Tuelimishane: Uzalendo na Ucha Mungu wa Rais Magufuli ni upi?

Hii mada na comments zilizomo unatakiwa uwe makini sana kuweka komenti yako, i mean kuna hidden agenda humu.

Tumeshaanza kutishana. Ila wanasema heri wenye moyo safi.

Mada iko na moyo safi labda kama agenda fichika unazo wewe mkuu.
 
Kwa taarifa yako, hayo mavirusi yametokea kuzimu kwa shetani. Ni roho chafu zimetumwa duniani kuiathiri dunia. Sasa kazi ya Kanisa duniani ni kuziharibu kazi za shetani. Kanisa likimuogopa shetani inakuwa ni ANGUKO KUBWA sana rohoni. Kanisa la kweli haliwezi kumuogopa shetani kwa lolote, hayo makanisa "yaliyotetemeka" hayako rohoni na sio makanisa kwa maana ya Kanisa bali ni makusanyiko tu flani ya kukusanya pesa.

Serikali au Taifa lolote linalojua na kutambua mamlaka ya Mungu linatambua kuwa Kanisa ndilo Jeshi la kupambana na adui katika ulimwengu wa roho. Ni kama wanavyolitegemea Jeshi la Ulinzi wakati wa vita katika ulimwengu huu wa nyama na damu. Unaonaje imetokea vita na nchi jirani halafu JWTZ "wakalala mbele"

JESUS IS LORD!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu umemsikia huyu? Nadhani anasema ukweli mtupu uliotukuka:



Vinginevyo tutakuwa tunadandia treni kwa mbele.
 
Magufuli aliambiwa na Kakobe Atubu akagoma,

Haiwezekani serikali ya kishetani ikaongoza maombi ya Mungu kwa watu walio safi ikafanikiwa watanzania ni wasafi ila tunaongozwa na watu wanaonuka damu hata siku moja hatutafanikiwa mpaka tutubu kama Mkapa.

Nchi inanuka damu, watu wenye manung'uniko, kupotea kwa haki, kufungwa, kupotea halafu kiongozi mkuu aongoze maombi ya taifa la mamna hii?

Hatutakuja kufanikisha chochote kwenye corona hata kwa mengine bila kuchagua tupite njia gani either ya kishetani au ya Mungu lakini tukiendelea kuwa wanafiki never hatutatoboa. Mungu hataki unafiki.
Very true...
 
Magufuli aliambiwa na Kakobe Atubu akagoma,

Haiwezekani serikali ya kishetani ikaongoza maombi ya Mungu kwa watu walio safi ikafanikiwa watanzania ni wasafi ila tunaongozwa na watu wanaonuka damu hata siku moja hatutafanikiwa mpaka tutubu kama Mkapa.

Nchi inanuka damu, watu wenye manung'uniko, kupotea kwa haki, kufungwa, kupotea halafu kiongozi mkuu aongoze maombi ya taifa la mamna hii?

Hatutakuja kufanikisha chochote kwenye corona hata kwa mengine bila kuchagua tupite njia gani either ya kishetani au ya Mungu lakini tukiendelea kuwa wanafiki never hatutatoboa. Mungu hataki unafiki.
 
Ninalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.

Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.

Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?

Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?

Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?

Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?

Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.

Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?

Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.

Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?

Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2020 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.

Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.

Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?

Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugundua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.

Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.

Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Amepoteza kuaminika na sasa kumbe hatuna kabisa mtu wa kuaminika tumekuwa watu wa kutenda mambo kienyeji mpaka wenzetu wanatucheka. Hana uzalendo na kamwe si mchamungu tena aache kutaja bure jina la Mungu.
 
Kwa taarifa yako, hayo mavirusi yametokea kuzimu kwa shetani. Ni roho chafu zimetumwa duniani kuiathiri dunia. Sasa kazi ya Kanisa duniani ni kuziharibu kazi za shetani. Kanisa likimuogopa shetani inakuwa ni ANGUKO KUBWA sana rohoni. Kanisa la kweli haliwezi kumuogopa shetani kwa lolote, hayo makanisa "yaliyotetemeka" hayako rohoni na sio makanisa kwa maana ya Kanisa bali ni makusanyiko tu flani ya kukusanya pesa.

Serikali au Taifa lolote linalojua na kutambua mamlaka ya Mungu linatambua kuwa Kanisa ndilo Jeshi la kupambana na adui katika ulimwengu wa roho. Ni kama wanavyolitegemea Jeshi la Ulinzi wakati wa vita katika ulimwengu huu wa nyama na damu. Unaonaje imetokea vita na nchi jirani halafu JWTZ "wakalala mbele"

JESUS IS LORD!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi ndio wapumbavu,halafu mtakuta mkiugua mnakunywa dawa!Si muende kanisani mkaombe?Huko Dini ilikoanzia wamefunga makanisa na Misikiti,mlalahoi wa huko ulimwengu wa 3 unajifanya unaijua sana dini!Shwain kabisa!
 
Ninalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.

Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.

Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?

Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?

Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?

Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?

Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.

Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?

Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.

Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?

Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2020 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.

Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.

Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?

Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugundua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.

Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.

Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Magufuli ni muuuwaji Mkubwa, na hiii haitamuacha Salama, yeye anakimbilia Kijijini kujificha huku anashambulia had maaskofu kuwa wametenda makosa kufunga makanisa kuokoa watu Wakati yeye kakimbilia mafichoni, sasa huku analaumu maasikofu huku na yeye analaumiwa na viongoz wa Africa kwa kukimbia Vita hahaha huyu baba alidanganya watu kuwa Afya yake ni imara mapushap kwa wiiiingi, kumbe........ Halafu akawahadhaaa viongozi wa nchi jirani akina Kenyatta, museven na kagame kuwa marafiki wake akawateka kwa uongo na kweli akajiweka juuu Kama ndio staar wao akapigiwa makofi, akajitweza na kujiweka juuu kuonesha kuwa yeye ndio kiongozi Sahihi kuliko yeye, akajionesha kuwa Africa mashariki ikiungana yeye ndio anaestahili kuwa rais akadanganya watu Kwa kuongea kwa hasira hasira na maamuzi ya kuumiza watu, wapambe wakajiandikisha kwenye mitandao wakampandisha juuu hadi kileleni wengne wakamwita ni MUNGU, wengne wakampa majina mbali mbali wengne wakasema ni Zawadi toka kwa MUNGU, akavimba, haha hahah haha hahah sasa watu wooooote wameegundua kuwa huyu hata utendaji wa Kata hafai, wengi wamegundua kuwa walikuwa wanalishwa matango Pori, had marais wa nchi jirani wameanza kugundua kuwa walikuwa wanaingizwa cha kike, wamegundua kuwa mtu huyu kumbe sio lolote na si chochote, wamegundua kuwa kumbe walikuwa wanawekwa Kama ngao tu ili likitokea la kutokea wanamsaidia kuokoa jahazi Hahahaha kaumbulika vibaya mno mno mno, had marais waliokuwa wanamuona ndie star sasa wanamsema hadharani kwenye vyombo vya habari, tunajiuliza kuwa Kama wanamsema hivyo hadharani wakiwa wenyewe wanaongea ndio wanamchekaje sijui jamani, Hahaha na bado atadhalilika Sana eti hasira zake na kundi lake wanatolea hasira zao kwa watu Wa chadema haha hahah haha hahah na bado mziki baado ni mbichi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama ugonjwa tu umemkimbiza, je, ikitokea nchi inaingia vitani si atakimbilia uhamishoni atuache tufe! tumekosea sana wa tz, we don't have the president at all!
 
Ni kweli wakuu Mungu sio mnafiki hasikilizi maombi ya wenye dhambi. Ninawi Mfalme aliwaambia watu watubu wavae magunia toba ya kweli kujutia dhambi kiukweli sio gelesha huo utakuwa unafiki!!
Nchi inanuka damu watu wamepotea wengine wamepigwa risasi wamedhulumiwa wamekimbia nchi, ni bora kutubu kwanza kuombana misamahaa kurudisha haki za watu sio kufanya unafiki kama sanaa za kuigiza.
Mungu ni very strict sio wa mchezo hataniwi wala kudhihakiwa, watu washuke watubu na kunyenyekea Bwn anasikia ataiokoa nchi!!
 
Ninalalizimka kuandika uzi huu kulingana na mwendelezo wa tafakuri zitokanazo na hotuba pendwa ya mheshimiwa huyu hasa ya hivi karibuni tokea pande za kule Chatto.

Katika hotuba yake Chatto mheshimiwa hakuwa na maneno mazuri sana kwa yeyote mwenye mtizamo wa kuwatenga watu katika kupambana na Corona.

