Tuitaadhari nchi yetu na udini, baadhi ya maaskofu wanaonesha hasira kwa kukosa Rais au Mstaafu wa upande wao, wanaeneza mgawanyiko na chuki nchini

Tuitaadhari nchi yetu na udini, baadhi ya maaskofu wanaonesha hasira kwa kukosa Rais au Mstaafu wa upande wao, wanaeneza mgawanyiko na chuki nchini

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,451
Hoja hii hailengi kuamsha chuki dhidi ya imani yoyote, bali kutahadharisha kuhusu hatari ya kuingiza udini kwenye siasa. Tanzania ni ya wote bila kujali dini, dhehebu, kabila au historia.

Kwa miaka mingi walikuwa na "access pass" ya moja kwa moja hadi juu kabisa ya mamlaka. Walizoea kumuona Rais kama mmoja wao alie juu ya kiti badala ya kumuona kama kiongozi wa taifa, Ukaribu huu waliutumia kama njia ya kutoa kauli nzito, kushinikiza maamuzi na sera za kitaifa, na wakati mwingine kujiamini kana kwamba taifa hili halisongi bila baraka zao.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania ya kisasa, hali imebadilika, Hakuna Rais, hakuna mstaafu na kuna kila dalili hawatampata hata yule ajaye kwasababu dini sio kigezo tena, Hili sio tatizo kwa mtanzania anaemuona rais kama kiongozi lakini kwa watu wanaoendeleza mambo ya udini ni pigo kwasababu ikulu waliyozoea kuitumia iko mbali sana nao

Hawana mtu wao wa ‘kuongea naye moja kwa moja.’ Hawana nguvu ya kushinikiza. Na ukweli mchungu ni huu: Hawana tena mamlaka waliyodhani ni yao milele.

Na kinachotia wasiwasi zaidi ni namna baadhi yao wanavyojaribu kuingiza udini kwenye siasa wakionesha hasira zao wazi kana kwamba Urais ni mali ya dhehebu fulani kwasababu pindi walipokuwa marais wanaotoka madhehebu yao hakukuwa na hizi kelele, ila sasa wameanza.

Hii ni hatari. Nguvu ya taifa hailali kanisani wala msikitini inajengwa kwa msingi wa uwezo, maadili na uzalendo. Wanaohangaika kwa sababu tu “sio wao tena,” wanapaswa kujiuliza: walikuwa wanahudumia taifa au taasisi yao?

Tukumbuke, Tanzania ni ya wote. Kiongozi bora anaweza kutoka popote – si lazima avae kanzu wala msalaba. Tuitaadhari nchi yetu isiingie kwenye udini.
 
Sawa mkuu,kupitia huu Uzi naomba utathmini ule Uzi wako wa rafiki anayetaka msaada wakati alikubadilikia afu pima sasa,kati yake nawe nani ni snitch....watu wazungumzie haki wewe uzungumzie udini.Binadamu sisi bhana,sijui.
 
Sawa mkuu,kupitia huu Uzi naomba utathmini ule Uzi wako wa rafiki anayetaka msaada wakati alikubadilikia afu pima sasa,kati yake nawe nani ni snitch....watu wazungumzie haki wewe uzungumzie udini.Binadamu sisi bhana,sijui.
Tuachane na hayo mambo personal, hili ni jambo la kitaifa, National matter.
 
Magu aliposema wastaafu wanawashwa mbona hamkufungua mdomo kusema ni udini? si walikaa kimya na miwasho yao....yaliyomshinda kufanya kwa miaka 10 aliyokaa ikulu leo ndio ataweza kumshauri mtu mwingine??
Yaliyopita yamepita tunaanngalia taifa mbele, Tanzania ya wote tusiruhusu mambo ya udini
 
acha ujuha!! tunaangalia taifa mbele kwa kupokea ushauri wa mtu aliyeshindwa kulipeleka taifa mbele kwa miaka 10 aliyokaa ikulu?...
Kina Nyerere na Mkapa walikuwa hawatoi ushauri ? walikuwa hawahudhurii vikao vya kimataifa ? walikuwa hawaonkani kwenye mijadala ya kitaifa ?

