Tufanye biashara hii, yenye hela

MIMI NAONA INAENDA KUWA SIASA, theory ni zipi? na practicali ni zipi? Hapa naona ni bora nihamie jukwaa la SIASA KABISA MAKE MTU AKISEMA UKWELI ANAONEKANA MPOTOSHAJI, SITACHANGIA TENA THREAD HUMU ILI NISONEKANE NA POTOSHA,

MWISHO WA SIKU KILA MTU ATAUBEBA MSALABA WAKE MWENYEWE, NITAKUWA NA POST TU ILA SITACHANGIA BAADHI YA THREAD,

NA NAZANI KIKUBWA KULIKO VYOTE TUACHE TIME IFANYE KAZI YAKE, ONE DAY TUTAKUJA KUULIZANA MBELE YA SAFARI

Mkuu nondo zako siku zote zimeenda shule .Usikimbie hili jamvi,michango yako ni muhimu mno,japo sio wote watakaokuelewa.Itakuja kufika siku hata taxi mjini zinaendeshwa na makampuni makubwa,sio mtu unakuja na ka corolla kake anataka kufanya taxi,hapo ndo wengi wataelewa ulikua unamaanisha nini kwenye jumbe zako.
 
Mkuu nondo zako siku zote zimeenda shule .Usikimbie hili jamvi,michango yako ni muhimu mno,japo sio wote watakaokuelewa.Itakuja kufika siku hata taxi mjini zinaendeshwa na makampuni makubwa,sio mtu unakuja na ka corolla kake anataka kufanya taxi,hapo ndo wengi wataelewa ulikua unamaanisha nini kwenye jumbe zako.

Mkuu Tatzo Watanzania wakiambia ukweli wanakuja juu sana, haina haja ya kukaa kudanganyana wakati tunaangamaia, Ya unacho sema ni ukweli sisi tumejikita katika biashara ya uchuuzi, Ila investment kubwa na zenye tija kama wanazo fanya wakina Malila hizo hapana,

Kuhusu Tex kuwa makampuni hiyo ni kweli kabisa na haiko mbali sana, kwani hujaona kwenye Dalala imeisha anza wanataka ziendeshwe na makampuni na si kila mtu anakurupuka na kununua Basi, Kwani ulitegemea Vi Haice vingeondolewa katikati ya Jiji? hata hayo Mabasi bado yataondoka na yatatakiwa masi makubwa zaidi kama haya yanayo enda mikoani tena babasi yenye hadhi siyo ya kuchonga body,

LAKINI PAMOJA NA HAYO SI ZANI KAMA KUNA WATANZANIA WANAO ENDESHA BIASHARA ZA DALADALA WANALIONA HILO, HAKUNA TUMEJIKITA KUKUSANYA PESA TU LAKINI KUINVEST KWA AJILI YA MIAKA 10 IJAYO HAPANA,

- Na hata haya mabasi yaendayo mikoani kwa baishara wanazo fanya bila ubunifu hawatakua na muda mrefu, tumejikita sana kukusanya fedha kuliko kuboresha huduma ndo culture yetu,

MFANO JANA NILIINGIA MINSUPERMARKET MOJA YA HAPA ARUSHA, KWA KWELI UNAWEZA KULIA, WAHUDUMU WAKO BISE NA MAGAZETI YA UDAKU, UNAWAULIZA KITU MARA NNENE, WANAKUONA KAMA UMEENDA KUOMNA MSAADA DUKAN MWAO, ILA KUNA HAWA WAKENYA WANATAKA KUFUNGUA SUPERMARKET YAO KUBWA KULIKO HATA SHOPRITE, NAPENDA WAJE ILI WATANZANIA TUFUNGE ZETU NA TUJIFUNZE BIASHARA ZINAVYO FANYWA NA SI KUCHUKU VIDADA MTAANI UNAWEKA DUKANI HUJAVIPA ELIMU YOYOTE VINABAKI KUPAKA WANJA DUKANI BADALA YA KUWAHUDUMIA WATEJA,

