Tuisadie CHADEMA -2025

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,566
Hello JF,

Nimeshangaa sioni website ya Chadema, ipo ama sio? Yaani kitu simple kama hiki kuonyesha duniani who you are and what you do mmekidharau?

Anyway, leo naomba tusaidiane mawazo ya kukipa chama nguvu kupambana 2025;

Mimi nadhani:
Kuwe na succession plan nzuri, hatuwezi kuona same faces every day ,kila siku Mnyika, Lema,Mbowe, tunashukuru kwa nguvu zao chama kime survive turbulence nyingi but its time new faces should emerge...ni vizuri wakawapisha wengine wao achukue back seats wawe wakiwa coach viongozi wapya...this is important to energize the party.

In this succession plan,pia kuwe na clear guideline jinsi ya ku recruit viongozi wapya . Binafsi nadhani kukiwa na recruitment process nzuri viongozi wapya watapatikana watakao drive chama mbele. Jinsi ya kupata kiongozi Mzuri mpya nahisi position itangazwe kama ajira nyingine yeyote then unafanya sifting kulingana na leadership qualities unazozitaka, sio kweli hakuna watu influential na creative watakao drive chama mbele it's just wajatangaza nafasi zimezibwa na kina Lema,(my guess).

Tuwapongeze CHADEMA kwa kampeni yao ya kidijitali, ila more needs to be done, kwa kutumia digital tools ama approach nyingine CHADEMA iwe na system ya kujua MSIMAMO wa wananchi kuhusu mambo yanaowagusa, wakishajua OPINION then CHADEMA ni rahisi kutunga the best alternative, mfano tozo, unakusanya data then unapinga msimamo wa serikali kutokana na data ulizopata, sio sasa wengine wanasema pinga pinga, mambo yote mfanye Evidence-based.

Sio lazima mpinge serikali mnaweza kuja na mawazo mampya ambayo mnaweza kufanyia research mkaja na mambo mapya kufanyia wepesi maisha ya watanzania. Ninaposema kujua opinion sio ya hawa watumiaji wa social network ambao ni wachache Bali watanzania wote mjini, vijijini,Bara,Visiwani..n.k

Karibuni kwa mawazo: ila nampenda mama Samia lol
 
Hello JF,

Nimeshangaa sioni website ya Chadema, ipo ama sio? Yaani kitu simple kama hiki kuonyesha duniani who you are and what you do mmekidharau?

Anyway, leo naomba tusaidiane mawazo ya kukipa chama nguvu kupambana 2025;

Mimi nadhani:
Kuwe na succession plan nzuri, hatuwezi kuona same faces every day ,kila siku Mnyika, Lema,Mbowe, tunashukuru kwa nguvu zao chama kime survive turbulence nyingi but its time new faces should emerge...ni vizuri wakawapisha wengine wao achukue back seats wawe wakiwa coach viongozi wapya...this is important to energize the party.

In this succession plan,pia kuwe na clear guideline jinsi ya ku recruit viongozi wapya . Binafsi nadhani kukiwa na recruitment process nzuri viongozi wapya watapatikana watakao drive chama mbele. Jinsi ya kupata kiongozi Mzuri mpya nahisi position itangazwe kama ajira nyingine yeyote then unafanya sifting kulingana na leadership qualities unazozitaka, sio kweli hakuna watu influential na creative watakao drive chama mbele it's just wajatangaza nafasi zimezibwa na kina Lema,(my guess).

Tuwapongeze CHADEMA kwa kampeni yao ya kidijitali, ila more needs to be done, kwa kutumia digital tools ama approach nyingine CHADEMA iwe na system ya kujua MSIMAMO wa wananchi kuhusu mambo yanaowagusa, wakishajua OPINION then CHADEMA ni rahisi kutunga the best alternative, mfano tozo, unakusanya data then unapinga msimamo wa serikali kutokana na data ulizopata, sio sasa wengine wanasema pinga pinga, mambo yote mfanye Evidence-based.

