Tuhuma nzito za ufisadi dhidi ya Mwakyembe pale ATC

Status
Not open for further replies.
wamegushwa wauza unga ndio unatoa tuhuma...au ndio wamekutuma, hakuna aliye msafi ila kazi ionekane inafanyika pia, unatumiwa na wauza unga wewe
 
Nilijua tu Lazima wauza sembe mtaanza kujihami kwa kumtengenezea zengwe Mwakye.
Acheni awataje kudadeki. Na safari hii serikali ikiwashindwa tutawatafuna sisi wananchi bila woga
 
Taarifa hii sio mpya hapa JF na kwa watanzania werevu. Msg kubwa hapa naona ni dalili kwamba Mwakyembe ana watu ambao hawapendi juhudi zake.
 
Sasa baba naona unatuchanganya kidogo kwa iyo analysis,kwani hakuna mtz yeyote mwenye akili timamu asiyejua kwamba matatizo ya ATC yameanza tangu enzi za mkapa.Sasa unapo mshambulia Mwakyembe kwa makosa ya wengine bado hoja yako inazidi kuwa na ukakasi.Kwani Mwakyembe ana mda gani pale wizarani?yawezekana huo utumbo pengine aliukuta umeandaliwa wajanja na isitoshe ni mkataba wa kimataifa sasa wewe ulitaka kumbe afanyeje?mimi naamini kwamba Mwakyembe ni mmoja wanasheria makini katika nchi hii siamini kama anaweza kusaini mkataba wa kikanjanja kama unavyotaka kutuaminisha.Labda pengine utufafanulie ni kwanini ulikaa kimya na taarifa hii muhimu kama na wewe si miongoni mwa mafisadi wa taarifa za ufisadi?au kwa umesema kwa sababu leo amesema atawataja wauza unga vigogo wa nchi hii?bila shaka yawezekana umetumwa na hao drug barons kumlipua Mwakyembe ili nae aonekane mchafu?.Naomba niseme,Kwamba umethubutu kutushawishi,umeshindwa kutushawishi sasa kajipange upya.
 
Mleta maada anaonekana ni muuza unga. Naona mwakyembe kawashika pabaya, mtakoma
 
Wewe muuza madawa! Makalio yako unatumia kufikiria. Kamwe hamtamuweza Dr Mwakyembe

Hii thread mmeangalia imeanzishwa lini lakini?..thread ya mwaka jana hii jamani angalieni na tarehe msikurupuke tu kucomment! Halafu siku nyingine ujue hakuna umuhimu wa kuquote thread ndefu kiasi hicho, unaumiza wanaotumia mobile!
cc: Mudawote Kurunzi Abdulnoor Issa tongi
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada usikatishwe tamaa na hawa ma-ccm wanaoandika ushuzi wao hapa, wewe ukipata data zilete hapa jamvini.
 
wamegushwa wauza unga ndio unatoa tuhuma...au ndio wamekutuma, hakuna aliye msafi ila kazi ionekane inafanyika pia, unatumiwa na wauza unga wewe

thread ya 2012 ,tumia hata makalio yako kama huna akili
 
Nimepanda hii ndege inayotuhumia jana tu, from Dar to....! ukweli management ya ATC ime change sana, wapo very serious na biashara, wahudumu ni wazuri na wapo committed hasa, kabla ya uzi huu kubandikwa, kwasababu na mimi ni mTanzania nilifanya mahesabu yafuatayo:-

Trip moja from Dar to Mwanza ni Tsh 166,000/= kwa abiria anaenda one trip only, lakini kwa wale wanaokata go and return Mwanza to Dar ni Tsh 257,000/= well, let us just assume kwamba abiria wote ni wa go and return, of course nia hapa ni kua na hesabu ambayo ni most minimum, kama kila Trip ndege itabeba abiria 50 tu it mean kwa trip moja ndege hiyo itakua imetengeneza pesa hizi.

Chukua nusu ya hiyo 257,000/= gawanya kwa 2 itakupa 128500/= then kwa hao abiria 50 itakupa 6425000/= ndege hii hufanya safari sita kwenda na kurudi Mwanza, yaani asubuhi ya saa 12 to Mwanza, then saa 2 to Dar, kisha saa za mchana to Mwanza again, machana huo huo hurudi Dar tena then saa 11 jioni inatia timu Mwanza while mbili usiku inarudi Dar, weka hesabu hiyo mara sita yaani 6425000 kwa 6 sawa 38,550,000/= sasa hiyo ni pesa ya siku moja, weka kwa hiyo miezi 3 ya ukodishwaji, assuming mwezi utakua na siku 90 then jumla ya pesa kama Gross itakazo zipata ATC kwa deal hili ni Tsh 3,469,500,000/= mbona hili deal linalipa sana tu, anyway twende kwenye hiyo bill ya mwezi ya USD 200,000, kama exchange rate ni 1=1550 then USD 200,000 ni sawa 310000000/= wakati siku moja umelala na Tsh 38550000, kumbukeni pia, Distance from Mwanza to Dar kwa ndege ni Km 450 tu.

Mmmm, wakuu, tuache majungu, Mwakyembe ameweka dira, hata bei za Precion naona kama zimeshuka hivi, i think because of compitetion!

"Beautiful analysis" I can now see something there.
 
Status
Not open for further replies.
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom