ephrmfurahini
Member
- Apr 27, 2017
- 64
- 35
- Thread starter
- #21
Hakika...karibu piaUpatu shujaa!
Hakika...karibu piaUpatu shujaa!
Wazo zuri sana mkuu ila mimi kila nikimkumbuka MAMA ABDUL wa igizo liloitwa Mambo hayo sitamani kabisa huu mchezo wa upatu.Habar za asubuh wakuu...kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu nimeona sio mbaya nikiwasilisha wazo hili kwenu.. Kama kunawatu wako interesting na hili basi tujiorganise then tucheze mchezo wa vifaa vya ujenzi...tunakubaliana tufahamiane vizur alafu tuanzishe huu mchezo. Nadhan utatuokoa. Kama kuna walio tayar watupie namba ili tufungue group kwa whatsap ili kufahamiana zaid. Kuepusha matapeli..
Note : kufahamiana huko ni pamoja na kufahamu makaz ya kila Mmoja wetu au kitu chochote cha kujiridhisha..I hope tutapeana mawazo zaidi ni namna gani tufahamiane
Hahahaha....inategemea na huyo anaeendesha huo mchezo anatumia kanuni zipi...pia decision is urs kucheza au kuacha...Wazo zuri sana mkuu ila mimi kila nikimkumbuka MAMA ABDUL wa igizo liloitwa Mambo hayo sitamani kabisa huu mchezo wa upatu.
sawa mkuu nawatakia mafanikio mema na Mungu awatangulie .Hahahaha....inategemea na huyo anaeendesha huo mchezo anatumia kanuni zipi...pia decision is urs kucheza au kuacha...
Toa mfano upatu huo veeepeeHabar za asubuh wakuu...kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu nimeona sio mbaya nikiwasilisha wazo hili kwenu.. Kama kunawatu wako interesting na hili basi tujiorganise then tucheze mchezo wa vifaa vya ujenzi...tunakubaliana tufahamiane vizur alafu tuanzishe huu mchezo. Nadhan utatuokoa. Kama kuna walio tayar watupie namba ili tufungue group kwa whatsap ili kufahamiana zaid. Kuepusha matapeli..
Note : kufahamiana huko ni pamoja na kufahamu makaz ya kila Mmoja wetu au kitu chochote cha kujiridhisha..I hope tutapeana mawazo zaidi ni namna gani tufahamiane
Asante sana nimependa mno ushaur wako...tukibase kwa vifaa tu tutakuwa wabinafsi...Mimi naona kama bora mngeanza kwanza kununuliana viwanja katika mzunguko wa kwanza halafu mkishahakiki kuwa kila mmoja wenu Ana kiwanja mnaingia awamu ya pili kununuliana vifaa vya ujenz mpaka nyumba ikamilike
Ni mtazamo wangu tu maana mkisema mnunuliane vifaa vya ujenz wakat wengine hawana hata kiwanja mtashindwa kuyafikia malengo
Hatujapanga bado Nani awe wa kwanza Nani wa mwisho ..mm hata nikiwa wa mwisho sina shida ..na kama unania hyo ni tumie namba yako niku add kwa groupNiko tayari ila tu niwe wa kwanza kupokea;
KaribuniWazo zuri sana hili
ini kidogo na jambo ambalo tunatalajia kulifanyaKaribuni sana wote mliojiunga ktk harakat hz za maendeleo...ni Tumain langu tutafk mbali sana
Karibu= watu washa zoea kuona makundi ya Udaku tu, Wanashabikia fasta lakini maendeleo du nikutoa maneno tuNa mm naunga mkono na mguu huja
Asante sana kwa ushaur mzur...mm ninaujuz na mambo ya kumjua mtu..in and out...nakuhakikishia nitawajua wote kwanza alafu mambo mengine yatafuata...najua sana kuna watu watajarb kufanya uhuni uo..lkn ntawajua tuWazo ni zuri ila linataka watu mnaojuana zaidi, mfano mnafanya kazi sehemu moja au mnaishi jirani or otherwise maana kwa hali ilivyo sasa utapeli mwingi watu wana identity feki kibao nani alijua kama kuna watanzania 9000s vyeti vyao havieleweki!!? Hii mambo ya kichangaiana na watu usio wajua vzr mliokutana kimjini mjini usishangae akishapokea mambo yakimuwia vigumu kuchangia mwenzie mkimtafuta alikopanga mtajibiwa "Alishahama" au mkimtafuta anapofanyia kazi mkaambiwa "ametumbuliwa, ana vyeti feki n.k"
Ushauri wangu mchezo mcheze watu mnafahamiana na zaidi ya yote muwe makini sana, Binadamu ni kinyonga ana rangi nyingi mno.
Ni add 0683666702Walio tayar tuunde group LA whatsap ili tuandae utaratibu teni pm ili niandae group