Nimepanda hii ndege inayotuhumia jana tu, from Dar to....! ukweli management ya ATC ime change sana, wapo very serious na biashara, wahudumu ni wazuri na wapo committed hasa, kabla ya uzi huu kubandikwa, kwasababu na mimi ni mTanzania nilifanya mahesabu yafuatayo:-
Trip moja from Dar to Mwanza ni Tsh 166,000/= kwa abiria anaenda one trip only, lakini kwa wale wanaokata go and return Mwanza to Dar ni Tsh 257,000/= well, let us just assume kwamba abiria wote ni wa go and return, of course nia hapa ni kua na hesabu ambayo ni most minimum, kama kila Trip ndege itabeba abiria 50 tu it mean kwa trip moja ndege hiyo itakua imetengeneza pesa hizi.
Chukua nusu ya hiyo 257,000/= gawanya kwa 2 itakupa 128500/= then kwa hao abiria 50 itakupa 6425000/= ndege hii hufanya safari sita kwenda na kurudi Mwanza, yaani asubuhi ya saa 12 to Mwanza, then saa 2 to Dar, kisha saa za mchana to Mwanza again, machana huo huo hurudi Dar tena then saa 11 jioni inatia timu Mwanza while mbili usiku inarudi Dar, weka hesabu hiyo mara sita yaani 6425000 kwa 6 sawa 38,550,000/= sasa hiyo ni pesa ya siku moja, weka kwa hiyo miezi 3 ya ukodishwaji, assuming mwezi utakua na siku 90 then jumla ya pesa kama Gross itakazo zipata ATC kwa deal hili ni Tsh 3,469,500,000/= mbona hili deal linalipa sana tu, anyway twende kwenye hiyo bill ya mwezi ya USD 200,000, kama exchange rate ni 1=1550 then USD 200,000 ni sawa 310000000/= wakati siku moja umelala na Tsh 38550000, kumbukeni pia, Distance from Mwanza to Dar kwa ndege ni Km 450 tu.
Mmmm, wakuu, tuache majungu, Mwakyembe ameweka dira, hata bei za Precion naona kama zimeshuka hivi, i think because of compitetion!
Jinsi siku zinavyozidi kwenda ubongo wa Mtanzania unazidi kuwa mdogo wakati wa jirani zetu kama Kenya na Rwanda unazidi kuwa mkubwa. Lecturer akishakupa hints darasani, nenda kachimbe upate zaidi. Sasa ukitaka kutafuniwa kila kitu hata rangi ya njano itafika hatua tutasema ni nyeupe.Huu ni umbeya tu. No evidence. Hizi ni chuki bianfsi tu. Ungeweka documents za kuthibitisha hayo ynayoongea. Otherwise ni zaidi ya upepo.
Its getting emotional here...
Kuna majungu mengine ya kitoto sana,Taarifa hii imekaa kinafiki nafiki na inaonekana imeletwa mahsusi kushambulia upande wa Mwakyembe.
Ngoja wenyewe wazione hizi tuhuma. Nina uhakika watakuja na majibu stahiki.
Ni mkanganyiko fulani wa mawazo!
Mleta mada anaonyesha mweelewa kidogo sana wa mambo ya usalama wa anga,Umri wa ndege haupimwi kwa muda iliotengenezwa tuu, bali masaa ya kuruka .
Pia mwenye chuki binafsi na Mwakyembe, Amezidi kujikanyaga hasa alipomuhusisha CAG.Namshauri kwanza atatue mgogoro wake wa ndani ili aweze kuweka mtiririko unaoeleweka. Atenganishe tuhuma, chuki binafsi na majungu.
Pia ajifunze na kupokea ushauri kwamba uropokaji hadharani siyo njia muafaka ya kuwakilisha ujumbe.
Tunataka data!!:glasses-nerdy:
Mtoa thread ni mmoja wa wale wale e e e e e e e e e e, umeona e e e eh h h.