Tuacheni udhalilishaji, imetosha sasa

Tuacheni udhalilishaji, imetosha sasa

Huyu Binti namshangaa sana. Yaani yeye katika lifetime yake yote ya Siasa ameiona hii tu ya Mama Regina. Watu kila siku wanatukana humu, kwenye TV, radio, magazeti etc na hajasikika akiongea. Nina wasiwasi kama hizi hisia zake zinatoka moyoni au anatafuta kick tu.

Mnafki sana huyu binti.
 
Mama yetu huyu ni Born Again.

inawezekana ameongozana na watu wasiofaaa sitaki kuwataja majina. Hao ndio wamemuharibu akalewa. Pole mama Rudi kwenye misingi yako Mungu ni mwema atafuta hiyo aibu kwenye mioyo ya wote waliyoiona na kusikia issue hii.

Ole wake ampae ndg Yake kileo!!!

Queen Esther


Kuna vitu vinaumiza Sana ,Maadili ya Taifa hili yameporomoka kuanzia kwenye uraisi mpaka kwenye familia
Labda ingeundwa Tume ichunguze ni wapi tumekosea na awepo kiongozi atakaye simamia kwa nia njema kabisa mapendekezo ya Tume...vinginevyo kupiga kelele mtu mmoja mmoja haitasaidia
Au iundwe wizara ndogo itakayo simamia maadili na utamaduni
 
Huu sio wajibu wangu pekee.,kabla ya kuniuliza mimi nimefanya nini umewahi kujiuliza wewe umefanya nini..?
Wakati mwingine muwe mnajitahidi kufikiri kwa umakini na kuacha ushabiki, tunazungumza juu ya hatma ya kizazi chetu kimaadili.

Wewe ni mnafki tu kama hao wenzako wa Lumumba.

Wakati CCM mnawatukana viongozi wa Ukawa pamoja na Lowasa ulikuwa wapi kukemea?
 
Mama yetu huyu ni Born Again.

inawezekana ameongozana na watu wasiofaaa sitaki kuwataja majina. Hao ndio wamemuharibu akalewa. Pole mama Rudi kwenye misingi yako Mungu ni mwema atafuta hiyo aibu kwenye mioyo ya wote waliyoiona na kusikia issue hii.

Ole wake ampae ndg Yake kileo!!!

Queen Esther

hayo yaliyotokea ni kwa sababu mama Regina alikua amelewa ??
Kwa hiyo kwa sababu ni born again kisa kanywa Pombe ndio adhabu yake iwe kumdhalilisha kiasi hicho ??
Wewe ni mnafki na kwa comment yako hii inadhihirisha umefurahia hicho kitendo ,uzuri na wewe ni mwanamke ipo siku yatakukuta mbele ya wanao kama kizazi unacho
 
Tatizo la hayo ya kutokea ni kwa sababu mama Regina alikua amelewa ??
Kwa hiyo kwa sababu ni born again kisa kanywa Pombe ndio adhabu yake iwe kumdhalilisha kiasi hicho ??
Wewe ni mnafki na kwa comment yako hii inadhihirisha umefurahia hicho kitendo ,uzuri na wewe ni mwanamke ipo siku yatakukuta mbele ya wanao kama kizazi unacho

Soma vizuri nilichoandika ndio uhukumu.

Pole sana Mungu ni wa haki. Laana isiyo haki HAIMPIGI mtu.

Queen Esther
 
Kutukana na kudhalilisha watu wazima ni sawa na kula nyama ya mtu. Ukianza huwezi kuacha hata sisi wanaume tunasikitika kusikia vitoto vidogo vikiwatukana watu wazima wenye umri sawa na baba zao na hata kuwashambulia kama walivyofanya kwa Mzee warioba. Vinafanya yote hayo kwa jina la siasa.
 
nilitegemea auanza kwa kuomba msmaha jinsi ulivuokuwa unamtuka dr slaa kwanza ndio uandike hayo...au dr slaa mdogo wako? hajafanana na baba yako? uache unafiki...
 
Kutukana na kudhalilisha watu wazima ni sawa na kula nyama ya mtu. Ukianza huwezi kuacha hata sisi wanaume tunasikitika kusikia vitoto vidogo vikiwatukana watu wazima wenye umri sawa na baba zao na hata kuwashambulia kama walivyofanya kwa Mzee warioba. Vinafanya yote hayo kwa jina la siasa.
Ni wakati wa kukemea hayo sasa..,

Katika Biblia tunasoma katika WAFALME juu ya hekima ya Suleiman..alipoambiwa na MUNGU niombe utakacho..yeye (suleiman) akaomba akisema;
"Nipe mimi mtumwa wako moyo wa adili niwahukumu watu wako, na kupambanua mema na mabaya..."

