Tuambie uko wapi na unauza nini?

Tuambie uko wapi na unauza nini?

Kribuni kwa KEMIKALI(CHEMICALS)MBALIMBALI ZA
Viwandani,maabara,Migodini na Malighafi
Sisi ni wauzaji wa
Caustic soda
Sulphuric acid
HCL
Nitric acid
Activated carbon
Led nitrate
Na nyinginezo
Wasiliana nasi kwa simu

0754763364
Tupo,
Makumbusho Dar es salaam.
 
Kwa watu wa Songea anae hitaji Aluminum profiles,. Kutengenezewa Madirisha na milango ya chuma na Aluminums. Makabati na meza za vioo,. Showcases na Mageti na container za kuuzia bidhaa basi asiache kututafuta kwa namba hizi hapa 0679739287

Tunafundisha pia vijana kazi zote za welding na Aluminums kwa vitendo ,. Ada 300k mpaka aweze kila kitu🙏🙏
 
Kwa watu wa Songea anae hitaji Aluminum profiles,. Kutengenezewa Madirisha na milango ya chuma na Aluminums. Makabati na meza za vioo,. Showcases na Mageti na container za kuuzia bidhaa basi asiache kututafuta kwa namba hizi hapa 0679739287
Dada unaweza kuweka na picha walau tuone
Asikidanganye mtu huu uzi nimeupenda najiona nikinunua kila bidahaa ,tena huko songea lazima ninue madirisha ya aluminium nimpelekee bibi litapwasi na ninue showcase nikampe babu lilambo aufurahie
 
Yaani ukiwa vzr mkuu mbona hata mimi takubalo kufata nyendo zako.


Hapo ukiacha na kuchangia zile mada za ajabu ajabu ndo utakua verify kabisa kuwa mtu na heshima zake
Mada zipi mdogo wangu maana kila siku hizi mada huzitaji unanipiga pin juu kwa juu unapotea ,leo nichane tu mfanyabiashara mwenzangu
 
Back
Top Bottom