NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Unatoa wazo kwa jamaa zako!?,ngoja wakwambie wewe ni mamluki au ni CCM.
Punguza bangi.
Si kila anayetoa mawazo yake basi ni CCM.
Wewe mada umeona inahusu NCCR?
Usijitoe ufahamu.
Lile ni genge la watu flani flani!
Hehe umtoe Mbowe, Lema na Mnyika hicho chama kitakuwepo?
Kiuhalisia(reality) Chadema si ya watanzania, ila kiukweli(in fact) kinapaswa kua cha watanzania
Ukiangalia muundo wa uongozi wa chama, utakubaliana na uhalisia! na ukisoma makablasha ya chama utakubaliana na ukweli.
Mtu anaongea ishu ya maana wewe unaleta ushabiki maandazi.Hizi mbinu za ccm wamejaribu mara nyingi sana wameshindwa. Sasa wewe huu ujinga unaleta leo?
Hizo za TADEA kaanzishe wewe.Wala kulikuwa hakuna haja ya kumtukana mtu usiyemfahamu. Hoja haijibiwi kwa rungu. Kila siku mnaleta mada za CHADEMA, siyo? Mna ujauzito wa CHADEMA, siyo? Leteni mada za TLP, UDP, NCCR, TADEA pia... Tanzania ina vyama 18. CHADEMA imewajaa moyoni. Nunueni kadi za kidijitali basi.
Hizo za TADEA kaanzishe wewe.
Usimpangie mtu mada ya kuanzisha.
Ukijifungua waweza kumuita bavichaHuyo mtoto akizaliwa tumuite CHADEMA basi.
Ukijifungua waweza kumuita bavicha
Kama aliyokutundika jpmNimekwishakupa mbegu...
Kama aliyokutundika jpm
Unatoa wazo kwa jamaa zako!?,ngoja wakwambie wewe ni mamluki au ni CCM.
Mimba inakutesa eeh!Alikwenda zake huyo fara. Tumwache aungue huko motoni. Tu-deal na wanaopumua sasa. Lea hicho kichanga cha CHADEMA.
Mimba inakutesa eeh!
Katapike unguze bangi hizo kichwani
Wewe ambae hutaki mabadiliko ndani ya CHADEMA ndio cancer yenyewe,mnamtafuna hiki chama taratiiiibu,lol
Yaani muda huu ndio ulikuwa mzuri kwa CDM kujipanga na kuchukua nchi 2025 maana maccm yashapoteana.
Bahati mbaya hao CDM watakupopoa hapa na kutofuata huo ushauri wako.
Yaani muda huu ndio ulikuwa mzuri kwa CDM kujipanga na kuchukua nchi 2025 maana maccm yashapoteana.
Bahati mbaya hao CDM watakupopoa hapa na kutofuata huo ushauri wako.