Maendeleo tu
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 347
- 107
Sijaenda deep kujua ukweli wa aliyosema mtoa hoja isipokuwa ukiangalia mwenendo wa ATC unaweza kuunganisha points ukapata majibu.
Tatizo la bongo hatuna mipango ya maana. Baada ya ATC kusuasua nilitegemea kuona kipindi cha mpito ambacho kingekuja na mpango mkakati wa miaka 50 mpaka 100. Badala yake tunachokiona sasa ni kesho kutakuchaje!? Hili ndiyo tatizo langu kwa miradi mingi ya bongo. kila siku tunajenga barabara dar ambazo ni short term. hatuna muda mrefu huu mradi wa sasa wa mabasi yaendayo kasi utaonekana umezidiwa na tutasikia flyovers in Dar is inevitable wakati leo inaonekana kama ndoto za alinacha.
Anyway, tusisahau ule usemi usemao "mtu kujamba chooni si ajabu"
Tatizo la bongo hatuna mipango ya maana. Baada ya ATC kusuasua nilitegemea kuona kipindi cha mpito ambacho kingekuja na mpango mkakati wa miaka 50 mpaka 100. Badala yake tunachokiona sasa ni kesho kutakuchaje!? Hili ndiyo tatizo langu kwa miradi mingi ya bongo. kila siku tunajenga barabara dar ambazo ni short term. hatuna muda mrefu huu mradi wa sasa wa mabasi yaendayo kasi utaonekana umezidiwa na tutasikia flyovers in Dar is inevitable wakati leo inaonekana kama ndoto za alinacha.
Anyway, tusisahau ule usemi usemao "mtu kujamba chooni si ajabu"