Sio lazima mpinge serikali mnaweza kuja na mawazo mampya ambayo mnaweza kufanyia research mkaja na mambo mapya kufanyia wepesi maisha ya watanzania. Ninaposema kujua opinion sio ya hawa watumiaji wa social network ambao ni wachache Bali watanzania wote mjini, vijijini,Bara,Visiwani..n.k

Karibuni kwa mawazo: ila nampenda mama Samia lol
"Mimi nadhani:
Kuwe na succession plan nzuri, hatuwezi kuona same faces every day ,kila siku Mnyika, Lema,Mbowe, tunashukuru kwa nguvu zao chama kime survive turbulence nyingi but its time new faces should emerge...ni vizuri wakawapisha wengine wao achukue back seats wawe wakiwa coach viongozi wapya...this is important to energize the party."

____________________________
Subiri waje wakuporomoshee maneno.
Huwa hawashauriki hawa.
 
Mrema, Cheyo, Rungwe, Mbatia na wengine ni sawa? Tatizo ni kwa CHADEMA hapa, siyo? CCM mwaka huu mna mapenzi sana na CHADEMA.
"Mimi nadhani:
Kuwe na succession plan nzuri, hatuwezi kuona same faces every day ,kila siku Mnyika, Lema,Mbowe, tunashukuru kwa nguvu zao chama kime survive turbulence nyingi but its time new faces should emerge...ni vizuri wakawapisha wengine wao achukue back seats wawe wakiwa coach viongozi wapya...this is important to energize the party."

____________________________
Subiri waje wakuporomoshee maneno.
Huwa hawashauriki hawa.
 
Lile ni genge la watu flani flani!

Hehe umtoe Mbowe, Lema na Mnyika hicho chama kitakuwepo?

Kiuhalisia(reality) Chadema si ya watanzania, ila kiukweli(in fact) kinapaswa kua cha watanzania

Ukiangalia muundo wa uongozi wa chama, utakubaliana na uhalisia! na ukisoma makablasha ya chama utakubaliana na ukweli.
 
Hello JF,

Nimeshangaa sioni website ya Chadema, ipo ama sio? Yaani kitu simple kama hiki kuonyesha duniani who you are and what you do mmekidharau?

Anyway, leo naomba tusaidiane mawazo ya kukipa chama nguvu kupambana 2025;

Mimi nadhani:
Kuwe na succession plan nzuri, hatuwezi kuona same faces every day ,kila siku Mnyika, Lema,Mbowe, tunashukuru kwa nguvu zao chama kime survive turbulence nyingi but its time new faces should emerge...ni vizuri wakawapisha wengine wao achukue back seats wawe wakiwa coach viongozi wapya...this is important to energize the party.

In this succession plan,pia kuwe na clear guideline jinsi ya ku recruit viongozi wapya . Binafsi nadhani kukiwa na recruitment process nzuri viongozi wapya watapatikana watakao drive chama mbele. Jinsi ya kupata kiongozi Mzuri mpya nahisi position itangazwe kama ajira nyingine yeyote then unafanya sifting kulingana na leadership qualities unazozitaka, sio kweli hakuna watu influential na creative watakao drive chama mbele it's just wajatangaza nafasi zimezibwa na kina Lema,(my guess).

Tuwapongeze CHADEMA kwa kampeni yao ya kidijitali, ila more needs to be done, kwa kutumia digital tools ama approach nyingine CHADEMA iwe na system ya kujua MSIMAMO wa wananchi kuhusu mambo yanaowagusa, wakishajua OPINION then CHADEMA ni rahisi kutunga the best alternative, mfano tozo, unakusanya data then unapinga msimamo wa serikali kutokana na data ulizopata, sio sasa wengine wanasema pinga pinga, mambo yote mfanye Evidence-based.

Sio lazima mpinge serikali mnaweza kuja na mawazo mampya ambayo mnaweza kufanyia research mkaja na mambo mapya kufanyia wepesi maisha ya watanzania. Ninaposema kujua opinion sio ya hawa watumiaji wa social network ambao ni wachache Bali watanzania wote mjini, vijijini,Bara,Visiwani..n.k

Karibuni kwa mawazo: ila nampenda mama Samia lol
Rebeca 83 lini umekuwa CHADEMA na kukipenda kukipenda hiki chama? Ni kweli una mapenzi ya dhati? Yameanza lini?
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom