Mtatya's boy
Member
- Jul 28, 2014
- 48
- 19
Sisi binafsi tubapenda mtu akipinga jambo atoe solution yake sio unalalama tu na bila kuwambia watu wafanye nini hilo ni tatizo natumai komando utakuja na majibu ya tuache nini tufanye sio kuegemea upande mmoja tu.