Mkuu pamoja sana

 
Mkuu Tatzo Watanzania wakiambia ukweli wanakuja juu sana, haina haja ya kukaa kudanganyana wakati tunaangamaia, Ya unacho sema ni ukweli sisi tumejikita katika biashara ya uchuuzi, Ila investment kubwa na zenye tija kama wanazo fanya wakina Malila hizo hapana,

Kuhusu Tex kuwa makampuni hiyo ni kweli kabisa na haiko mbali sana, kwani hujaona kwenye Dalala imeisha anza wanataka ziendeshwe na makampuni na si kila mtu anakurupuka na kununua Basi, Kwani ulitegemea Vi Haice vingeondolewa katikati ya Jiji? hata hayo Mabasi bado yataondoka na yatatakiwa masi makubwa zaidi kama haya yanayo enda mikoani tena babasi yenye hadhi siyo ya kuchonga body,

LAKINI PAMOJA NA HAYO SI ZANI KAMA KUNA WATANZANIA WANAO ENDESHA BIASHARA ZA DALADALA WANALIONA HILO, HAKUNA TUMEJIKITA KUKUSANYA PESA TU LAKINI KUINVEST KWA AJILI YA MIAKA 10 IJAYO HAPANA,

- Na hata haya mabasi yaendayo mikoani kwa baishara wanazo fanya bila ubunifu hawatakua na muda mrefu, tumejikita sana kukusanya fedha kuliko kuboresha huduma ndo culture yetu,

MFANO JANA NILIINGIA MINSUPERMARKET MOJA YA HAPA ARUSHA, KWA KWELI UNAWEZA KULIA, WAHUDUMU WAKO BISE NA MAGAZETI YA UDAKU, UNAWAULIZA KITU MARA NNENE, WANAKUONA KAMA UMEENDA KUOMNA MSAADA DUKAN MWAO, ILA KUNA HAWA WAKENYA WANATAKA KUFUNGUA SUPERMARKET YAO KUBWA KULIKO HATA SHOPRITE, NAPENDA WAJE ILI WATANZANIA TUFUNGE ZETU NA TUJIFUNZE BIASHARA ZINAVYO FANYWA NA SI KUCHUKU VIDADA MTAANI UNAWEKA DUKANI HUJAVIPA ELIMU YOYOTE VINABAKI KUPAKA WANJA DUKANI BADALA YA KUWAHUDUMIA WATEJA,[/COLOR]

Mkuu pamoja sana

[/B][/SIZE][/QUOTE]
komandoo nadhani mnahitilafiana padogo tu na wana jamvi baadhi hapa wengi hawana tatizo na maelezzo yako, hata mimi ccna tatizo kabisa unachosema ni sahihi kabisa, lakini swali ni je hawa watu akiwemo ndugu yangu mleta hoja wana elimu hiyo? wanajua mambo hayo kweli na jinsi ya kufanya biashara endelevu na bora? mtu kwa mfano mtu anahtaji afungashe biashara yake vizuri ifanane na hiyo kutoka south africa, ataanzia wapi? hajawahi kuwa exposed katika suala hilo wala hana hata elimu ya hiyo, ataifanyaje?

Unajua kufanya kitu ni eidha umepata shule au umekaa na mwenye uzoefu kisha ukapata ujuzi wa ziada, watazania si wa kulaumiwa sana wengi wetu ndo misingi tuliojengewa, yaani mibovu, elimu yetu inawaandaa watu kuwa waajiliwa na si wabunifu, inawaandaa watu kuwa wategemezi na si wanaojitegemea. nchi haijajengwa katika misingi ya kufanya kazi kwa juhudi na uadilifu na kitaaluma. nahii ndo sababu unaona hakuna uadilifu wa kitaaluma "professionalism" tanzania. wote wanakimbilia siasa na kila msitakabali wa nchi hata unaohitaji uweledi wa kitaaluma utaamuliwa kisiasa.