Hebu acheni udini.
 
Sawa ila fuatilia kwa ukaribu usemalo.
1. Unaizungumziaje ziara ya kwa Mwampisa - Uzinduzi wa hema.
2. Unakumbukaje harambee ya KKKT Dayasisi ya Mashariki na Pwani - Askofu Malasusa.
3. Unafuatilia ya Gwajima na serikali kuhusu kanisa lake.
4. Ulisikia risal na ukumbe toka kwa maimumu kwenye kongamano lao la jana - 24/08/2025
Kifupi ni kwamba serikali yetu hii inashindwa kujitenga / kujipbanua na udini maana ikipongezwa udini unapotea mara moja bali ikikosolewa udini inainuka kwa kasi sana.
Wewe na serikali inabidi mtafakri sana habari ya udini kwenye siasa kuliko kusimamia vitisho kama ndiyo mpaka sahihi wa ulicho andika
 
Hoja hii hailengi kuamsha chuki dhidi ya imani yoyote, bali kutahadharisha kuhusu hatari ya kuingiza udini kwenye siasa. Tanzania ni ya wote bila kujali dini, dhehebu, kabila au historia.

Kwa miaka mingi walikuwa na "access pass" ya moja kwa moja hadi juu kabisa ya mamlaka. Walizoea kumuona Rais kama mmoja wao alie juu ya kiti badala ya kumuona kama kiongozi wa taifa, Ukaribu huu waliutumia kama njia ya kutoa kauli nzito, kushinikiza maamuzi na sera za kitaifa, na wakati mwingine kujiamini kana kwamba taifa hili halisongi bila baraka zao.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania ya kisasa, hali imebadilika, Hakuna Rais, hakuna mstaafu na kuna kila dalili hawatampata hata yule ajaye kwasababu dini sio kigezo tena, Hili sio tatizo kwa mtanzania anaemuona rais kama kiongozi lakini kwa watu wanaoendeleza mambo ya udini ni pigo kwasababu ikulu waliyozoea kuitumia iko mbali sana nao

Hawana mtu wao wa ‘kuongea naye moja kwa moja.’ Hawana nguvu ya kushinikiza. Na ukweli mchungu ni huu: Hawana tena mamlaka waliyodhani ni yao milele.

Na kinachotia wasiwasi zaidi ni namna baadhi yao wanavyojaribu kuingiza udini kwenye siasa wakionesha hasira zao wazi kana kwamba Urais ni mali ya dhehebu fulani kwasababu pindi walipokuwa marais wanaotoka madhehebu yao hakukuwa na hizi kelele, ila sasa wameanza.

Hii ni hatari. Nguvu ya taifa hailali kanisani wala msikitini inajengwa kwa msingi wa uwezo, maadili na uzalendo. Wanaohangaika kwa sababu tu “sio wao tena,” wanapaswa kujiuliza: walikuwa wanahudumia taifa au taasisi yao?

Tukumbuke, Tanzania ni ya wote. Kiongozi bora anaweza kutoka popote – si lazima avae kanzu wala msalaba. Tuitaadhari sana na udini unaojificha kwenye ushabiki wa madaraka.
Silly std seven stream B
 
Hoja hii hailengi kuamsha chuki dhidi ya imani yoyote, bali kutahadharisha kuhusu hatari ya kuingiza udini kwenye siasa. Tanzania ni ya wote bila kujali dini, dhehebu, kabila au historia.

