19 records studio
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 421
- 1,085
Habari ndugu zangu,
Naamini mko salama na bado mnaendelea kupigana na maisha ya sasa na hata kwa baadaye.
Kama kichwa cha habari kinavyo sema kuhusu majadiliano kwa pamoja kila mwenye wazo tofauti na mwenzake anaweza kuchangia hapa katika huu mjadala/ uzi.
Katika jamii yetu nyingi hasa hususani barani afrika na Asia tumekuwa tukiona wanaume wakifuga kucha kidole kimoja ama viwili na pia wengi wao hupaka rangi ama inna,
Sasa hii imekuwa ikiashiria nini kwa wanaume kufuga kucha, na nijuavyo kuwa wanawake ndio hufuga kucha ikiwa pamoja na urembo mwingine kwa sababu hata vitabu vitakatifu mbali mbali huwa vimeeleza kuhusu utamaduni wa kujipamba/ kujiremba ni mwanamke tu anaruhusiwa, ikiwa pamoja na hayo kwa jamii nyingi ya sasa tumekuwa tukiona wanaume kuvaa desturi ya wanawake kama kusuka nywele, kuvaa nguo za kubana, kutoboa masikio pamoja na pua.
Je...?? kwa mtazamo wako ni sahihi mwanaume aliye kamilika kufanya yote hayo ikiwemo kufuga kucha na kupaka rangi.
Naamini mko salama na bado mnaendelea kupigana na maisha ya sasa na hata kwa baadaye.
Kama kichwa cha habari kinavyo sema kuhusu majadiliano kwa pamoja kila mwenye wazo tofauti na mwenzake anaweza kuchangia hapa katika huu mjadala/ uzi.
Katika jamii yetu nyingi hasa hususani barani afrika na Asia tumekuwa tukiona wanaume wakifuga kucha kidole kimoja ama viwili na pia wengi wao hupaka rangi ama inna,
Sasa hii imekuwa ikiashiria nini kwa wanaume kufuga kucha, na nijuavyo kuwa wanawake ndio hufuga kucha ikiwa pamoja na urembo mwingine kwa sababu hata vitabu vitakatifu mbali mbali huwa vimeeleza kuhusu utamaduni wa kujipamba/ kujiremba ni mwanamke tu anaruhusiwa, ikiwa pamoja na hayo kwa jamii nyingi ya sasa tumekuwa tukiona wanaume kuvaa desturi ya wanawake kama kusuka nywele, kuvaa nguo za kubana, kutoboa masikio pamoja na pua.
Je...?? kwa mtazamo wako ni sahihi mwanaume aliye kamilika kufanya yote hayo ikiwemo kufuga kucha na kupaka rangi.