Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,146
- 4,206
Kenya mpaka Leo 10-July Sheria mpya ya Fedha ipo pending licha ya bunge kupitisha, lakini watu walioona sio sawa wameenda mahakamani, sisi tunakwama wapi?
Wanasheria wengi wanaukosoa Mkataba wa DP World lakini cha ajabu mbona hawaendi mahakamani?
Kifupi mkataba unaonekana umekaa kiutapeli, sasa shida ni nini? Hawa wanasheria wanashindwa kufungua kesi ya kupinga serikali kuruhusu DP World kupewa bandari?
TLS, Haki Ardhi, Tume ya Haki, Chama cha Mawakili, Tundu Lissu, Jebra, Kibatala, hawa wote mbona wanashindwa kutusaidia bandari yetu iwe salama?
Wanasheria wengi wanaukosoa Mkataba wa DP World lakini cha ajabu mbona hawaendi mahakamani?
Kifupi mkataba unaonekana umekaa kiutapeli, sasa shida ni nini? Hawa wanasheria wanashindwa kufungua kesi ya kupinga serikali kuruhusu DP World kupewa bandari?
TLS, Haki Ardhi, Tume ya Haki, Chama cha Mawakili, Tundu Lissu, Jebra, Kibatala, hawa wote mbona wanashindwa kutusaidia bandari yetu iwe salama?