Mfano: Elimu ya tanzania ambayo ndio msingi wa kila kitu na maendeleo na ustawi wa jamii bado inachezewa na wanasiasa wapuuzi wa tanzania, watoto wanafeli, mitaala mibovu hakuna anayeshituka, faluires ndo wanaandaa bright people to take the nation is it possible kweli watanzania wakalaumiwa kwa kuwa na biashara ambazo si sustainable?

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
[/SIZE][/FONT][/COLOR]
 
MIMI NAONA INAENDA KUWA SIASA, theory ni zipi? na practicali ni zipi? Hapa naona ni bora nihamie jukwaa la SIASA KABISA MAKE MTU AKISEMA UKWELI ANAONEKANA MPOTOSHAJI, SITACHANGIA TENA THREAD HUMU ILI NISONEKANE NA POTOSHA,

MWISHO WA SIKU KILA MTU ATAUBEBA MSALABA WAKE MWENYEWE, NITAKUWA NA POST TU ILA SITACHANGIA BAADHI YA THREAD,

NA NAZANI KIKUBWA KULIKO VYOTE TUACHE TIME IFANYE KAZI YAKE, ONE DAY TUTAKUJA KUULIZANA MBELE YA SAFARI

Mkuu KOMANDOO kimsingi hakuna anayepinga theory zako, zimejaa kwenye vitabu kibao
Tatizo nimesema ni namna yako ya kushauri, hivi toka uzi huu umeanza umeshauri nini zaidi ya kulalamikia watanzania wajinga kibishiara?

Nilitegemea ungemshauri mleta mada jinsi ya kufanikisha biashara zake lakini sasa unaanza kama kejeli na kukandia kwa mifano ya akina bill gate hapa
Unajua kuna wamerekani wangapi wamefanikiwa kama Dell au bill gate? ni asilimia ngapi ya wamarekani? je unajua rate ya kuanzisha na kufa kwa biashara marekani?

Hizo theory zinakubalika sawa duniani kote lakini ina depend na mambo mengi mmno na sio rahisi kama unavyoweza kuwa unaelezea hapa
Kama unamshauri mtu basi be specific lakini kuanza kuchukua theory za vitabuni ku criticize biashara za wenzako sio mpango

Huna haja ya kuacha kuchangia humu mchango wako ni muhimu sana ila kuwekana sawa pia ipo, hatupingi usemacho tunatatizwa na namna yako ya kushauri, maana kuna watu wanajua mambo lakini badala ya kushauri mambo yaendeje wao wanalaumu tu kwamifano

Nimeona sredi zako kadhaa unaandika ushauri vizuri tu mkuu lakini kwenye uzi huu hujaitendea haki taaluma yako
 
Last edited by a moderator:
Kuna tabia imeibuka jf yani mtu ukiongea ukweli halisi watu wanakuchukulia ni hater nakubali mchango wa komandoo ni +ve,wewe cmoney unaonekana mtoto sana unapinga hata ukweli,cashmoney wenzako wana project endelevu na si za kubeep.
 
Mkuu KOMANDOO kimsingi hakuna anayepinga theory zako, zimejaa kwenye vitabu kibao
Tatizo nimesema ni namna yako ya kushauri, hivi toka uzi huu umeanza umeshauri nini zaidi ya kulalamikia watanzania wajinga kibishiara?

Nilitegemea ungemshauri mleta mada jinsi ya kufanikisha biashara zake lakini sasa unaanza kama kejeli na kukandia kwa mifano ya akina bill gate hapa
Unajua kuna wamerekani wangapi wamefanikiwa kama Dell au bill gate? ni asilimia ngapi ya wamarekani? je unajua rate ya kuanzisha na kufa kwa biashara marekani?

