Tena hati zote asikabidhiwe mpka amalize kulipa,
Swal je atapewa kulingana na nyumba yake au kutokana na michango iliyokusudiwa?
Swali je kila mtu ana aina ya nyumba anayotaka au kupenda je tutagawanyikaje au kipi kitafanyika kuweka ulinganifu kwa wote?
Labda ungesema kama ni kiwanja watu hawana ananhnuliwa kiwanja kulingana na hela zichangwazo,,kama ni milion 5 ananunuliwa then anaanza kurejesha kwa wanachama wengine kwa uwiano sawa,,kuwe na limit ya gharama maana kiwanja chanika sio sawa na kinyerez..
Wazo zur ila linahitaji hesab sahihi na watu sahihi kwa wakat sahihi na sababu makin kuweka uwiano sawa...