Kwa miaka mingi walikuwa na "access pass" ya moja kwa moja hadi juu kabisa ya mamlaka. Walizoea kumuona Rais kama mmoja wao alie juu ya kiti badala ya kumuona kama kiongozi wa taifa, Ukaribu huu waliutumia kama njia ya kutoa kauli nzito, kushinikiza maamuzi na sera za kitaifa, na wakati mwingine kujiamini kana kwamba taifa hili halisongi bila baraka zao.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania ya kisasa, hali imebadilika, Hakuna Rais, hakuna mstaafu na kuna kila dalili hawatampata hata yule ajaye kwasababu dini sio kigezo tena, Hili sio tatizo kwa mtanzania anaemuona rais kama kiongozi lakini kwa watu wanaoendeleza mambo ya udini ni pigo kwasababu ikulu waliyozoea kuitumia iko mbali sana nao

Hawana mtu wao wa ‘kuongea naye moja kwa moja.’ Hawana nguvu ya kushinikiza. Na ukweli mchungu ni huu: Hawana tena mamlaka waliyodhani ni yao milele.

Na kinachotia wasiwasi zaidi ni namna baadhi yao wanavyojaribu kuingiza udini kwenye siasa wakionesha hasira zao wazi kana kwamba Urais ni mali ya dhehebu fulani kwasababu pindi walipokuwa marais wanaotoka madhehebu yao hakukuwa na hizi kelele, ila sasa wameanza.

Hii ni hatari. Nguvu ya taifa hailali kanisani wala msikitini inajengwa kwa msingi wa uwezo, maadili na uzalendo. Wanaohangaika kwa sababu tu “sio wao tena,” wanapaswa kujiuliza: walikuwa wanahudumia taifa au taasisi yao?

Tukumbuke, Tanzania ni ya wote. Kiongozi bora anaweza kutoka popote – si lazima avae kanzu wala msalaba. Tuitaadhari sana na udini unaojificha kwenye ushabiki wa madaraka.

Waeneza chuki ni wezi wa chaguzi, rasilimali za nchi, wabambika kesi, na wenye yale mengine kuhusu wapotea watu.
IMG_20240428_070927.jpg


Bila hivyo, kugawana mbao kunweza kuwa sehemu.
 
Sawa ila fuatilia kwa ukaribu usemalo.
1. Unaizungumziaje ziara ya kwa Mwampisa - Uzinduzi wa hema.
2. Unakumbukaje harambee ya KKKT Dayasisi ya Mashariki na Pwani - Askofu Malasusa.
3. Unafuatilia ya Gwajima na serikali kuhusu kanisa lake.
4. Ulisikia risal na ukumbe toka kwa maimumu kwenye kongamano lao la jana - 24/08/2025
Kifupi ni kwamba serikali yetu hii inashindwa kujitenga / kujipbanua na udini maana ikipongezwa udini unapotea mara moja bali ikikosolewa udini inainuka kwa kasi sana.
Wewe na serikali inabidi mtafakri sana habari ya udini kwenye siasa kuliko kusimamia vitisho kama ndiyo mpaka sahihi wa ulicho andika

Kapenda kengeza ..
 
Hoja hii hailengi kuamsha chuki dhidi ya imani yoyote, bali kutahadharisha kuhusu hatari ya kuingiza udini kwenye siasa. Tanzania ni ya wote bila kujali dini, dhehebu, kabila au historia.

Kwa miaka mingi walikuwa na "access pass" ya moja kwa moja hadi juu kabisa ya mamlaka. Walizoea kumuona Rais kama mmoja wao alie juu ya kiti badala ya kumuona kama kiongozi wa taifa, Ukaribu huu waliutumia kama njia ya kutoa kauli nzito, kushinikiza maamuzi na sera za kitaifa, na wakati mwingine kujiamini kana kwamba taifa hili halisongi bila baraka zao.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania ya kisasa, hali imebadilika, Hakuna Rais, hakuna mstaafu na kuna kila dalili hawatampata hata yule ajaye kwasababu dini sio kigezo tena, Hili sio tatizo kwa mtanzania anaemuona rais kama kiongozi lakini kwa watu wanaoendeleza mambo ya udini ni pigo kwasababu ikulu waliyozoea kuitumia iko mbali sana nao

Hawana mtu wao wa ‘kuongea naye moja kwa moja.’ Hawana nguvu ya kushinikiza. Na ukweli mchungu ni huu: Hawana tena mamlaka waliyodhani ni yao milele.

