Kitumbua kimoja tu dadaa..!! au mimi ndo sijaelewaNauza kitumbua
Oukay Thanks . Tumekusoma kiongoziKribuni kwa KEMIKALI(CHEMICALS)MBALIMBALI ZA
Viwandani,maabara,Migodini na Malighafi
Sisi ni wauzaji wa
Caustic soda
Sulphuric acid
HCL
Nitric acid
Activated carbon
Led nitrate
Na nyinginezo
Wasiliana nasi kwa simu
0754763364
Tupo,
Makumbusho Dar es salaam.
azzo zuri,tutakuja kuwaungishaHellow dear members,. Hope mko poa na kila kitu nikaenda vizuri na kwa wale ambao mna changamoto Jah awafanyie wepesi.
Leo bhana nikasema nipitie nyuzi zangu na za baadhi ya members na zote tu ambazo hukuwaga trending mara nyingi,. Nimeona viewers ni wengi mnooo.. Na sitaki kuamini kama hao viewers ni robots na watu walioko nje ya nchi,. Naamini wengi tupo hapahapa Tz,.
Your girl nikaja na wazo,. Why wafanya biashara na wajasiriamali tusitumie hii fursa,. Na nina imani itawork out... Em tuambie uko wapi?? Na unauza kitu gani ??( hapa unaweza ukaweka hata picha moja ya bidhaa unazouza na bei ) Au unatoa huduma gani??,. Unaweza kupata wateja wengi humu pia naamini watu wapo na wataona na watakutafuta,..
Kwa watoa huduma em jaribu tu kuielezea huduma yako tu vizuri bila kuweka links ( hii kuepukana na utapeli au hackers) .. Just nadi tu huduma yako atakayevutiwa nayo akutafute Pm na mje mtupe mrejesho mambo yalikwendaje??..
I promise to be your first customer from JF/JA nikivutiwa na bidhaa au huduma yako,.
Uwanja ni wenu.....
Huo mtego sinasi ng’oo ukitaka nikuchukie utake kunijua kiundani, hapo hapo urafiki wa JF unakufa 😹😹Walishakusamehe😂
Oukay sample ya kazi zako?,. Your Ig ?,. Youtube tuje kusubscribe na kufollow?Mie siuzi kitu bali ni graphic designer .na design label za bidhaa,poster,flyer,banner,logo pia ni fanya computer repair,trouble shooting and maintenance, pia ni digital content creator,blogger na youtuber katika masuala ya teknolojia pamoja na hayo taaluma yangu ni teknolojia ya habari (information technology).
Ahsante,MkuuKaribu sana mkuu
Weka sample ya kazi zakoMie siuzi kitu bali ni graphic designer .na design label za bidhaa,poster,flyer,banner,logo pia ni fanya computer repair,trouble shooting and maintenance, pia ni digital content creator,blogger na youtuber katika masuala ya teknolojia pamoja na hayo taaluma yangu ni teknolojia ya habari (information technology).
Kujuana juana ndio mwanzo wa uharibifuHuo mtego sinasi ng’oo ukitaka nikuchukie utake kunijua kiundani, hapo hapo urafiki wa JF unakufa 😹😹
Weka namba mkuu kama huna bei sana tutafanya kaziMie siuzi kitu bali ni graphic designer .na design label za bidhaa,poster,flyer,banner,logo pia ni fanya computer repair,trouble shooting and maintenance, pia ni digital content creator,blogger na youtuber katika masuala ya teknolojia pamoja na hayo taaluma yangu ni teknolojia ya habari (information technology).
PM Nitakujibu vyte ila ipo thread yangu inoelezea hili jamboWow👌 ,. Utaratibu ukoje??
Mawasiliano??
Wow👌 ,. Utaratibu ukoje??
Mawasiliano??
Asante mkuu,.PM Nitakujibu vyte ila ipo thread yangu inoelezea hili jambo
![]()
Natoa huduma za Tour Guide Zanzibar
Nawasalimu wakubwa na wadogo zangu Mimi ni kijana wa kitanzania Mzalendo ambae napenda kujishughulisha na kupata rizki ya halali Kwa Ambae anatamani kuja Kutembea Zanzibar ila anapata shida mbalimbali naomba wasiliana nami utatembezwa Zanzibar kwa bei nafuu sana mm ni mwenyeji wa Zanzibar na...www.jamiiforums.com
hapo njia panda ya KIU sio gentleman?🐒Nauza Electronic device
Nauza phone accessories
Nauza movies zooteeee
Location dasalam Gomzi
Free delivery kwa hapa gomzi
Tunaweza kuwasiliana PM maana sahivi natafutwa na namba nyingi alafu siwaelewi wanachokisema ndio maana nimeona niache kuweka namba hadharani maana kuna muda inakuwa kama usumbufu kwa baadhi ya watuWeka namba mkuu kama huna bei sana tutafanya kazi