Watanzania hatuna utamaduni wa kufundisha vijana wetu jinsi ya kujieleza na kuongea mbele ya watu. Hii inasababisha sana hata wataalamu wetu wengi kuonekana kama vile hawana utaalamu. Wenzetu kuanzia mtoto akiwa mdogo shuleni wanafundishwa jinsi ya kuwasiliana na hii inasababisha wanaweza kufanikiwa na kujiamini zaidi.
Yaani imefikia wakati unaona wazi kabisa wale wataalamu ambao wamesoma au nje na wale waliosoma Tanzania pekee. Lakini ukikuta mtu anajua sana kuwasiliana utakuta kafanya kazi kampuni ya nje za kimataifa au kufanya kazi na watu wa nje.
Mawasiliano mazuri sio kupiga tu kelele. Mfano mzuri ni Rais Samia Suluhu. Mimi naona watoto wetu wafundishwe zaidi mawasiliano. Hata Watanzania diaspora wengine wanapata wakati mgumu wa kazi kwa sababu ya mawasiliano.
Yaani imefikia wakati unaona wazi kabisa wale wataalamu ambao wamesoma au nje na wale waliosoma Tanzania pekee. Lakini ukikuta mtu anajua sana kuwasiliana utakuta kafanya kazi kampuni ya nje za kimataifa au kufanya kazi na watu wa nje.
Mawasiliano mazuri sio kupiga tu kelele. Mfano mzuri ni Rais Samia Suluhu. Mimi naona watoto wetu wafundishwe zaidi mawasiliano. Hata Watanzania diaspora wengine wanapata wakati mgumu wa kazi kwa sababu ya mawasiliano.