mleta mada unasomeka sana, ata kama una ugomvi na Mwakyembe, lakini uliyoelezea yanaingia akilini, kuna viongozi fulani wameshajinyakulia huruma kutoka kwa wanachi, kila utakachoandika kuhusu wao ata kama ukweli itaonekana ni uongo tu, kwa kuwa sijui mpambanaji, dola laki 2 kwa mwezi ni hela nyingi sana, ningependa kuona mchanganua wa mahesabu wanaipataje hiyo dola laki 2 ya kulipa kwa mwezi.