kwa raba og na kali za mitoko mbalimbali usisite kunicheki,delivery zinafanyika chap kwa haraka
Niko hapa nilipo; na ninauza kila kitu kilichopo kwenye ubongo wangu EXCEPT ubongo wenyeweHellow dear members,. Hope mko poa na kila kitu nikaenda vizuri na kwa wale ambao mna changamoto Jah awafanyie wepesi.
Leo bhana nikasema nipitie nyuzi zangu na za baadhi ya members na zote tu ambazo hukuwaga trending mara nyingi,. Nimeona viewers ni wengi mnooo.. Na sitaki kuamini kama hao viewers ni robots na watu walioko nje ya nchi,. Naamini wengi tupo hapahapa Tz,.
Your girl nikaja na wazo,. Why wafanya biashara na wajasiriamali tusitumie hii fursa,. Na nina imani itawork out... Em tuambie uko wapi?? Na unauza kitu gani ??( hapa unaweza ukaweka hata picha moja ya bidhaa unazouza na bei ) Au unatoa huduma gani??,. Unaweza kupata wateja wengi humu pia naamini watu wapo na wataona na watakutafuta,..
Kwa watoa huduma em jaribu tu kuielezea huduma yako tu vizuri bila kuweka links ( hii kuepukana na utapeli au hackers) .. Just nadi tu huduma yako atakayevutiwa nayo akutafute Pm na mje mtupe mrejesho mambo yalikwendaje??..
I promise to be your first customer from JF/JA nikivutiwa na bidhaa au huduma yako,.
Uwanja ni wenu.....
Abdully yupi?Abdul unamjua
Appreciate bidada 🙏Sorry for that,. Naona walioelewa mada wamejibu
Teeth huyo....jichanganye sasa!!Kumbuka wewe hujatupa location 😊
Aisee ndula kali....vipi unauza cones na poles za mazoezi?Vilevile nauza viatu vya michezo (mpira wa miguu), soksi pamoja na guard.
Bei ni kuanzia Tsh 80,000.
Hivyo na vingine vingi, KARIBUNI
View attachment 3341761View attachment 3341762View attachment 3341763View attachment 3341767
Waauza mbususu wako wapi wateja tumejaaa kichele hapaHakuna wateja huku labda mateja. Tujadili mengine
Mwenyewe nilikuja mbio mbio nikidhani nitawakuta huku kumbe ngoma naguUzi mzima sijaona wale dada zetu wauza utamu kwa maana ndo bidhaa pendwa.
Una bahati Sana, unge kaa kwenye mikono yangu unge ishia kupostiwa na mishumaa nusu albino wewe.Nakazia
Kuna siku mtu kanicheki akasema ametoa namba zangu insta, kwa bahati mbaya huko insta sijawahi post hiyo biashara. Nikajua tu kuna mahali nshajichanganya moyo ukawa mzito kabisa.
kuna siasa na wake za watu, hivi vitu n hatari mno.