Hizo theory zinakubalika sawa duniani kote lakini ina depend na mambo mengi mmno na sio rahisi kama unavyoweza kuwa unaelezea hapa
Kama unamshauri mtu basi be specific lakini kuanza kuchukua theory za vitabuni ku criticize biashara za wenzako sio mpango

Huna haja ya kuacha kuchangia humu mchango wako ni muhimu sana ila kuwekana sawa pia ipo, hatupingi usemacho tunatatizwa na namna yako ya kushauri, maana kuna watu wanajua mambo lakini badala ya kushauri mambo yaendeje wao wanalaumu tu kwamifano

Nimeona sredi zako kadhaa unaandika ushauri vizuri tu mkuu lakini kwenye uzi huu hujaitendea haki taaluma yako

Mkuu theory ni ipi hapo? Naomba uniambie nilicho ongea ambacho ni theory, Kwani wakina michael dell ni theory? ok Tuachane nao hao turudi Tanzania kwetu make hao WAZUNGU KWANZA HAWATUJUI SISI,

Chukulia Mfano wa Azam, Juice, Nazi, Ice cream na kazalika, yule jamaa si kwamba anatafuta pesa yeye ana angalia soko na anapredict kwamba hiki kitu kinaweza kuwa na manufaa kwa jamii bila kujalisha kitamletea pesa au la, that is wahy JAMAA ANAKUWA ANAKUJA NA AIDEA TATA SANA ALIKINI ZENYE IMPACT KUBWA SANA KWA JAMII,

MKUU TUNAPO JIANDAA KUINGIA KWENYE BIASHARA INGIA KWA KUANGALIA JE HIKI KITU KITAKUWA NA MANUFAA KWA JAMII? PESA NI MATOKEO YA AIDEA YAKO KUKUBALIWA, THAT IS WHY NASEMA WAKINA MICHAEL DELL WAO HWAKO FOCUS KWENYE PESA,

NARUDIA KUSEMA KITU AMBACHO KITATUGHALIMU MAISHA NI HIKI CHA KUTAGETI PESA/FAIDA KWANZA, LEO HII KIAJANA ANAFUNGUA SALUNI YA KUNYOA NYWELE MUULIZE ANA NDOTO ZIPI NA HIYO BAISHARA, ATAKUAMBIA ANATAKA KUPATA PESA AJENGE NYUMBA YA KUISHI AU ANUNUE GARI,

WATANZANIA WENGI LEO HII TUNASHINDWA KATIKA BIASHARA KWA SABABU TUMETAGETI PESA KWANZA NA HUDUMA NAADAE,

MFANO: KAMPUNI NYINGI ZA UJENZI ZA TANZANIA ZINA MIAKA 20 ZINGINE KUMI NA LAKINI MPAKA LEO HII WALIKUWA HAWAJUI WANAFANYA NINI KWA SABABU WAO WALIJIKITA KWENYE PESA NA HAWAKUJIKITA KWA LONG TERM INVESTMENT MATOKEO YAKE WACHINA WANAWAPIGA BAO, WAMEBAKI KULIA SERIKALI IWASAIDIE,

MFANO: CHUKULIA IMARA SEKO SUPERMARKET, HUYU MTANZANIA ALIPASWA ASHINDANE VILIVYO NA WAKINA SHOP RITE NA WAKINA UCHUMI SUPERMARKET, LAKINI YUKO WAPI LEO HII? NA YEYE AILAUMU SERIKALI?

NDO MAANA NIKASEMA IMEFIKA WAKATI KWA FAIDA YETU NA WATANZANIA WENZETU TUWEKEZE KWENYE MIRADI MIKUBWA NDO PEKEE ITAKAYO TUFANYA TJITUTUMUE KUSHINDANA NA WENZETU,

MKUU MIMI HUWA HAININGII AKILINI GREAT THINKER ANAKUJA NA AIDEA ZA KITOTO HUMU NDANI, ETI NATAKA KUFUNGUA SALOONI NAOMBA USHAURI,

SO TUANZISHE BIASHARA LAKINI TUTAGETI MIAKA KUMI, ISHIRINI IAJAYO WAKUU, UTAJIRI UTAKUWA NI MATOKEO YA WEWE KUTOA SERVICE ILIYO BORA, PESA ITAKUFUATA TU, UTATAFUTWA HATA UKIWA WAPI

