- Thread starter
- #21
Vipi mkuu? Genge ndiyo wafunga funga?
Malizia kufunga genge vizuri, ujipige nyungu, usome mada uelewe kwanza.
Vinginevyo mbona kioja? Kwani mkuu ulichoandika ni kwa uzi upi?
achana na hiyo hotuba, fanya kazi huku ukijilinda na kuwalinda wengine dhidi ya corona
Naamini anawatoa WaTz kafara, si mtu mwema, na anaamini ushetani shetani hivi. Huwezi kwa dhati ya moyo wako kutaka WaTz wenzako waishi kama shetani kama sio muumini wa shetani.Nilishangaa sana anapowatuhumu vibaya viongozi wa dini kwa kuzuia mikusanyiko makanisani!Haoni kuwa viongozi hao wamefanya jambo la maana?Sijamwelewa kabisa JPM ana nia gani na watanzania!
Tunza maneno yangu leo...mkakati uliopo ni kua na wangonjwa wengi kadri iwezekanavyo.ili hd ikifika September iwe much worse!!ili October tuahirishe uchaguz.heb jiulize sheikh wa dsm kuufunga msikit wa mtoro,then from no where aje aufungue tena.this is one man show!ila jakaya ulitukosea sana,hatutakusamehe wallah!!Ninalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.
Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.
Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?
Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?
Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?
Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?
Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.
Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?
Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.
Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?
Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2019 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.
Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.
Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?
Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugumdua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.
Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.
Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Tunza maneno yangu leo...mkakati uliopo ni kua na wangonjwa wengi kadri iwezekanavyo.ili hd ikifika September iwe much worse!!ili October tuahirishe uchaguz.heb jiulize sheikh wa dsm kuufunga msikit wa mtoro,then from no where aje aufungue tena.this is one man show!ila jakaya ulitukosea sana,hatutakusamehe wallah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kwa suala la Mbatia kumtxt msg sijui asikate tamaa inadhihirisha njaa aliyonayo! Mwanaume mzima unamtext mwanaume mwenzako kumpamba ujinga kweli??
Wanaume wa sasa hivi ni wanafki kuliko wanawake...hakuna mwanamke mbunge wa upinzani mwenye muda mbovu kama wa Mbatia...ndo maana anazeeka daily!
Kwani Mbatia ni mwanaume!!! au mwanaume suruali?
Shetani ni shetani tu yule mzee ni shetani tuNinalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.
Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.
Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?
Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?
Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?
Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?
Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.
Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?
Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.
Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?
Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2019 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.
Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.
Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?
Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugumdua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.
Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.
Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Kwanza mtu huyo anadhani ni yeye tu mwenye uelewa mpana kuliko wote kama walivyo tu wasomi.
Pili kutokana na kujiona kuwa ana uelewa mpana ancho fikiria yeye ndicho chenye kutoa ufumbuzi kwa kila tatizo. Ndiyo maana hawezi pokea mawazo mageni nje ya yale anayo yafikri yeye, ndiyo maana yuko radhi hata kuwaua wanao mpinga.
Tatu kutokana na mawazo hayo hapo juu, anajiona amejitengenezea maadui wengi. Kwa yale anayofanya kwa maamuzi ya busara na kwa kuwa TZ ndiyo Nchi ya aina yake yenye mali nyingi mno zinazo hitajiwa na mabeberu. Kwa jinsi hiyo mwenye mawazo tofauti ama amenunuliwa, ama anajiuza kwa mabeberu kwa hiyo hawezi pokea wazo ama ushauri wowote.
Kitokana na sababu ya tatu inabidi amkimbilie MUNGU zaidi maaana hakuna mwanadam anaweza kumponya na yote hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ni mcha mungu (herufi ndogo) lakini Magufuli siyo mcha MunguNinalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.
Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.
Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?
Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?
Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?
Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?
Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.
Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?
Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.
Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?
Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2019 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.
Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.
Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?
Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugumdua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.
Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.
Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Nilipita karbu na kanisa flani nka sikia wanataka kumtangaza kama mtukufu
Ukiona anaejinasibu kwamba ni mcha Mungu sana na mkristo na akaweza kuchapia kisa hicho maarufu sana kwenye biblia ujue huyo anakwenda kanisani kujionyesha tu kwa wengine kwamba nae uwa anasali lakini akiwa pale kanisani muda mwingi mawazo yake yanakuwa kwenye kukamilisha maovu yake. Kwamba Daniel alinusurika kwenye tumbo la samaki?!Kazi kweli kweli ...
Huyu bwana alisema Daniel alinusurika kwenye fumbo la samaki.
Hao watakuwa wachumia tumbo. Labda na Mbatia anasali hapo.
Kwa binadamu wengi ukiwa unamtaja taja Mungu mara nyingi na ukiwa karibu na padri,wachungaji au masheikh tayari wewe ni mcha Mungu!
Nilishangaa sana anapowatuhumu vibaya viongozi wa dini kwa kuzuia mikusanyiko makanisani!Haoni kuwa viongozi hao wamefanya jambo la maana?Sijamwelewa kabisa JPM ana nia gani na watanzania!
Tunamtegemea Mungu, muumba wa mbingu na nchi.Bado mnamtegemea Magufuli?