Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,935
- 61,722
- Thread starter
- #41
Haina shida, mzungu anatoka ulaya anakuja kuwekeza huku maporini, kwa nini sisi tuogope?Hahahahaaaaa inahitaji moyo!
Haina shida, mzungu anatoka ulaya anakuja kuwekeza huku maporini, kwa nini sisi tuogope?Hahahahaaaaa inahitaji moyo!
Hivi ina make sense, unatoka katoro unachoma nauli kwenda mikoa ya joto kutembeza barafu 500?Haina shida, mzungu anatoka ulaya anakuja kuwekeza huku maporini, kwa nini sisi tuogope?
Na watoto wanaojifunza kutembea Huwa mnawabebesha mavitu yote hayo
Kutafuta fursaHivi ina make sense, unatoka katoro unachoma nauli kwenda mikoa ya joto kutembeza barafu 500?
Mzee wa dua, unatumia njia zipi kupata kipato?kwa kweli sisi zetu ni dua tu
Kweli mkuu!Kutafuta fursa
Kwa trend ya maisha ya leo, watu waamke usingizini.Maisha ya tamthilia na ya mitandao yanachanganya vijana
Nimejua tu unamlenga kaka yetu ngoja aje😂NATAFUTA KAZI YA UGANGA MWENYE KILINGE AJE PM ATUME NENO "TAWILE" NITAELEWA
Njo nikupe odds mkuu 😂Bro mi sichagui kazi braza
Siku hizi nimepata kazi ya kukimbia na kiroba cha mchele gizani
Nipe mchongo bro
Njo nikupe odds mkuu 😂