Tujadili nyumba wanazojengewa Marais Wastaafu Tanzania

Hii ndio sheria ya hovyo kabisa kwa nchi masikini zaidi duniani. Inakuwaje mtu ambaye anajilipa mamilioni ya pesa tena pasipo kutozwa kodi na anayegharamikiwa na serikali kwa kila kitu ajengewe nyumba kwa jasho la masikini ambae hata akipiga tu miayo kwa njaa anatozwa kodi tena kandamizi?
Hiyo ndo maana nchi za kiafrika zinaitwa nchi za viongozi.
 
Hii ndio sheria ya hovyo kabisa kwa nchi masikini zaidi duniani. Inakuwaje mtu ambaye anajilipa mamilioni ya pesa tena pasipo kutozwa kodi na anayegharamikiwa na serikali kwa kila kitu ajengewe nyumba kwa jasho la masikini ambae hata akipiga tu miayo kwa njaa anatozwa kodi tena kandamizi?
TAL wamekupa hoja nyingine. Mungu bwana hatupi mja wake. This is your leverage point. It will add to you a few votes.
 
LISSU ATAANZISHA UJENZI WA MAKAZI BORA KWA WATANZANIA WOTE KILA FAMILIA MOJA NA NYUMBA BORA MOJA HUU NDIO MPANGO KABAMBE WA RAIS LISSU YEYE ABAGUI BAGUI YEYE NI RAIS WA KWELI WA WANYONGE
Anaweza kuanzisha lakini hawezi kukamilisha. Kama kaahidi kuwa atawajengea nyumba watanzania wote, itamtokea puani. Kama ni kuanza utaratibu/programu ya kuwawezesha watanzania makazi bora ataweza kufanikiwa.

Amandla...
 
SAWA PUNGUANI MKUBWA, CDM KAMA SIO KUTUMIA AKILI ZA KUWA WAHIFADHI FEDHA KAMPENI HIZI WANGELIFANYAJE MAANA SEREKALI IMENYIMA KABISA HELA ZA KAMPENI NA KUTOA KUDUCHU MNO KWA DHAMIRA VIFELI KWENYE KAMPENI KUMBE WENZAO WAKAWA NA AKILI KUBWA ZAIDI MPAKA WAMEKODI NA CHOPA KITU AMBACHO KINAWASHANGAZA SANA CCM "'mradi wa nyumba bora kwa watanzania wote wanyonge upo pale pale kila familia ya mtanzania na nyumba moja" ndio mkakati wa LISSU 2020-2025

Akili kubwa ni kuchukua fedha kwa maadui wa nchi iliutawale ukawatumikie maadui wa nchi. Ngoja uchaguzi upite ndio utajua kama hii ilikuwa kujitambua au kujimaliza. Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Suala sio kujengewa tu aina/ukubwa wa nyumba unafikirisha sana kitu kinachopelekea gharama ya nyumba kuwa kubwa kuliko idadi ya watu kwenye familia za wahusika! Halafu kuna mwananchi kule Kigoma anashuhudia haya huku akinywa Maji kwenye kisima ambacho mifugo hunywa maji pia!
Kigoma umekwenda mbali vigwaza tu hapo maji wanapishana na Ngombe na kima, kuna haja ya kuiangalia katiba yetu upya kwakweli.
 
Wee unaishia kupiga pambio tu wenzio pamoja nakuiibia Nchi wanajengeana majumba

Ni kweli kwani Mwinyi kaiba mashamba ya watu Morogoro ekari zaidi ya 60 000 ,Magufuli naye kajichukulia mashamba ya watu Tanga, Mkapa alijichukulia mashamba ya watu zaidi ya ekari 60 000

Mwisho wa siku wanachota na pesa yetu ya kodi wanajengeana majumba ,Mwisho wao ni Oktoba 28
 
Ivi ni kwel hawa wazee bado wanauhitaji Wa Nyumba kwel ,kutokana na rasilimali walizonazo ?, kwel nimeamini aliyenacho huongezewa
 
Sheria hiyo imetungwa na nani kwa maslahi ya nani?
Suala sio kujengewa tu aina/ukubwa wa nyumba unafikirisha sana kitu kinachopelekea gharama ya nyumba kuwa kubwa kuliko idadi ya watu kwenye familia za wahusika! Halafu kuna mwananchi kule Kigoma anashuhudia haya huku akinywa Maji kwenye kisima ambacho mifugo hunywa maji pia!
Zimejengwa kishamba sana, zimekaa kama maofisi ya kupsngisha, muundo wa Ikulu ya Chameino

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu wanalipwa 80% ya mshahara wao hadi kufa.Kwa nini hizo nyumba wasijengewe wastaafu walala hoi
 
LISSU ATAANZISHA UJENZI WA MAKAZI BORA KWA WATANZANIA WOTE KILA FAMILIA MOJA NA NYUMBA BORA MOJA HUU NDIO MPANGO KABAMBE WA RAIS LISSU YEYE ABAGUI BAGUI YEYE NI RAIS WA KWELI WA WANYONGE

kama milioni 50 kila kijiji hazikupatikana,25 kwa kila mtz ni ndoto zile zile za kuongeza mishara maradufu huku ukiondoa kodi.
 
SAWA PUNGUANI MKUBWA, CDM KAMA SIO KUTUMIA AKILI ZA KUWA WAHIFADHI FEDHA KAMPENI HIZI WANGELIFANYAJE MAANA SEREKALI IMENYIMA KABISA HELA ZA KAMPENI NA KUTOA KUDUCHU MNO KWA DHAMIRA VIFELI KWENYE KAMPENI KUMBE WENZAO WAKAWA NA AKILI KUBWA ZAIDI MPAKA WAMEKODI NA CHOPA KITU AMBACHO KINAWASHANGAZA SANA CCM "'mradi wa nyumba bora kwa watanzania wote wanyonge upo pale pale kila familia ya mtanzania na nyumba moja" ndio mkakati wa LISSU 2020-2025

ndio sababu tunampinga huyu mtu,anaharibu akili za vijana.

angalia wewe kijana,halafu unawaza hivi!!!!
 
1. Naomba kujua nyumba Mwalimu aliyojengewa na serikali ilijengwa lini na wapi?

2. Naomba kujua Mkapa alijengewa nyumba yake wapi?

3. Naomba kujua kwa changamoto wananchi tulizonazo Hawa wazee wakitoa sadaka hizo pesa za nyumba zikajenga japo hospital haitakubalika?

4. Hawa viongozi wanaojengewa nyumba baada yakuondoka madarakani wakiwa wazee, awali walikua wanaishi wapi?

5. Natambua ni takwa la kisheria ila najiuliza kwanini sasa? Mwinyi kastaafu muda gani?

6. Kwa marais wa Zanzibar, je huu utaratibu unawahusu?

Ushauri
Haya mafao ya nyumba za marais yafutwe, sheria itamkwe atalipwa kiasi flani (thamani ya hiyo nyumba) na Mstaafu atawajibika kuchagua eneo ambapo fedha hizo zitatumika kujenga mradi wa wananchi Kama ukumbusho.
Sijawahi kuona rais anaeamini katika rushwa kama Magu.
Hakuna raisi aliywahi safiri na maburungutu ya pesa kwa wananchi ila Magu.
Hakuna tais aliyewahi toa rushwa ya cheo hasa kwa wanaounga juhudi ila Magu. Haya machache na mengine mengi inathibitisha ni rais aliyeweka msingi wake juu ya ya rushwa.
Hasa hii rushwa ya uongozi ndiyo iliyotamalaki kwenye utawala wake .
Nyeree alijengewa ntumba na serikali kwa sababu alikua hana nyumba nyingine aliyojenga. Je hwa wanaopewa hizi nyumba hawana nyingine waliyojenga?
Hawakununua nyumba za serikali wakati wa mnada wa nyumba za swrikali ulio ongozwa ba Magu mwenyewe akiwa waziri nwenye dhamana?
 
Back
Top Bottom