikiana na Mayor na viongozi wengine by then alikuwa Juma Raibu [aliyejiuzulu kwa kashfa ya ushoga-kuhudhuria hafla ya mashoga] walianza kuchukua maeneo ya wazi, vibali vya ujeni mjini kujenga nyumba za chini, wamachinga kupanga bidhaa popote , na kuua mji kabisa na sasa Moshi imekuwa chafu na kurudisha pale CHADEMA ya Ray Mboya alipoachan itachuyua miaka 15.
BUSTANI PEKEE UHURU PARK: Moshi kuna bustani ambayo ipo Manispaa, ikiitwa Uhuuru PArk, kwanza wakaanza na kuweka vibanda vya mama lishe, ikapunhua ukubwa na wakaweka kiingilio, tena wakaenda mbali zaidi , wakajenga jengo la mghahawa akakodisha kampuni ya MIMOSA na kushindwa biashara sasa amepewa ALTEZZA Tours, hii ni kampuni ya MRusi japo hajaanza biashara.
MANISPAA kwa akili yao, wameanza kujenga ukuta kuweka maduka kwenye hiyo garden, menas mtu akipita itakuwa haionekani , wanashindwa kujifunzwa kwa Dar es salaam kwani jijin lilishindwa kuweka maduka kuzunguka mnazi mooja, tena pale fremu ingekuwa ziaidiu ya milioni kodi kwa mwezi lakini ieahwa ionekani na mji upumulie hapo, sasa hiyop garden ya kuweka fremu mtu ataenda kupumzika garden ama itakuwa kusikiliza makelele garden?