MUNGU akamjibu akimwambia;
"Na mambo yale usiyoyaomba nimekupa, mali na fahari"

Wakati mwingine unapofika wakati wa kuhukumu ama kukemea jambo watu husita, hupatwa na woga lakini tukumbuke jambo la hakika, YUPO MUNGU.,msimamizi wa kila jambo...Tuamue kukemea UDHALILISHAJI na tuamue sasa.
 
Soma vizuri nilichoandika ndio uhukumu.

Pole sana Mungu ni wa haki. Laana isiyo haki HAIMPIGI mtu.

Queen Esther
Huo upuuzi ulioandika hapo hauna maana tofauti na nlichokisema kwenye post iliyopita

Wewe unataka kujustify nini hapa ..all of a sudden umekua malaika au ??
Comments zako Jamii Forum kwamba hazionekani au
ID yako tu ni uzalilishaji Easther nilyemsoma kwenye vitabu vya dini alikua na hekima
 
hayo yaliyotokea ni kwa sababu mama Regina alikua amelewa ??
Kwa hiyo kwa sababu ni born again kisa kanywa Pombe ndio adhabu yake iwe kumdhalilisha kiasi hicho ??
Wewe ni mnafki na kwa comment yako hii inadhihirisha umefurahia hicho kitendo ,uzuri na wewe ni mwanamke ipo siku yatakukuta mbele ya wanao kama kizazi unacho

Naona zingine ni chuki tu, hakuna haja ya kumshambulia na kumtukana Julie.
 
Udhalilishaji umeuasisi wewe ulipotua rasmi CCM! Umesahau? Tumeshavumilia tumechoka sasa tutapambana!

Natoa onyo kali kwa FaizaFoxy na wahuni wenzake waache kuchezea utu na dini za watu! Tunawaangalia kwa umakini mkubwa sana na hilo walielewe! Hatutothubutu kuwaacha waendelee kudhalilisha utu wa mtu eti kwa sababu ya imani tofauti na itikadi tofauti! Tusije kulaumiana!!


Wewe!

Una hata kauli ya kutoa onyo?

Amma kwa hakika umedhihirisha kuwa wewe ni mpumbavu.

Ndiyo maana tutakuwacha ulipokuwa unazuwa. Kumbuka!
 
Vijana wa BAVICHA hawamtaki EDO na ndio maana wengi wao hawashiriki katika kampeni za EDO ikiwemo Mdee, na Mnyika na kuna tetesi kwamba wengine wanahama kwenda CCM, ila hiki walichomfanyia mama EDO ni kibaya sana
 
Yapo mambo mengi yamekuwa yakiendelea katika kipindi hiki, ambapo mengi katika mambo hayo ni ya hovyo, machafu na yasiyofaa katika jamii lakini yanahalalishwa kwa jina SIASA. Mambo yenye kushusha heshima ya mtu, kudhalilisha utu wake na kufedhehesha jamii yake siku hizi hayakemewi tena, sio na watu wenyewe ama taasisi bali hata Serikali yenyewe imekalia kimya mambo hayo na jamii wameyapa jina jipya, hauitwi tena UDHALILISHAJI bali inaitwa SIASA CHAFU.

Kwa muda mrefu, binafsi nimekuwa nikitukanwa sana hapa jamvini, tena na watu wenye heshima zao na wengine nawajua kwa sura na majina halisi lakini hata hawashtuki, nao huingia kwenye mkumbo huu wa matusi, kunidhalilisha na kunishushia heshima..wakati mwingine tunalazimika kuvumilia kwa sababu ndivyo ilivyo jamii yetu lakini hakika ni lazima tukemee tabia hizi zinazoimarika ndani ya jamii yetu...Watanzania walikuwa ni watu wenye kutolewa mfano kwa kuheshimiana, kupendana na kuishi kijamaa lakini hali ya sasa ni ya mazungumzo ya chuki, uhasama, kudhalilishana na kuvunjiana heshima.

Nimeiona VIDEO inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii, ikimdhalilisha Mama Regina, huyu ni Mwanamke mwenzangu lakini pia ni kama Mama yangu mzazi kwa umri wake na mtu mwenye heshima ya kipekee katika jamii yetu, si jambo jema hata kidogo, Mimi nalipinga jambo hili kwa namna yeyote ile itakavyotafsiriwa.

