NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,898
Tumebakisha kuuana tu na kwa haya yanayoendelea tutauana tu.niwatakie vifo vyema
Kawadanganye mabwana zako hapa ni Lowasa tu hata iweje,na ID zenu za kila siku
LOWASA atosha
Wewe Juliana Shonza,kumwita Mzee Maxoni Chizii "mwizi maarufu wa kura" sio uzalilishaji wa wazi kabisa huo?
Ukizingatia yule ni mtu mzima,kiongozi na mwenye kuheshimika.
Wewe upo sahihi?Nawe inatakiwa ukaombe radhi.Watu kama wewe ndio mnaosababisha nchi inapewa kisogo na Mwenyezi Mungu kwa laana mnazozisababisha.
Huo upuuzi ulioandika hapo hauna maana tofauti na nlichokisema kwenye post iliyopita
Wewe unataka kujustify nini hapa ..all of a sudden umekua malaika au ??
Comments zako Jamii Forum kwamba hazionekani au
ID yako tu ni uzalilishaji Easther nilyemsoma kwenye vitabu vya dini alikua na hekima
Hekima ya mwanadamu ni UPUMBAVU mbele za Mungu. Usijione mwenye Hekima MACHONI pako mwenyewe....
Soma Mithali 8;9 na 10
Queen Esther
Aliyempiga dole Mama Lowassa ni kijana wa CHADEMA, tangu Lowassa aje CHADEMA kuna wanachama wenzetu wanafanya kila wawezalo ili wamuangushe Lowassa. Hii siyo adabu hata kidogo, yule ni sawa na Mama zetu wengine tunaoishi nao kwenye jamii zetu.
Kama humtaki Lowassa bora ukae kimya au ukimbie kama walivyokimbia wanachama wengine wakaenda fisiemu. Jana mumempiga dole, najua ipo siku nyingine mutamfanyia kitu kikubwa zaidi, sijui munategemea nini mtu aliyewahi kupigwa dole hadharani siku moja akisimama kama 1st lady.
Easther hebu niache
Uende na AMANI ya Bwana. Sisi ni ndugu.
Queen Esther