evod rashid
New Member
- Jan 18, 2013
- 2
- 0
the way navyomjua Harrison Mwakyembe,Naona hiz ni kama fitina tu.
| ||
|
Taarifa hii imekaa kinafiki nafiki na inaonekana imeletwa mahsusi kushambulia upande wa Mwakyembe.
Ngoja wenyewe wazione hizi tuhuma. Nina uhakika watakuja na majibu stahiki.
Umekurupuka kutoa tuhuma kwa Ofisi ya taifa ya ukaguzi , Suala la ukodishaji wa ndege chakavu CAG kapiga kelele sana, rejea taarifa yake kuhusu ukaguzi wa mashirika ya umma kwa mwaka wa fedha unaoishia juni 30, 2010 amebainisha kuwa , kuhusu atcl, serikali itafakari upya juu ya shirika ila tube wavumilivu katika kipindi hiki atcl inajaribu kufufuka, haya mengine unayotuambia Leo hatuyaamini kwa sababu wengine nyie mnaweza kuwa mawakala wa washindani wa atcl yani precision nk.
assuredly4,.....ni bora hata hizo ndege mtumba tusikodishe bali tununue, ili tujue tuna mandege mabovu kadhaa. Ushauri wangu kwa ATC na Serikali, tusione aibu,.... tuamue sasa badala ya kukodisha ndege tununue ndege mpya kubwa hata 2 kwa mwaka. tukinunua ndege 2 kila mwaka nina hakika baada ya miaka 5 tutakuwa na ndege zetu mpya 10, ambazo utakuwa ni mtaji tosha kabisa ATC kujiendesha....