Hii sio siasa, na nawaonya Vijana wenzangu wa CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) ikiwa wao ndio wanaozisambaza video hizi, wajue wanafanya makosa kisheria na ni kukosa adabu na heshima kwa wazazi wetu. Nimewataja Vijana wenzangu wa CCM kwa sababu VIDEO hiyo nimeiona kwenye simu ya mmoja wao akidai ametumiwa na kijana anayeitwa Peter Kasera (ambaye nae ni kijana wa UVCCM) hizi sio tabia za wanachama ama Vijana wa CCM, MNATUDHALILISHA. Na nimeamua kukutaja kwa jina halisi ili uone haya kokote ulipo na ujutie kitendo chako, ikiwezekana uombe radhi kwa kitendo hicho.

Lakini pia hawa wapiga picha wanaokuwepo kwenye shughuli za CHADEMA na UKAWA hivi mnaishi nao vipi..? maana event ile ni ya "wanamabadiliko" imekuwaje VIDEO ile imevuja..? It's obviously kuwa mpigaji picha deliberately ameamua kuitoa kwa maslahi yake na ya wale anaowajua yeye.

Maoni yangu:
Watu hawa wote wachukuliwe hatua, kuanzia yule aliyefanya kitendo kile, aliyevujisha VIDEO pamoja na hawa wanaoendelea kusambaza..kwani ni hatua ya juu kabisa ya UDHALILISHAJI aliyofanyiwa Mama Regina.

NB:
Sitoiweka VIDEO hiyo hapa, na siitaji mtu yeyote katika uzi huu ama mwingine aweke VIDEO hiyo ama yenye mfano wa hiyo, Mods stay alerted...hata kama ni SIASA jamani kuna maisha baadae..TUACHE UDHALILISHAJI, imetosha sasa.

Huna Lolote MNAFIKI Mkubwa Wewe Kwenda Huko. Sasa Kama Unasema CCM Tunakosea Je Unachosubiri Kurudi Huko UKAWA Ni Nini? Tutolee Upuuzi Wako Hapa! Makosa Ya UKAWA Huyaoni Mpaka Haya Ya CCM Ndiyo Unayashikilia Bango Hivi? Mbona Wanawake Wenzako Tena Wengi Tu Hapa Nchini WANADHALILISHWA Kuliko Hata Huyo Mama Regina Na Hatujawahi Kukuona UKITOKA KUWAPIGANIA? au Wewe Hawa Mabinti au Wanawake Wa Hali Ya Chini WANAONYANYASIKA Kwako Hawana UMUHIMU Wowote? Nilikuwa Naambiwa Tu MADHAIFU Yako Ya KIFIKRA Ila Leo Nimeyaamini. Bora Uishi Na Wachawi 100 Kuliko Kuishi Na Mnafiki 1 Kama Wewe.
 
Yapo mambo mengi yamekuwa yakiendelea katika kipindi hiki, ambapo mengi katika mambo hayo ni ya hovyo, machafu na yasiyofaa katika jamii lakini yanahalalishwa kwa jina SIASA. Mambo yenye kushusha heshima ya mtu, kudhalilisha utu wake na kufedhehesha. jamii yake siku hizi hayakemewi tena, sio na watu wenyewe ama taasisi bali hata Serikali yenyewe imekalia kimya mambo hayo na jamii wameyapa jina jipya, hauitwi tena UDHALILISHAJI bali inaitwa SIASA CHAFU.

Kwa muda mrefu, binafsi nimekuwa nikitukanwa sana hapa jamvini, tena na watu wenye heshima zao na wengine nawajua kwa sura na majina halisi lakini hata hawashtuki, nao huingia kwenye mkumbo huu wa matusi, kunidhalilisha na kunishushia heshima..wakati mwingine tunalazimika kuvumilia kwa sababu ndivyo ilivyo jamii yetu lakini hakika ni lazima tukemee tabia hizi zinazoimarika ndani ya jamii yetu...Watanzania walikuwa ni watu wenye kutolewa mfano kwa kuheshimiana, kupendana na kuishi kijamaa lakini hali ya sasa ni ya mazungumzo ya chuki, uhasama, kudhalilishana na kuvunjiana heshima.

Nimeiona VIDEO inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii, ikimdhalilisha Mama Regina, huyu ni Mwanamke mwenzangu lakini pia ni kama Mama yangu mzazi kwa umri wake na mtu mwenye heshima ya kipekee katika jamii yetu, si jambo jema hata kidogo, Mimi nalipinga jambo hili kwa namna yeyote ile itakavyotafsiriwa.