MWISHO, MIMI SIJAPONDA AIDEA YA JAMAA, ILA NILIMSHAURI, NA NDO MAANA TUKO WENGI HUMU TUSIKAE KUPEANA USHAURI UNAO FANANA,
 
Mkuu huwa nakubali sana michango yako imejikita katika hali halisi, tatizo ni sisi watanzania hatutaki kubadilika, Ni sisi tu ndo tumebaki tunafanya primitive business tukizani ndo biashara, Dunia imebadilika sana, kuna ushindani mkubwa sana
 
Mkuu theory ni ipi hapo? Naomba uniambie nilicho ongea ambacho ni theory, Kwani wakina michael dell ni theory? ok Tuachane nao hao turudi Tanzania kwetu make hao WAZUNGU KWANZA HAWATUJUI SISI,

Chukulia Mfano wa Azam, Juice, Nazi, Ice cream na kazalika, yule jamaa si kwamba anatafuta pesa yeye ana angalia soko na anapredict kwamba hiki kitu kinaweza kuwa na manufaa kwa jamii bila kujalisha kitamletea pesa au la, that is wahy JAMAA ANAKUWA ANAKUJA NA AIDEA TATA SANA ALIKINI ZENYE IMPACT KUBWA SANA KWA JAMII,

MKUU TUNAPO JIANDAA KUINGIA KWENYE BIASHARA INGIA KWA KUANGALIA JE HIKI KITU KITAKUWA NA MANUFAA KWA JAMII? PESA NI MATOKEO YA AIDEA YAKO KUKUBALIWA, THAT IS WHY NASEMA WAKINA MICHAEL DELL WAO HWAKO FOCUS KWENYE PESA,

NARUDIA KUSEMA KITU AMBACHO KITATUGHALIMU MAISHA NI HIKI CHA KUTAGETI PESA/FAIDA KWANZA, LEO HII KIAJANA ANAFUNGUA SALUNI YA KUNYOA NYWELE MUULIZE ANA NDOTO ZIPI NA HIYO BAISHARA, ATAKUAMBIA ANATAKA KUPATA PESA AJENGE NYUMBA YA KUISHI AU ANUNUE GARI,

WATANZANIA WENGI LEO HII TUNASHINDWA KATIKA BIASHARA KWA SABABU TUMETAGETI PESA KWANZA NA HUDUMA NAADAE,

MFANO: KAMPUNI NYINGI ZA UJENZI ZA TANZANIA ZINA MIAKA 20 ZINGINE KUMI NA LAKINI MPAKA LEO HII WALIKUWA HAWAJUI WANAFANYA NINI KWA SABABU WAO WALIJIKITA KWENYE PESA NA HAWAKUJIKITA KWA LONG TERM INVESTMENT MATOKEO YAKE WACHINA WANAWAPIGA BAO, WAMEBAKI KULIA SERIKALI IWASAIDIE,

MFANO: CHUKULIA IMARA SEKO SUPERMARKET, HUYU MTANZANIA ALIPASWA ASHINDANE VILIVYO NA WAKINA SHOP RITE NA WAKINA UCHUMI SUPERMARKET, LAKINI YUKO WAPI LEO HII? NA YEYE AILAUMU SERIKALI?

NDO MAANA NIKASEMA IMEFIKA WAKATI KWA FAIDA YETU NA WATANZANIA WENZETU TUWEKEZE KWENYE MIRADI MIKUBWA NDO PEKEE ITAKAYO TUFANYA TJITUTUMUE KUSHINDANA NA WENZETU,

MKUU MIMI HUWA HAININGII AKILINI GREAT THINKER ANAKUJA NA AIDEA ZA KITOTO HUMU NDANI, ETI NATAKA KUFUNGUA SALOONI NAOMBA USHAURI,

SO TUANZISHE BIASHARA LAKINI TUTAGETI MIAKA KUMI, ISHIRINI IAJAYO WAKUU, UTAJIRI UTAKUWA NI MATOKEO YA WEWE KUTOA SERVICE ILIYO BORA, PESA ITAKUFUATA TU, UTATAFUTWA HATA UKIWA WAPI

MWISHO, MIMI SIJAPONDA AIDEA YA JAMAA, ILA NILIMSHAURI, NA NDO MAANA TUKO WENGI HUMU TUSIKAE KUPEANA USHAURI UNAO FANANA,
The best ushauri ever.
 
