Tujenge kabisa wanajf

Tujenge kabisa wanajf

Free of charge, ila watatakiwa kuwa na commitment ya kuhudhuria mafunzo. Nimeplan kuanzia na desktop computer 5 - 6, nitafundisha basic computer applications baada ya hapo nitafundisha general introduction of Computer programming, watakao onyesha interest nitaendelea nao kwenye somo la Programming.
Maeneo ya kujifunza yanaweza kuongezeka hapo baadae kama vile Basic Computer Security etc.
Tuombe uzima kwa sasa changamoto ni muda tu
Mkuu Mungu akuongoze utimize hili dhumuni 🙏🙏🙏
 
Phoenix20250905_091024.png
 
Mi ntakua nakusaidia kuandaa somo la siku husika kutokana na hali ya wakati, mahitaji ya kanisa, hali ya watu, mwelekeo wa nchi kisiasa na kiuchumi.

Kwa wiki hii tittle itakua "KILIMO MSETO KATIKA ULIMWENGU WA ROHO"
 
Mimi nikisema mama mchungaji I mean simply mke wa mchungaji / mzee wa kanisa.

Not a woman who stands up and decides they're going to start and lead a church. That church has no mchungaji.

Women are required to spread the Gospel though.

And towards the end women too will rise up to announce the Lord's return.

Then, after doing all those things, I will pour out my Spirit upon all people. Your sons and daughters will prophesy. Your old men will dream dreams, and your young men will see visions.

In those days I will pour out my Spirit even on servants—men and women alike.

And I will cause wonders in the heavens and on the earth— blood and fire and columns of smoke.

The sun will become dark, and the moon will turn blood red before that great and terrible day of the Lord arrives.

But everyone who calls on the name of the Lord will be saved, for some on Mount Zion in Jerusalem will escape, just as the Lord has said. These will be among the survivors whom the Lord has called."

joel.2.28-32.NLT
 
Back
Top Bottom