Hii sio siasa, na nawaonya Vijana wenzangu wa CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) ikiwa wao ndio wanaozisambaza video hizi, wajue wanafanya makosa kisheria na ni kukosa adabu na heshima kwa wazazi wetu. Nimewataja Vijana wenzangu wa CCM kwa sababu VIDEO hiyo nimeiona kwenye simu ya mmoja wao akidai ametumiwa na kijana anayeitwa Peter Kasera (ambaye nae ni kijana wa UVCCM) hizi sio tabia za wanachama ama Vijana wa CCM, MNATUDHALILISHA. Na nimeamua kukutaja kwa jina halisi ili uone haya kokote ulipo na ujutie kitendo chako, ikiwezekana uombe radhi kwa kitendo hicho.

Lakini pia hawa wapiga picha wanaokuwepo kwenye shughuli za CHADEMA na UKAWA hivi mnaishi nao vipi..? maana event ile ni ya "wanamabadiliko" imekuwaje VIDEO ile imevuja..? It's obviously kuwa mpigaji picha deliberately ameamua kuitoa kwa maslahi yake na ya wale anaowajua yeye.

Maoni yangu:
Watu hawa wote wachukuliwe hatua, kuanzia yule aliyefanya kitendo kile, aliyevujisha VIDEO pamoja na hawa wanaoendelea kusambaza..kwani ni hatua ya juu kabisa ya UDHALILISHAJI aliyofanyiwa Mama Regina.

NB:
Sitoiweka VIDEO hiyo hapa, na siitaji mtu yeyote katika uzi huu ama mwingine aweke VIDEO hiyo ama yenye mfano wa hiyo, hata kama ni SIASA jamani kuna maisha baadae..TUACHE UDHALILISHAJI, imetosha sasa.

Mimi mwana ccm tena ni kiongozi, tunaposikiliza utenzi wa matusi jukwani huku tunaomba uongozi wa juu kabisa wa nchi, na kutabasamu juu ya tenzi kama hizi, baada ya dakika chache unasema una hofu ya Mungu, binafsi sifurahii, hivi ni kweli hatuwezi kumshinda Lowassa mpaka tumtukane? Ama ushindi wetu utajikita katika kuumwa kwake? Tutafakari, siasa za hovyo na za kutukana wazee ziishie awamu inayoisha!!! Hiki ni kati ya kipindi tulichofanya siasa za hovyo! CCM tuwe mfano, tunaweza kushinda kwa kutumia siasa za kistaarabu kabisa, ili mradi tusiwafanye watu wa darasa la nne ndo great thinker wetu
 
Huna Lolote MNAFIKI Mkubwa Wewe Kwenda Huko. Sasa Kama Unasema CCM Tunakosea Je Unachosubiri Kurudi Huko UKAWA Ni Nini? Tutolee Upuuzi Wako Hapa! Makosa Ya UKAWA Huyaoni Mpaka Haya Ya CCM Ndiyo Unayashikilia Bango Hivi? Mbona Wanawake Wenzako Tena Wengi Tu Hapa Nchini WANADHALILISHWA Kuliko Hata Huyo Mama Regina Na Hatujawahi Kukuona UKITOKA KUWAPIGANIA? au Wewe Hawa Mabinti au Wanawake Wa Hali Ya Chini WANAONYANYASIKA Kwako Hawana UMUHIMU Wowote? Nilikuwa Naambiwa Tu MADHAIFU Yako Ya KIFIKRA Ila Leo Nimeyaamini. Bora Uishi Na Wachawi 100 Kuliko Kuishi Na Mnafiki 1 Kama Wewe.

Kaka hata kama unalipwa kwa post zako hili sio la kushabikia ndg
 
Account yako imekua hacked? au umesoma alama za nyakati towards 25th Oct, 2015? I am impressed Juliana Shoza
 
Last edited by a moderator:
Hebu Nitolee Upuuzi Wako Hapa.

...mapovu ni dalili ya kutokuwa na hoja, na watu kama ww mnaoishi kwa kuuza maneno mko wengi ndani ya chama, na Magufuli atalala na nyie mbele, maana mnafikiri kwa kutumia matumbo, stay tuned, ndo MABADILIKO Magufuli anayotaka kufanya kunyosha chama, siasa za kutukana wazee ili mpate ukuu wa wilaya zama zake zimekwisha #HapaNiKaziTu , nidhamu ndio Ushindi, shame on you
 
Back
Top Bottom