HELLOW GUYS, MI NIPO MAFINGA...NINA GUNIA 300 ZA MKAA, NITAKUUZIA KWA 15000Tsh.. gunia lina ujazo wa debe saba, ww waweza uza kwa bei ya chini mfano elfu thelathini kwa dsm na ukapata milion 9...toa 4.5m za manunuzi na 1m ya kusafirisha, unaweza baki na 3m faida...so kama uko tayari ni pm nitakupa contact...mi nauza kwa sasa 7bu cjawa imara ktk kusafirisha hadi DSM

Huo mkaa wewe hupendi ukupatie faida kubwa zaidi?

Na kuutoa mkaa huko ulipo hadi Dsm nitatumia sh ngapi kuhonga maafisa maliasili na polisi uchwara barabarani?
 
Mh. Awali ya yote nime guswa sana na Mchango wako kuhusu biasha ya Mkaa.

ni kweli kabisa sisi kama vina tuwe wazi kwa kuwa na mitazamo nyanya nasiyo mtazamo hasi ndio maana kila siku tunabaki kupiga kelele tu bila mafanikio.:lock1:

Tujiulize tuanataka nini?:iamwithstupid:

Kisha tunataka kuwa na maisha gani? :violin:

Naombeni jibu kwa wale wenye kutaka maisha bora na yenye dhamani bora kwa maisha yao.:der:

Kwa leo Ahsanteni sana:israel:
 
Komandoo nimekukubali kwa ushauri wako!kuleta mabadiliko hasa ya kifikra siyo kazi rahisi!kwenye kurekebishana turekebishane huku kwa pamoja tukiwa na dhamira ya kujenga zaidi.
 
Hujanipata kabisa, Mimi najaribu kueleza ukweli mkuu, Unapo Ingia kwenye Biashara kwa sasa Targeti kufika mbali sana,

Leo hii sisi tunabadili biashara kila kukicha na hii ni kwa sababu ya kufuata mkumbo, Tunafanya biashara za kufuata mkumbo tu, Leo hii mtu anakurupuka kufuga kuku kisa tu trei moja ni sh 6000 yaani yeye ameamua kufuga kuku kwa sababu kuku wanalipa, mtu anaamua kulima mahindi kwa sbabu inalipa, mkuu kwa staili hii hatutafika mbali,

Chukulia mfano wa Mkampuni ya Watanzania yakujenga Barabara- Hawa walijua Tanzania ni yao na wakaendela kufanya biashara ki primitive cheki sasa WACHINA WANAVYO SHIKA TENDA, watanzania walikuwa wanapata tenda badala waendelee kuimarisha kampuni zao wanakimbila kufanya vitu vya ajabu,

Kuna mzee mmoja alikuwa na kampuni yake ya UJENZI ana alikuwa akipata Tenda kwa enzi hizo lakini, ila cha ajabu pesa utakuta kanunua Haice, mara kajenga baa, mara gest, na leo hii kampuni yake ya ujenzi haipo tena na hivyo vyote havipo,

Na makampuni mengi ya WABONGO YA UKANDARASI YATAKUFA MAKE HAYATAWEZA KUSHINDANA NA WACHINA NA WAHINDI HATA SIKU MOJA, NA NDO TUKIHUBIRI KUUNGANISHA NGUVU WATU WANATUONA WA AJABU

So mkuu kwa sasa unapoingia kwenye Biashara targeti mbali na usitageti kutafuta Utajiri na hii ndo Ttaizo kubwa kuliko lote kwa WATANZANIA WENGI SANA, LEO HII UKIULIZA KILA MTU KWA NINI ANATAKA KUFANYA BIASHARA LABUDA YA NYUMBA ZA KUPANGISHA ATAKUAMBIA ZINALIPA, KILA MTU UTASIKIA KITU FULANI KINALIPA, KUKU WA NYAMAMA WANALIPA, MAYAI YANALIPA,

Ok vinalipa but how about tomorow? MAKANDARASI WA KITANZANIA WALIKUWA WANAAMINI BIASHARA ZA UKANDARASI ZINALIPA SANA, ILA WAMEKUJA WACHINA NA WAMETEKA SOKO NA WANAZIDI KUMIMINIKA TANZANIA,

Kosa kubwa walilofanya Makampuni ya Kitanzania, hawakujipanga kwa baadae, na sisi ndo hivyo hivyo tutakuwa kama Makampuni ya Ujenzi wa Barabara na Nyumba,

Mkuu kama ninavyo ongea ni Ijinga viache lakini haya maneno yangu utakuja kuyakumbuka siku moja si leo wala kesho wala kesho kutwa ila ipo siku

NB: Uliniuliza nafanya nini. Mimi nina consultance firm yangu A town

Nadhani kikubwa ndo hiki nilichokuwa nataka kujua a positive criticism...sikatai Watanzania tumekosa ubunifu na ndo kitu kinachotuumiza..pia pamoja na kushika theory nyingi za biashara tatizo hata malecturer wetu wamekosa sana kutupa practiability ya tunavyosoma nimeona thread zako humu za mbele umeongelea mambo biashara,kama marketing,packaging processing ambacho kweli ni kitu kinachotuangusha...ntakuwa mnyimi wa fadhila niaipokubali michango yako tatizo tulianza in the wrong foot na nadhan nia ya ya hili baraza ni kufikishana pale kwenye nchi ya ahadi hata kama kwa kuhitilafiana.......
 
Kuna tabia imeibuka jf yani mtu ukiongea ukweli halisi watu wanakuchukulia ni hater nakubali mchango wa komandoo ni +ve,wewe cmoney unaonekana mtoto sana unapinga hata ukweli,cashmoney wenzako wana project endelevu na si za kubeep.

Ah ah dah naona the big man umeamua kuapply psychology kabisa na kunipa umri....haya bana yote heri maana si tunaona hawa wazee wetu walipptufikisha...ngoja nitaman kuwa mtoto...tatizo mdau KOMANDOO wala sina tatizo naye nadhan angeanzisha thread yake na ushauri aliouweka nisinge fika pale...ila unajua uahauri alioa za nao imagine una kabiashara kako uneshatupia mtaji af mtu anakwambia huwezi fika kokote huwa inavunja moyo kwan huyu mtu ameshatake risk kibao.
..mwisho wa siku i hope sijamkwaza mtu na wala sio mtu nnayesema chungwa nikiona yai........
 
Last edited by a moderator:
Mi nipo tayari tufanye biashara ila, mi nataka nikusaidie pesa ya kusafirisha huo mzigo wako mpaka Dsm au sehemu yoyote unayoamini utauuza...!!! Ila lazima makubaliano yawepo,upo tayari...???
Au we shida yako ni kuu'uza ukiwa mafinga hautaki kusafiri...???

popular;3912027
tutafutane mapema kwa namba 0715381371 ;iwekanavyo tuzungumze **** biashara imekwa inahitaji jack-up , mazungumzo mazuri tu yatakuwepo
 
Kukubaliana kutokubaliana ndo msingi wa kujenga. Mambo yanayoongelewa hapa ni ya msingi sana, sema tuko kwenye levels tofauti za uelewa, lakini pia za ujasiliamari. Mimi nimenufaika sana na mabishano haya, and I am more educated in business than before.
Naenda kufanya mapinduzi kwenye biashara yangu kutokana na haya mliyojadiri hapa. Ahsanteni
 
Mkuu Tatzo Watanzania wakiambia ukweli wanakuja juu sana, haina haja ya kukaa kudanganyana wakati tunaangamaia, Ya unacho sema ni ukweli sisi tumejikita katika biashara ya uchuuzi, Ila investment kubwa na zenye tija kama wanazo fanya wakina Malila hizo hapana,

