Tuambie uko wapi na unauza nini?

Tuambie uko wapi na unauza nini?

IMG-20250520-WA0067.jpg
IMG-20250518-WA0082.jpg
IMG-20250516-WA0286.jpg
IMG-20250516-WA0196.jpg
IMG-20250510-WA0215.jpg
 
Hellow dear members,. Hope mko poa na kila kitu nikaenda vizuri na kwa wale ambao mna changamoto Jah awafanyie wepesi.

Leo bhana nikasema nipitie nyuzi zangu na za baadhi ya members na zote tu ambazo hukuwaga trending mara nyingi,. Nimeona viewers ni wengi mnooo.. Na sitaki kuamini kama hao viewers ni robots na watu walioko nje ya nchi,. Naamini wengi tupo hapahapa Tz,.

Your girl nikaja na wazo,. Why wafanya biashara na wajasiriamali tusitumie hii fursa,. Na nina imani itawork out... Em tuambie uko wapi?? Na unauza kitu gani ??( hapa unaweza ukaweka hata picha moja ya bidhaa unazouza na bei ) Au unatoa huduma gani??,. Unaweza kupata wateja wengi humu pia naamini watu wapo na wataona na watakutafuta,..

Kwa watoa huduma em jaribu tu kuielezea huduma yako tu vizuri bila kuweka links ( hii kuepukana na utapeli au hackers) .. Just nadi tu huduma yako atakayevutiwa nayo akutafute Pm na mje mtupe mrejesho mambo yalikwendaje??..

I promise to be your first customer from JF/JA nikivutiwa na bidhaa au huduma yako,.

Uwanja ni wenu.....
Niko hapa nilipo; na ninauza kila kitu kilichopo kwenye ubongo wangu EXCEPT ubongo wenyewe
 
Sasa tukinadi biashara hapa tukafikia kwenye swala la malipo tayari my identity is out there! Na mambo yalivyo mengi sasa nyakati hizi👀 Ngoja tutumie tu platform zingine 😔
 
Nauza nguo za jinsia zote, viatu vya ofisini na kutokea, mabegi ya watoto, yakusafiria na kuhifadhia vitu, saa, wallet, bracelets. Vilevile kwa wanaohitaji simu, pods zinapatikana.

Napatikana Mwenge
mawasiliano 0794 780 246

Karibuni, Uliza bei nikujuze. Bei zetu ni nafuu mno.
IMG_20250522_105500.jpg

IMG-20250513-WA0079.jpg
IMG-20250513-WA0084.jpg
IMG-20250515-WA0031.jpg
IMG-20250513-WA0060.jpg
IMG-20250513-WA0057.jpg
IMG-20250513-WA0042.jpg
IMG-20250513-WA0032.jpg
IMG-20250513-WA0044.jpg
IMG-20250513-WA0061.jpg
IMG-20250513-WA0082.jpg
IMG-20250513-WA0062.jpg
IMG-20250308-WA0036.jpg
IMG-20250308-WA0046.jpg
IMG-20250308-WA0015.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250513-WA0045.jpg
    IMG-20250513-WA0045.jpg
    153.2 KB · Views: 6
Vilevile nauza viatu vya michezo (mpira wa miguu), soksi pamoja na guard.
Bei ni kuanzia Tsh 80,000.

Hivyo na vingine vingi, KARIBUNI
FB_IMG_17466957531489659.jpg
FB_IMG_17466957569305777.jpg
FB_IMG_17466957323416564.jpg
FB_IMG_17466957268351337.jpg
 
Nakazia

Kuna siku mtu kanicheki akasema ametoa namba zangu insta, kwa bahati mbaya huko insta sijawahi post hiyo biashara. Nikajua tu kuna mahali nshajichanganya moyo ukawa mzito kabisa.

kuna siasa na wake za watu, hivi vitu n hatari mno.
Una bahati Sana, unge kaa kwenye mikono yangu unge ishia kupostiwa na mishumaa nusu albino wewe.
 
Back
Top Bottom