Na kinachotia wasiwasi zaidi ni namna baadhi yao wanavyojaribu kuingiza udini kwenye siasa wakionesha hasira zao wazi kana kwamba Urais ni mali ya dhehebu fulani kwasababu pindi walipokuwa marais wanaotoka madhehebu yao hakukuwa na hizi kelele, ila sasa wameanza.

Hii ni hatari. Nguvu ya taifa hailali kanisani wala msikitini inajengwa kwa msingi wa uwezo, maadili na uzalendo. Wanaohangaika kwa sababu tu “sio wao tena,” wanapaswa kujiuliza: walikuwa wanahudumia taifa au taasisi yao?

Tukumbuke, Tanzania ni ya wote. Kiongozi bora anaweza kutoka popote – si lazima avae kanzu wala msalaba. Tuitaadhari sana na udini unaojificha kwenye ushabiki wa madaraka.

Ushauri wa bure: Kwa tuhuma nzito hizi za Polepole kukuhusisha wewe, mstaafu Kikwette, staafu siasa, sasa na hadharani!
 
Hoja hii hailengi kuamsha chuki dhidi ya imani yoyote, bali kutahadharisha kuhusu hatari ya kuingiza udini kwenye siasa. Tanzania ni ya wote bila kujali dini, dhehebu, kabila au historia.

Kwa miaka mingi walikuwa na "access pass" ya moja kwa moja hadi juu kabisa ya mamlaka. Walizoea kumuona Rais kama mmoja wao alie juu ya kiti badala ya kumuona kama kiongozi wa taifa, Ukaribu huu waliutumia kama njia ya kutoa kauli nzito, kushinikiza maamuzi na sera za kitaifa, na wakati mwingine kujiamini kana kwamba taifa hili halisongi bila baraka zao.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania ya kisasa, hali imebadilika, Hakuna Rais, hakuna mstaafu na kuna kila dalili hawatampata hata yule ajaye kwasababu dini sio kigezo tena, Hili sio tatizo kwa mtanzania anaemuona rais kama kiongozi lakini kwa watu wanaoendeleza mambo ya udini ni pigo kwasababu ikulu waliyozoea kuitumia iko mbali sana nao

Hawana mtu wao wa ‘kuongea naye moja kwa moja.’ Hawana nguvu ya kushinikiza. Na ukweli mchungu ni huu: Hawana tena mamlaka waliyodhani ni yao milele.

Na kinachotia wasiwasi zaidi ni namna baadhi yao wanavyojaribu kuingiza udini kwenye siasa wakionesha hasira zao wazi kana kwamba Urais ni mali ya dhehebu fulani kwasababu pindi walipokuwa marais wanaotoka madhehebu yao hakukuwa na hizi kelele, ila sasa wameanza.

Hii ni hatari. Nguvu ya taifa hailali kanisani wala msikitini inajengwa kwa msingi wa uwezo, maadili na uzalendo. Wanaohangaika kwa sababu tu “sio wao tena,” wanapaswa kujiuliza: walikuwa wanahudumia taifa au taasisi yao?

Tukumbuke, Tanzania ni ya wote. Kiongozi bora anaweza kutoka popote – si lazima avae kanzu wala msalaba. Tuitaadhari sana na udini unaojificha kwenye ushabiki wa madaraka.
Hakuna jipya hata kidogo,maaskofu wa kikatoliki hawajawahi kumpenda rais mwislamu,mwinyinwalimtungia uzushi,jakaya walimpiga vita sana na Samia pia wanampiga vita hiyo ni hulka yao hivyo hakuna haja ya kuougankelele,kukalamika wala kuwajibu,wakatoliki ni ndugu zetu,majirani zetu,marafiki zetu,tusiwachukie wala kuwapiga vita tuongee nao kidugu,ni kupitia furaha,kuongea,kushirikiana nao ndipo watajua ukweli,tuache kuwashambuliavwakatoliki
 
Back
Top Bottom