Kwa nini Magufuli anadhani yeyote anayependekeza kuwatenga watu ili kudhibiti maambukizi ya Corona siyo Mzalendo na kuwa anatumiwa na mabeberu?

Kwa nini mheshimiwa anaona hata viongozi wa dini walioona ni busara kwa waumini wao kuepuka mikusanyiko japo kwa kutojumuika pamoja kwenye nyumba za Ibada, kuwa nao siyo wazalendo na wenye kutumiwa hata na ibilisi?

Kwa nini anadhani viongozi wa dini kama hao wamepotoka kwa kudhani kuwa wapo kwenye kuwahami waumini wao kwa njia hii? Kwa nini anadhani si yeye anayeweza kuwa ndiye aliyepotoka angalau kwenye hili?

Kwa nini mheshimiwa anadhani kila anayemsifia akiwamo mheshimiwa Mbatia na SMS zake za usiku usiku, kuwa ndiyo wazalendo peke yao na kuwa hao tu ndiyo pekee walioyaweka maslahi ya taifa hili mbele?

Kwenye hotuba yake rais alisisitiza sana pia kuwa, ataendelea kulipa mishahara ya wafanyakazi.

Kwa nini Magufuli anadhani watanzania wanahitaji mishahara tu bila ya kujali uhakika wa usalama wa maisha yao kwanza?

Zaidi pia alijitahidi sana kuonyesha tumeshashinda vita vya Corona bila ya kutoa takwimu zozote kuhusiana na ugonjwa huu hapa nchini tokea Apr 29.

Hii vita tumeishinda vipi bila ya kuwa na takwimu zozote?

Alisema pia kuwa, baba yake alifariki kwa kansa bila kusema alifariki lini. Covid-19 imekuja March 2020 nchini. Haina hakika alikuwa na maana gani.

Kuwa nani alikuwa na kansa hakumaanishi kuwa, hatimaye mwisho kafariki kwa kansa. Unaweza kuwa na kansa ukaja kufa kwa ajali ya gari, malaria, TB, ukimwi, au hata Covid-19, nk.

Kwa nini mheshimiwa anakereka anapoona vifo kuhusishwa na Corona?

Ikumbukwe kuwa nchi kama UK zimekuja kugundua baadaye kuwa vifo vingi vilivyotokea kwenye mlipuko wa Corona kwa makosa hawakuwa wamefahamu kuwa vilisababishwa na Corona na si kwa magonjwa mengine kama ilivyokuwa imedhaniwa. Ndiyo maana UK wame review takwimu zao na sasa wana vifo vingi vya covid-19 kuliko hata Italy.

Ni wazi kuna mkanganyiko baina ya uzalendo na ucha Mungu.

Vipi mtu mmoja anaweza jipima mwenyewe na kuona yeye ni mzalendo kuliko fulani au kuwa yeye ni mcha Mungu kuliko fulani inafikirisha.
Kama kuna mtu anayeamini Magufuli ana upeo,uwezo na maono ya kudhibiti gonjwa hili akapimwe akili! Kabundi na Ummy ni wasanii waigizaji wenye njaa kali-(utapia mlo) ya tumbo na ubongo!
 
Ukiona anaejinasibu kwamba ni mcha Mungu sana na mkristo na akaweza kuchapia kisa hicho maarufu sana kwenye biblia ujue huyo anakwenda kanisani kujionyesha tu kwa wengine kwamba nae uwa anasali lakini akiwa pale kanisani muda mwingi mawazo yake yanakuwa kwenye kukamilisha maovu yake. Kwamba Daniel alinusurika kwenye tumbo la samaki?!
Ndiyo maana hata yale maombi ya siku tatu + siku moja yamedunda.
Anasema mcha Mungu wakati anaua akina Ben Saanane na Azory Gwanda bila kosa lolote.

Ameua watu Mkuranga, Kibiti and Rufiji wapatao 300,000
 
Ukiona anaejinasibu kwamba ni mcha Mungu sana na mkristo na akaweza kuchapia kisa hicho maarufu sana kwenye biblia ujue huyo anakwenda kanisani kujionyesha tu kwa wengine kwamba nae uwa anasali lakini akiwa pale kanisani muda mwingi mawazo yake yanakuwa kwenye kukamilisha maovu yake. Kwamba Daniel alinusurika kwenye tumbo la samaki?!
Ndiyo maana hata yale maombi ya siku tatu + siku moja yamedunda.
Yule Jiwe ni MKATOLIKI Feki
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom