Tuelimishane: Uzalendo na Ucha Mungu wa Rais Magufuli ni upi?

achana na hiyo hotuba, fanya kazi huku ukijilinda na kuwalinda wengine dhidi ya corona

Mkuu ukweli mchungu, RC Mghwira amekuwa wazi kwenye hilo labda kuliko mwingine yeyote: "kwa hakika sifahamu ni wapi sikuyazingatia masharti ya kujikinga na huu ugonjwa". Mwisho wa kumnukuu.

Ugonjwa huu ni mgeni kiasi kujimwambafai kuwa uwezo wa kujilinda na kuwalinda wengine within the pandemic kuwa uko mikononi mwa individuals, inaweza kuwa ni kujilisha upepo bure.

Hii haiwezi kuwa vita ya mtu mmoja mmoja bila ya jemedari magoli wa vita. Hapo ndipo umuhimu wa hotuba zake unaokuja.
 
Nilishangaa sana anapowatuhumu vibaya viongozi wa dini kwa kuzuia mikusanyiko makanisani!Haoni kuwa viongozi hao wamefanya jambo la maana?Sijamwelewa kabisa JPM ana nia gani na watanzania!
Naamini anawatoa WaTz kafara, si mtu mwema, na anaamini ushetani shetani hivi. Huwezi kwa dhati ya moyo wako kutaka WaTz wenzako waishi kama shetani kama sio muumini wa shetani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.

Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.

Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?

Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?

Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?

Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?

Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.

Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?

Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.

Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?

Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2019 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.

Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.

Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?

Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugumdua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.

Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.

Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Tunza maneno yangu leo...mkakati uliopo ni kua na wangonjwa wengi kadri iwezekanavyo.ili hd ikifika September iwe much worse!!ili October tuahirishe uchaguz.heb jiulize sheikh wa dsm kuufunga msikit wa mtoro,then from no where aje aufungue tena.this is one man show!ila jakaya ulitukosea sana,hatutakusamehe wallah!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunza maneno yangu leo...mkakati uliopo ni kua na wangonjwa wengi kadri iwezekanavyo.ili hd ikifika September iwe much worse!!ili October tuahirishe uchaguz.heb jiulize sheikh wa dsm kuufunga msikit wa mtoro,then from no where aje aufungue tena.this is one man show!ila jakaya ulitukosea sana,hatutakusamehe wallah!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hata katika hali ya sasa kwa hakika siyo busara hata kufikiria kufanya mkusanyiko wowote achilia mbali maseke seke ya uchaguzi mkuu.

Magufuli angeiona busara hii akatambua kuwa waungwana wote (save misukule mimgi iliyo mwagws humu jf) wanahitajika kuona ugonjwa huu umeondoshwa kwanza, maisha yalindwe kabla ya mambo mengine yoyote. Hii ni hata ikibidi yeye aendelee kutawala hadi ugonjwa huu utakapopatiwa suluhu.
 
Ila kwa suala la Mbatia kumtxt msg sijui asikate tamaa inadhihirisha njaa aliyonayo! Mwanaume mzima unamtext mwanaume mwenzako kumpamba ujinga kweli??
Wanaume wa sasa hivi ni wanafki kuliko wanawake...hakuna mwanamke mbunge wa upinzani mwenye muda mbovu kama wa Mbatia...ndo maana anazeeka daily!

Kwani Mbatia ni mwanaume!!! au mwanaume suruali?
 
Ninalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.

Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.

Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?

Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?

Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?

Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?

Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.

Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?

Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.

Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?

Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2019 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.

Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.

Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?

Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugumdua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.

Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.

Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Shetani ni shetani tu yule mzee ni shetani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Kwanza mtu huyo anadhani ni yeye tu mwenye uelewa mpana kuliko wote kama walivyo tu wasomi.

Pili kutokana na kujiona kuwa ana uelewa mpana ancho fikiria yeye ndicho chenye kutoa ufumbuzi kwa kila tatizo. Ndiyo maana hawezi pokea mawazo mageni nje ya yale anayo yafikri yeye, ndiyo maana yuko radhi hata kuwaua wanao mpinga.

Tatu kutokana na mawazo hayo hapo juu, anajiona amejitengenezea maadui wengi. Kwa yale anayofanya kwa maamuzi ya busara na kwa kuwa TZ ndiyo Nchi ya aina yake yenye mali nyingi mno zinazo hitajiwa na mabeberu. Kwa jinsi hiyo mwenye mawazo tofauti ama amenunuliwa, ama anajiuza kwa mabeberu kwa hiyo hawezi pokea wazo ama ushauri wowote.

Kitokana na sababu ya tatu inabidi amkimbilie MUNGU zaidi maaana hakuna mwanadam anaweza kumponya na yote hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza mtu huyo anadhani ni yeye tu mwenye uelewa mpana kuliko wote kama walivyo tu wasomi.

Pili kutokana na kujiona kuwa ana uelewa mpana ancho fikiria yeye ndicho chenye kutoa ufumbuzi kwa kila tatizo. Ndiyo maana hawezi pokea mawazo mageni nje ya yale anayo yafikri yeye, ndiyo maana yuko radhi hata kuwaua wanao mpinga.

Tatu kutokana na mawazo hayo hapo juu, anajiona amejitengenezea maadui wengi. Kwa yale anayofanya kwa maamuzi ya busara na kwa kuwa TZ ndiyo Nchi ya aina yake yenye mali nyingi mno zinazo hitajiwa na mabeberu. Kwa jinsi hiyo mwenye mawazo tofauti ama amenunuliwa, ama anajiuza kwa mabeberu kwa hiyo hawezi pokea wazo ama ushauri wowote.

Kitokana na sababu ya tatu inabidi amkimbilie MUNGU zaidi maaana hakuna mwanadam anaweza kumponya na yote hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwa udadavuzi huu huyu bwana itakuwa psychotherapy inamhusu.

Haiwezekani kuwa anayemwunga mkono tu ndiye mzalendo. Ikiwapo tofauti ya mawazo - amenunuliwa na mabeberu.

Kiongozi wa dini akitofautiana naye - anatumiwa na shetani. Kwani yeye ni malaika, au ni Mungu kuwa na maono hayo?

"Pasipo na kuji submit kwenye tiba mapema inaweza mletea mwathirika matatizo zaidi". Wanasema wataalamu wa tiba ya akili.

Huwezi panga kuuwa wenzio yet unaiona wewe uko karibu na Mungu zaidi!
 
Ninalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.

Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.

Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?

Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?

Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?

Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?

Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.

Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?

Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.

Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?

Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2019 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.

Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.

Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?

Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugumdua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.

Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.

Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Labda ni mcha mungu (herufi ndogo) lakini Magufuli siyo mcha Mungu
 
Kazi kweli kweli ...

Huyu bwana alisema Daniel alinusurika kwenye fumbo la samaki.

Hao watakuwa wachumia tumbo. Labda na Mbatia anasali hapo.
Ukiona anaejinasibu kwamba ni mcha Mungu sana na mkristo na akaweza kuchapia kisa hicho maarufu sana kwenye biblia ujue huyo anakwenda kanisani kujionyesha tu kwa wengine kwamba nae uwa anasali lakini akiwa pale kanisani muda mwingi mawazo yake yanakuwa kwenye kukamilisha maovu yake. Kwamba Daniel alinusurika kwenye tumbo la samaki?!
Ndiyo maana hata yale maombi ya siku tatu + siku moja yamedunda.
 
Kwa binadamu wengi ukiwa unamtaja taja Mungu mara nyingi na ukiwa karibu na padri,wachungaji au masheikh tayari wewe ni mcha Mungu!

Kazi kweli kweli. Na kwa pande za huko ambako kuuwana ni jadi, majina ya umungu mungu u yesu yesu mwingi:

Twagiramungu, Twagirayesu nk

Unafiki mtupu!
 

Hilo kabisa haliwezi kuwa tofauti na la hao. Kuwa Daniel alilindwa na Mungu kwenye tumbo la samaki? Si bora angetambua kulindwa kwa Lissu na risasi zote zile mikononi mwa watu wasiojulikana?

Ama kweli usoni kama watu na usoni kama waumini kumbe mauawaji makubwa!
 
Kwa taarifa yako, hayo mavirusi yametokea kuzimu kwa shetani. Ni roho chafu zimetumwa duniani kuiathiri dunia. Sasa kazi ya Kanisa duniani ni kuziharibu kazi za shetani. Kanisa likimuogopa shetani inakuwa ni ANGUKO KUBWA sana rohoni. Kanisa la kweli haliwezi kumuogopa shetani kwa lolote, hayo makanisa "yaliyotetemeka" hayako rohoni na sio makanisa kwa maana ya Kanisa bali ni makusanyiko tu flani ya kukusanya pesa.

Serikali au Taifa lolote linalojua na kutambua mamlaka ya Mungu linatambua kuwa Kanisa ndilo Jeshi la kupambana na adui katika ulimwengu wa roho. Ni kama wanavyolitegemea Jeshi la Ulinzi wakati wa vita katika ulimwengu huu wa nyama na damu. Unaonaje imetokea vita na nchi jirani halafu JWTZ "wakalala mbele"

JESUS IS LORD!
Nilishangaa sana anapowatuhumu vibaya viongozi wa dini kwa kuzuia mikusanyiko makanisani!Haoni kuwa viongozi hao wamefanya jambo la maana?Sijamwelewa kabisa JPM ana nia gani na watanzania!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mada na comments zilizomo unatakiwa uwe makini sana kuweka komenti yako, i mean kuna hidden agenda humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom