Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi!

Hivi kama jina lako ni la kisukum, hilo la kuzaliwa wakati wa baa la njaa, linaandikwa "Mayalla" au "Mayala"?? Mababu zako walikusudia liandikwaje??
Nimetoka nje ya mada kidogo kusahihishwa!
 
Una akili ndogo wewe una uhakika gani pale anapohutubia wote wanasikia kiswahili?? mbona wanapochanganya na kingereza hupayuki kulaumu..umekaririr takwimu kila kitu unauliza takwimu..unaposema ukabila wa wasukuma wakati wachaga wamejaa tele na maduka yao mza, shy, khm una akili wewe..uliza moshi km kuna watu kutoka sehemu nyingine wanafanya biashara huko?? wala kuwa mpagani si kosa, ni wapi shule nzr zilijengwa na wakoloni..Tabora boys/girls iko moshi?? ni viongozi gani wa mwanzo kuleta changamoto za vyama vingi??? kasanga tumbo ni mchaga? Kasela bantu je.. trace historia ya makanisa hasa ya kipentekoste yalianzia wapi..arusha?? una matatizo wewe..
 
Tatizo lenu ninyi ni kuchunga ng'ombe. masai wanachunga ng'ombe lakini wana uelewa mzuri sana kichwani tofauti na ninyi, labda ni kwasababu hamkati magovi. unachotakiwa kuelewa ni kwamba, unapoongea kama rais wa nchi ambayo inapinga ukabila, ni sumu kubwa sana kuongea kikabila kwenye muhadhara wa watu wa makabila mbalimbali. kwanza unawafanya wasio wasukuma wajione wanabaguliwa pamoja na kwamba wameacha shughuli zao home kuja kukusikiliza kama rais wao. ndio maana utaona wale wanaoshangilia sanaa ni wasukuma tena wanaojua kiswhaili vizuri tu. hautaelewa hata nikikueleza miaka mia...ndo maana mnafoji vyeti huko koromije.
 
You r so fo.o.lish to be intimidated hearing someone using his mother tongue..thats why you speak nasty..
 
You r so fo.o.lish to be intimidated hearing someone using his mother tongue..thats why you speak nasty..
ndio maana nimesema tatizo ni akili, mnaanza shule mkiwa wakubwa mno. kwa tz tulivyozoea, kiswahili ndio lugha ya taifa, kiongozi wa taifa anategemewa kuongea lugha ya taifa. sio rais wa wasukuma yule, ni wa wote hata wasiojua kisukuma. even if i would be too foolish to the maximum sidhani kama ningefikia kiwango chenu.
 
Nosense! mwenye akili hana muda kujadili trivial issues km za mtu kuongea lugha ya kabila yake..haina effect yoyote popote, mpumbavu aliyekariri vitabu shuleni whether alianza shule na miaka 0 ndiye anasumbuliwa kufikiri km unavyoandika hapa!
 
Nosense! mwenye akili hana muda kujadili trivial issues km za mtu kuongea lugha ya kabila yake..haina effect yoyote popote, mpumbavu aliyekariri vitabu shuleni whether alianza shule na miaka 0 ndiye anasumbuliwa kufikiri km unavyoandika hapa!
its unfortunate you are taking this issue as trivial. najua mmelewa tu madaraka, kazi yenu ninyi ilikuwa muendelee kuchunga ng'ombe. sina mengi zaidi ya hayo. pia msisahau kukata magovi.
 
Nosense! mwenye akili hana muda kujadili trivial issues km za mtu kuongea lugha ya kabila yake..haina effect yoyote popote, mpumbavu aliyekariri vitabu shuleni whether alianza shule na miaka 0 ndiye anasumbuliwa kufikiri km unavyoandika hapa!
Kwa akili hizi sikushangai ukitetea ukabila. Kuhutubia kwa lugha ya kabila katika jukwaa linalotazamwa na kusikilizwa na taifa zima kwako ni sawa, haina effect yoyote. Nashukuru kukufahamu.
 
nini chanzo cha mwashita? kwanini kulikuwa na under investment sehemu fulani za nchi? kwanini kuna vyama vya watu waliotoka sehemu......., kila mkoa walipo?
 
ni sehemu gani ya nchi yenye under investment ya shule na miundo mbinu na watu wake ktk kupata ajira tra and the like? na nini madhara ya kukosa vitu hivyo
 
Mayalla Nyerere wakati anajaribu kuyazuia makabila makubwa alishaona hilo.
Tatizo hapa sio ubaguzi wa msukuma no ni Kwa sababu kabila kubwa litakuwa na wasomi wa kutosha,wanajeshi wa kutosha na usalama wa taifa wa kutosha.
Jiulize kama rais akiwa msandawe anaweza kupendelea wasandawe na kuwajaza serikalini?
Fikiria rais angekuwa mzanaki bashite angependelewa?
Rais angekuwa msafwa uwanja wa ndege ungeenda kujengwa kijijini kwake alimozaliwa?
Brother ukuu wa wilaya utaupata Kwa kuwa msukuma na si vinginevyo.
Niambie Kwa maneno makali ya askofu gwajima angekuwa mchaga au mmasai Leo angekuwa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…