Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,924
- 61,707
- Thread starter
- #21
Kwa hizo nguvu ulizonazo, unafaa kabisa kupalilia mashambaBro mi sichagui kazi braza
Siku hizi nimepata kazi ya kukimbia na kiroba cha mchele gizani
Nipe mchongo bro
Kwa hizo nguvu ulizonazo, unafaa kabisa kupalilia mashambaBro mi sichagui kazi braza
Siku hizi nimepata kazi ya kukimbia na kiroba cha mchele gizani
Nipe mchongo bro
Hujawaona vijana wanajipanga pale moroko ili wakatembeze barafu?Labda kuFanya risk missions, kutembeza karanga na ubuyu sio kweli
Hii inafaa kama umejiajiri. Lakini kama umeajiriwa kutembeza sijui vyombo ni upuuzi na kupoteza muda. Maana hata hao waajiri wa hizo kazi nao ni choka mbayaMiguu kazi yake sio kubeba tumbo, kazi yake ni kutembeza vyombo, kahawa, nguo, redio , karanga n.k
Natafuta mtu wa kunitembezea barafu, kwa siku auze angalau barafu 500; mshahara wake ni laki 5 kwa mweziNjoo hapa
The giant tuyajenge...
Njaa ni kipimo cha akiliNATAFUTA KAZI YA UGANGA MWENYE KILINGE AJE PM ATUME NENO "TAWILE" NITAELEWA
Aliyekupa kazi anasemaje?Nimefanya kazi,kibarua, siku Moja na nusu sijapewa fedha na sijapata vipi hapo 🤔
Hizi kazi mnazidharau sana ama kuona aibu ila zina maokoto balaa wateja siku hizi hawaendi kufata huduma wanataka zije mlangoniHapo kazi ya kubagua ni kutembeza vitu, zote zilizobaki napiga mzee
Wana mchango gani katika familia, zaidi ya kula/kufilisi kilichopatikana?Na watoto wanaojifunza kutembea Huwa mnawabebesha mavitu yote hayo
Kesho nitafute asubuhi saa nne , mazimaAliyekupa kazi anasemaje?
Hujawaona vijana wakitembeza barafu za tajiri mmoja, nchi nzima?Hii inafaa kama umejiajiri. Lakini kama umeajiriwa kutembeza sijui vyombo ni upuuzi na kupoteza muda. Maana hata hao waajiri wa hizo kazi nao ni choka mbaya
Sasa kiangazi kimeisha, watu watawezaje kula barafu kwenye baridi?Natafuta mtu wa kunitembezea barafu, kwa siku auze angalau barafu 500; mshahara wake ni laki 5 kwa mwezi
Si ndioKwa hizo nguvu ulizonazo, unafaa kabisa kupalilia mashamba
nipe connection basi hiyo ni nzuri😅Bro mi sichagui kazi braza
Siku hizi nimepata kazi ya kukimbia na kiroba cha mchele gizani
Nipe mchongo bro
Safi sanaNapiga kazi, hadi, ya kufyatua tofari.
Ajali kazini, we piga kazi.Kesho nitafute asubuhi saa nne , mazima
Tutaamia mikoa yenye jotoSasa kiangazi kimeisha, watu watawezaje kula barafu kwenye baridi?
Hakuna degree isiyo na mashiko, ni ujinga tu wa watawala wa Africa kushindwa kuunda chumi zinazotoa fursa kwa makundi yote ya Wasomi.
Hahahahaaaaa inahitaji moyo!Tutaamia mikoa yenye joto