Tujenge kabisa wanajf

Tujenge kabisa wanajf

Mimi nitakuwa mama mchungaji,nipo serious na hili tafadhali....
Ili nisiwakere mtakuwa mnanipangia nini Cha kuhubiri sikuhiyo ...ilimradi nanyi msinikere,mkileta mambo meusi naharibu🤒

Kanisa liwe Dar es salaam maana nahamia huko soon.Tafadhali nipo seriously kabisa 🙏🙏🙏

Am in love with my country❤️
#Tanzania forever🙏
Serious ukifika dar tutafutane
 
Makanisa na Misikiti ni sehemu za kwenda kupoteza muda tu. Kwa nini tusihamasishane tujenge labda hata public computer lab moja na kujitolea kufundisha ndugu zetu watoto ujuzi unaoweza kuwasaidia hapo mbeleni??!! Karibuni mbege kabla ya kwenda kwenye mahubiri wakuu
 
Makanisa na Misikiti ni sehemu za kwenda kupoteza muda tu. Kwa nini tusihamasishane tujenge labda hata public computer lab moja na kujitolea kufundisha ndugu zetu watoto ujuzi unaoweza kuwasaidia hapo mbeleni??!! Karibuni mbege kabla ya kwenda kwenye mahubiri wakuu
😂😂😂Huoni kwamba kanisa huweza Jenga miundombinu mipya mingine mingii....Sadaka ya kujimaliza

Cc: mwamposa
 
Back
Top Bottom