Tuisadie CHADEMA -2025

Sawa, sasa kama waamuzi wa matokeo ni CCM, na imekua hivyo miaka nenda rudi nini kinachowafanya mshiriki uchaguzi??? Ni kuna njia mnanufaika na hizo chaguzi , kushinda uchaguzi sio sababu pekee ya nyinyi kushiriki..mna motives nyinginezo za kushiriki uchaguzi ilhali mnajua matokeo, so msipoweka bayana hizi motives au kusukumia ndani ya carpet ndivyo mtakavyoididimiza CHADEMA,sioni sababu ya nyinyi kulia lia mmaonewa,kama majibu ya uchaguzi tayari mnayo msishiriki..simple

Kuhusu Mbowe I agree ni uonevu,yeye sio gaidi,ila mngeweza kulitumia in your advantage....

Mwisho,ni kweli Faces mpya zinahitajika, sio tu waje CHADEMA kuuza sura,bali wawe na BRAINS na CREATIVITY, jinsi ya kupambana na kukipigania chama na kukipeleka mbele hata kwenye au katika climate ambayo ni ngumu(katiba mbovu)

Kama tusingeshiriki nani angejua tumeibiwa? Au nani angeolewa chumba cha kupigia kura. Tuko mbele kiakili sio maboya
 
Sawa mkuu,

Unaposema CDM haijawahi kupoteza ushawishi una maana gani, wakati unajua idadi ya wabunge wa CDM waliochaguliwa kuwa bungeni huu uchaguzi iliyopita hawafiki hata kumi compared na chaguzi zilizopita??

Naanza Kuhisi CDM tatizo kingine walilo nalo ni hawataki kuambiwa ukweli, you cant do the same thing over and over expecting different results, Old faces ndizo zinazowaangusha CHADEMA tuongee ukweli, kuwatumia hao wanasiasa wa zamani ni kama ku send messages to the public kuwa hamna jipya, hamuwezi kuwa na innovations wala Dira mpya, hasa kama mmeshindwa kuwa creative kwenye chama Chenu wenyewe kwa nini nikupe kura yangu... chaguzi zilizopita kushinda ama kutoshinda ziwe lessons kutu guide nini inatakiwa kifanyike in the future

Ushaonyeshwa hapo kuwa watu wamepita bila kupingwa unasema kuhusu idadi ya wabunge sasa na kipindi cha nyuma? Wewe kichwani umejaza kamasi. Kabla haijawahi kuona karatasi za kura zilipopigwa zikaingizwa na police kwenye kituo. Hakuna wabunge walipita bila kupingwa. Unafananisha na kipindi ambacho ccm hawakuehesabu kura hata moja?
 
Hizo new faces ndio wangewapa njia mpya sasa za kupambana na Dola, sioni kama sasa mna mbinu mpya ya kupigana na hio dola, by the way sijasema viongozi wafukuzwe bali wachukue back seat wawa coach viongozi wapya, hats sijui Unapinga nini mkuu hata makazini kuna staffs appraisals, performance yako ndio inakuweka, kama wameshindwa ku deliver kama walivyokua wanafanya before then wawapishe wengine

Hao waongozi huwa wanafanya kampeni na wanashida uchaguzi. Wewe unataka waje wengine kawapigie kura hao wapya.
 
Wewe tafuta chama kingine cha kukishauri. Hatuwezi tumia akili zako zimejaa kamasi
Wewe siyo chadema.
Sisi wanachadema Ni waelewa, tunapokea ushauri, tunautafiti na kuuganyia kazi.
Ahsante Rebecca kwa ushauri.
Usitishwe na wanaokupinga, si wanachadema hao, Kwani wamekuonesha kadi zao?
Hayo Ni mapandikizi ya ccm, yapo kwa ajili ya kuvuruga mikakati yoyote ya cdm.
 
Chadema inawakati mgumu Kwa sasa ni ngumu kuamini watu wapya wakiendeshe chama wewe mwenyewe umeona mikaa mitano hiii vijana wadogo waliaminiwa na chama na wakapewa nafasi pale ambapo hawakuwa na chochote Ila ndyo walikuja kuwa wasaliti wakubwa WA chama wakina halima mdee ambao tulijua ndyo nguzo ya uaminifu kwenye chama ndyo wamekuja kuasi maamuzi ya chama kikuwa saivi ni kurudisha Imani Kwa wanachama na kuvutia wanachama wapyaa
 
Mkuu ninaunga mkono hoja!

Kiongozi ukishagaragazwa mara mbili kwenye uchaguuzi mku, lazima ufubae na kukosa mvuto na kuhitajika sura mpya toka miongoni mwa wanachama kindakindaki kuziba pengo.

Mfano wa ving'ang'anizi ni kama kina Lipumba na wengineo kama hao.

Nilivyofuatilia kujua kwa nini kuwe na uking'ang'anizi wa madaraka na sura zile zile miaka nenda rudi, nikaelezwa kuwa viongozi hao huwa wanashiriki kwenye uchaguzi huku wakielewa pasi na shaka kuwa wanaenda kushindwa.

Kinachoendelea baada ya uchaguzi huwa ni manufaa yao(ruzuku) na mema mengine ya nchi.

Na kwamba Uenyekiti wa chama, kwao ni kama uenyekiti wa Sacoss, ukiupoteza mambo yako hayakunyokei kwa kukosa maslahi binafsi.

Na usipoparangana kwenye uchaguzi, chama kinaonekana ni cha kwenye laptop kinafutwa, sasa lazima uonekane kila "term" ya uchaguzi unachakarika kuzugia!

Tungelipata vichwa chipukizi na vyenye vision na misimamo kama ya Dr. Slaa wa Chadema, Sisiem sasa hivi wasingelala usingizi wa pono na kula likizo za kisiasa kama ilivyo sasa.

Chadema hii hii ikibadilisha safu ya uongozi, kinaweza kuitikisa sana Sisiem na kuchukua uongozi wa nchi kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Lakini zikibakia sura zile zile za viongozi waandamizi, waalah piga ua hata wadurufu katiba mpya na kuboresha tume huru ya uchaguzi ili uchaguzi uwe huru na wa haki, lakini Chadema haitashinda aslani.
Nom sense kama makamu mwenyekiti alirubuniwa na kwenda ccm unaisi chadema ni wajinga wake tena kuamini watu kizembe zembe vyama vingi vimepotea sababu iyoo slaa alikuwa CCM damu ni ngumu kumpa uenyekiti naye ni wale wale Tu mwenyekiti ajaye saivi ni lissu baada ya mbowe chadema si wajinga wajinga kama vyama vingine
 
Nom sense kama makamu mwenyekiti alirubuniwa na kwenda ccm unaisi chadema ni wajinga wake tena kuamini watu kizembe zembe vyama vingi vimepotea sababu iyoo slaa alikuwa CCM damu ni ngumu kumpa uenyekiti naye ni wale wale Tu mwenyekiti ajaye saivi ni lissu baada ya mbowe chadema si wajinga wajinga kama vyama vingine
Tatizo la umamluki ni pana kuliko unavyodhania na usilichukulie rahisi rahisi mkuu.

Umdhaniaye ndiye siye na usiyemdhania ndiye kumbe siye!
Kuna mtu kama mwwnyekiti Mrema wa 95 aweza kuwa ni pandikizi la Sisiem?

Huyo Mbowe ana kinga gani ya kutokuwa mamluki na akashindwa kukisaliti Chadema?

Unakumbuka mchakato wa kumkodisha makapi Lowasa kugombea Urais ilikuwaje?

Kalaga bhaho!
 
Back
Top Bottom