Tuambie uko wapi na unauza nini?

Tuanze na wewe uko wapi na unauza nini.
 
Nauza vibadilisha Ngozi..
Jumla na rejareja
Online shop
Nafanya delivery
Ukihitaj njoo PM
 
Tyre dogo namba kumi na nne kaka ,la Noah kwako napata kwa shilingi ngapi ? Nimeliuza tyre spea jana maana mshahara umekawia na koo haliko likizo ndugu
Ungenitajia size kamiki uliyofunga kwenye Noah yako, mana size 14 zipo nyingi na kila moja ina bei yake
175/70/14 80,000
185/70/14 85,000
195/70/14 100,000
205/70/14 115,000
 
Sawa Rafiki tumeona,.
Nitapitia uzi wako
 
Why picha iwe ngumu,. Inabidi tuone hiyo accessory ya 15k inafananaje? So we can pick??. Na vipi wauza kwa jumla au rejareja ??@Poor Brain
Kwani ni lazima uvione au ununue vitu vyake? Ameshakuambia picha haiwezekani wewe bado wang'ang'ana kama super glue. Unahitaji hizo bidhaa nenda duka lililo karibu nawe. Over!
 
Naona mmeanza kuwatafuta kiaina wale Cyber Criminals wa jana ili muwateke siyo?
 
Kwqmba nikuambie niko wapi ? Nafanya nini ? Nini maana ya anonymity??? Kuna majukwaa yake huko peleka Facebook, insta n.k,,,ikiwezekana lipia adds !
 
Kwani ni lazima uvione au ununue vitu vyake? Ameshakuambia picha haiwezekani wewe bado wang'ang'ana kama super glue. Unahitaji hizo bidhaa nenda duka lililo karibu nawe. Over!
Aisee,. Mbona povu mkuu??🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…