Tujenge kabisa wanajf

Tujenge kabisa wanajf

Makanisa na Misikiti ni sehemu za kwenda kupoteza muda tu. Kwa nini tusihamasishane tujenge labda hata public computer lab moja na kujitolea kufundisha ndugu zetu watoto ujuzi unaoweza kuwasaidia hapo mbeleni??!! Karibuni mbege kabla ya kwenda kwenye mahubiri wakuu
Moja ya idea Kali sana kwa maendeleo ya jamii itazalisha magenius wengi sana
 
Nanukuu... mkileta mambo meusi naharibu ... Mwisho wa kunukuu...!!! To yeye, statement hii uliosema kwenye post yako, inakuondolea sifa ya kuwa mama mchungaji..!! We tuendelee tu kuuza mchele NDONYA 80 kwa siku, haya mambo ya uchungaji tuwaachie akina Mbarikiwa Mwakipesile
Au Apostle wa Jf Setfree.
Ila usimkatie mtu tamaa
 
😂😂😂Mbalizi Mbeya Kuna bonge la hotel ya mwamp....yaan acha mkuu
1757148215868.png
 
Nanukuu... mkileta mambo meusi naharibu ... Mwisho wa kunukuu...!!! To yeye, statement hii uliosema kwenye post yako, inakuondolea sifa ya kuwa mama mchungaji..!! We tuendelee tu kuuza mchele NDONYA 80 kwa siku, haya mambo ya uchungaji tuwaachie akina Mbarikiwa Mwakipesile
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom