Tuambie uko wapi na unauza nini?

Tuambie uko wapi na unauza nini?

Attachments

  • IMG_5317-1.jpeg
    IMG_5317-1.jpeg
    502.2 KB · Views: 7
  • 37268fee-df44-4157-9e2d-13e29bc3f3ef.jpg
    37268fee-df44-4157-9e2d-13e29bc3f3ef.jpg
    321.4 KB · Views: 5
  • ea9ef534-0090-46a6-8237-76857d1f54a7.jpg
    ea9ef534-0090-46a6-8237-76857d1f54a7.jpg
    44.1 KB · Views: 9
Kribuni kwa KEMIKALI(CHEMICALS)MBALIMBALI ZA
Viwandani,maabara,Migodini na Malighafi
Sisi ni wauzaji wa
Caustic soda
Sulphuric acid
HCL
Nitric acid
Activated carbon
Led nitrate
Na nyinginezo
Wasiliana nasi kwa simu

0754763364
Tupo,
Makumbusho Dar es salaam.
Oukay Thanks . Tumekusoma kiongozi
Pamoja🤝🤝
 
W
Hellow dear members,. Hope mko poa na kila kitu nikaenda vizuri na kwa wale ambao mna changamoto Jah awafanyie wepesi.

Leo bhana nikasema nipitie nyuzi zangu na za baadhi ya members na zote tu ambazo hukuwaga trending mara nyingi,. Nimeona viewers ni wengi mnooo.. Na sitaki kuamini kama hao viewers ni robots na watu walioko nje ya nchi,. Naamini wengi tupo hapahapa Tz,.

Your girl nikaja na wazo,. Why wafanya biashara na wajasiriamali tusitumie hii fursa,. Na nina imani itawork out... Em tuambie uko wapi?? Na unauza kitu gani ??( hapa unaweza ukaweka hata picha moja ya bidhaa unazouza na bei ) Au unatoa huduma gani??,. Unaweza kupata wateja wengi humu pia naamini watu wapo na wataona na watakutafuta,..

Kwa watoa huduma em jaribu tu kuielezea huduma yako tu vizuri bila kuweka links ( hii kuepukana na utapeli au hackers) .. Just nadi tu huduma yako atakayevutiwa nayo akutafute Pm na mje mtupe mrejesho mambo yalikwendaje??..

I promise to be your first customer from JF/JA nikivutiwa na bidhaa au huduma yako,.

Uwanja ni wenu.....
azzo zuri,tutakuja kuwaungisha
 
Mie siuzi kitu bali ni graphic designer .na design label za bidhaa,poster,flyer,banner,logo pia ni fanya computer repair,trouble shooting and maintenance, pia ni digital content creator,blogger na youtuber katika masuala ya teknolojia pamoja na hayo taaluma yangu ni teknolojia ya habari (information technology).
 
Mie siuzi kitu bali ni graphic designer .na design label za bidhaa,poster,flyer,banner,logo pia ni fanya computer repair,trouble shooting and maintenance, pia ni digital content creator,blogger na youtuber katika masuala ya teknolojia pamoja na hayo taaluma yangu ni teknolojia ya habari (information technology).
Oukay sample ya kazi zako?,. Your Ig ?,. Youtube tuje kusubscribe na kufollow?
 
Mie siuzi kitu bali ni graphic designer .na design label za bidhaa,poster,flyer,banner,logo pia ni fanya computer repair,trouble shooting and maintenance, pia ni digital content creator,blogger na youtuber katika masuala ya teknolojia pamoja na hayo taaluma yangu ni teknolojia ya habari (information technology).
Weka sample ya kazi zako
 
Mie siuzi kitu bali ni graphic designer .na design label za bidhaa,poster,flyer,banner,logo pia ni fanya computer repair,trouble shooting and maintenance, pia ni digital content creator,blogger na youtuber katika masuala ya teknolojia pamoja na hayo taaluma yangu ni teknolojia ya habari (information technology).
Weka namba mkuu kama huna bei sana tutafanya kazi
 
Nauza friji na friza, nipo kariakoo pitieni uzi huu mnisapati wakuu

 
Wow👌 ,. Utaratibu ukoje??
Mawasiliano??
PM Nitakujibu vyte ila ipo thread yangu inoelezea hili jambo
Wow👌 ,. Utaratibu ukoje??
Mawasiliano??
 
PM Nitakujibu vyte ila ipo thread yangu inoelezea hili jambo

Asante mkuu,.
 
Pitieni hapa wakuu mnunue friji na friza aina mbalimbali
 
Back
Top Bottom