Kuhusu Tex kuwa makampuni hiyo ni kweli kabisa na haiko mbali sana, kwani hujaona kwenye Dalala imeisha anza wanataka ziendeshwe na makampuni na si kila mtu anakurupuka na kununua Basi, Kwani ulitegemea Vi Haice vingeondolewa katikati ya Jiji? hata hayo Mabasi bado yataondoka na yatatakiwa masi makubwa zaidi kama haya yanayo enda mikoani tena babasi yenye hadhi siyo ya kuchonga body,

LAKINI PAMOJA NA HAYO SI ZANI KAMA KUNA WATANZANIA WANAO ENDESHA BIASHARA ZA DALADALA WANALIONA HILO, HAKUNA TUMEJIKITA KUKUSANYA PESA TU LAKINI KUINVEST KWA AJILI YA MIAKA 10 IJAYO HAPANA,

- Na hata haya mabasi yaendayo mikoani kwa baishara wanazo fanya bila ubunifu hawatakua na muda mrefu, tumejikita sana kukusanya fedha kuliko kuboresha huduma ndo culture yetu,

MFANO JANA NILIINGIA MINSUPERMARKET MOJA YA HAPA ARUSHA, KWA KWELI UNAWEZA KULIA, WAHUDUMU WAKO BISE NA MAGAZETI YA UDAKU, UNAWAULIZA KITU MARA NNENE, WANAKUONA KAMA UMEENDA KUOMNA MSAADA DUKAN MWAO, ILA KUNA HAWA WAKENYA WANATAKA KUFUNGUA SUPERMARKET YAO KUBWA KULIKO HATA SHOPRITE, NAPENDA WAJE ILI WATANZANIA TUFUNGE ZETU NA TUJIFUNZE BIASHARA ZINAVYO FANYWA NA SI KUCHUKU VIDADA MTAANI UNAWEKA DUKANI HUJAVIPA ELIMU YOYOTE VINABAKI KUPAKA WANJA DUKANI BADALA YA KUWAHUDUMIA WATEJA,

Mkuu pamoja sana


Jamaa wewe unaona mbali sana
 
HELLOW GUYS, MI NIPO MAFINGA...NINA GUNIA 300 ZA MKAA, NITAKUUZIA KWA 15000Tsh.. gunia lina ujazo wa debe saba, ww waweza uza kwa bei ya chini mfano elfu thelathini kwa dsm na ukapata milion 9...toa 4.5m za manunuzi na 1m ya kusafirisha, unaweza baki na 3m faida...so kama uko tayari ni pm nitakupa contact...mi nauza kwa sasa 7bu cjawa imara ktk kusafirisha hadi DSM
Mkuu katika hiyo bei kuna ushuru wa serikali kuu 8700 kwa gunia na ushuru wa serikali ya mtaa 1000 kwa gunia umeshalipa ili nipate kibali cha kusafirishia
 
Mkuu Kileghe ingekuwa vyema ukacheki tarehe aliyopost wiseboy (zaidi ya miezi26 ilyopita) ndo upate kuchangia.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Komandoo. Kusema ukweli, ni watu wachache sana ambao watakuelewa unachotaka kuwashauri. Ni kweli kabisa, sisi 'wajasiriamali' wa TZ, 'we think and do small small buz'. Ukiangalia wafanyabiashara wengi wa TZ wanakuwa ni watu wa 'hand to mouth', they dont think big. Biashara ya kuku wa nyama au mayai inalipa sana hapa TZ, lakini nenda kwa wafugaji, utakuta ana kuku kama 1000-2000 wa nyama au mayai, afu anajiita mfugaji. Biashara zetu hatuzi 'reposition' kuwa sustainable, tumekuwa tunarukaruka tu. Lakini, time is coming, those who are doing small buz, watakwenda na maji, now its time to think big, and do buz in efficient and effective manner...


there u r mkuu,komandoo ana present a very sensitive issue!
 
Back
Top Bottom