wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
HELLOW GUYS, MI NIPO MAFINGA...NINA GUNIA 300 ZA MKAA, NITAKUUZIA KWA 15000Tsh.. gunia lina ujazo wa debe saba, ww waweza uza kwa bei ya chini mfano elfu thelathini kwa dsm na ukapata milion 9, toa 4.5m za manunuzi na 1m ya kusafirisha, unaweza baki na 3m faida...so kama uko tayari ni pm nitakupa contact..
Mimi nauza kwa sasa sababu sijawa imara ktk kusafirisha hadi DSM
Mimi nauza kwa sasa sababu sijawa imara ktk kusafirisha hadi DSM