KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,590
- 4,603
Ninaiamini Serikali ya Rais Samia kwenye kulinda haki na uhuru wa watu dhidi ya vitendo vya udhalilishaji ndio maana hatua za awali zimechukuliwa na Rais Samia Kwa aliyekuwa Naibu Waziri Gekul dhidi ya tuhuma za udhalilishaji Kwa kijana Gekul.
CCM kinatakiwa kinawe mikono Kwa kumchukulia hatua Kali za kinidhamu na kimaadili Gekul na baada ya hapo CCM ishirikiane na Hashimu Kwa kumsaidia kumpatia wanasheria wa Chama wakamsaidie kupata haki yake mahakamani.
CCM kinatakiwa kinawe mikono Kwa kumchukulia hatua Kali za kinidhamu na kimaadili Gekul na baada ya hapo CCM ishirikiane na Hashimu Kwa kumsaidia kumpatia wanasheria wa Chama wakamsaidie kupata haki yake mahakamani.