Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nimekuwa nikifuatilia na kuichunguza video inayoonesha JK akianguka pale viwanja vya Jangwani siku ya uzinduzi wa kampeni wa Chama Cha Mafisadi.
Kabla ya kuanguka, JK alianza kwa kutamka maneno haya:
"............tumetekeleza mengi, na tutafanya mengi zaidi..........seeee!! Baada ya hapo alijaribu kuongeza 'ahadi' nyingine, lakini akashindwa na kuporomoka.
Hilo neno, "seeee!!" si la kawaida. Ni neno linalotamkwa na mtu anayehisi maumivu makali au anayehisi hali mbaya kimwili. Lakini walinzi wake walikuwepo wanakula pepo tu. Wanawaza ulaji badala ya kumlinda Mkulu. Wanawaza madem zao wakati hali ya mtu anayewaweka mjini ni mbaya.
Upo wapi umakini wao? Bado wanamlinda au alishawatimua?
Ndiyo sababu ninapoambiwa baadhi yao wameshiriki zoezi la kuchakachua kura za Watanzania sipati shaka kwa sababu hawako makini.
Wanajamvi munasemaje??
Kabla ya kuanguka, JK alianza kwa kutamka maneno haya:
"............tumetekeleza mengi, na tutafanya mengi zaidi..........seeee!! Baada ya hapo alijaribu kuongeza 'ahadi' nyingine, lakini akashindwa na kuporomoka.
Hilo neno, "seeee!!" si la kawaida. Ni neno linalotamkwa na mtu anayehisi maumivu makali au anayehisi hali mbaya kimwili. Lakini walinzi wake walikuwepo wanakula pepo tu. Wanawaza ulaji badala ya kumlinda Mkulu. Wanawaza madem zao wakati hali ya mtu anayewaweka mjini ni mbaya.
Upo wapi umakini wao? Bado wanamlinda au alishawatimua?
Ndiyo sababu ninapoambiwa baadhi yao wameshiriki zoezi la kuchakachua kura za Watanzania sipati shaka kwa sababu hawako makini.
Wanajamvi munasemaje??
Last edited by a moderator: