Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,753
- 19,987
Hawajui walinenalo wao huwa ni filimbi tu na wacheza ngomqMataga wametutaarifu humu kwamba mission ya Mh. SSH huko US sio kukutana na Biden wala Kamala bali kuhutubia UNGA. Inawezekana HH alikuwa na ratiba ya kukutana na viongozi wa US ila SSH hakuwa nayo.
Nilishangaa kiongozi mkubwa wa machifu anapokelewa na genge la makahaba likiongozwa na mangekimavi
Nchi tajiri watoto wanakaa Mia moja chumba kimoja Cha darasa?Nchi hii ni tajiri sana ndugu zangu, tuache kujikomba kwa ajili ya misaada.
Birds of the same feather.................Nilishangaa kiongozi mkubwa wa machifu anapokelewa na genge la makahaba likiongozwa na mangekimavi
NK huko kote mbali sana, aende tu hapo Rwanda au kwa M7. watamwongezea ujuzi.Kuliko kupoteza muda kwenda UN ni bora angeenda North Korea ili akapate maarifa ya jinsi ya kubambikia Wapinzani kesi vizuri.
Cdm unawasingizia bure .Legacy ya Mwendazake kuita wazungu mabeberu na kupoteza watu ukijumlisha na uropokaji wa Tundu Lissu na Siasa za fujo za CDM zinashusha sifa na hadhi ya kidoplomasia nchi..
Utajiri usaidiwe CHANJO ?!Kwani ni uongo hii nchi sio tajiri?
Tutokeje wakati hata toothpicks Ni made in chinaNaungana nawe ktk suala la Demokrasia na utawala wa Mabavu. Suala la Ugaidi kwa mfano, ni suala la Kimataifa....Sasa sijui hapa kwetu kama Serikali ilichukua jukumu la kuwaita wawakilishi wa Nchi mbalimbali Duniani na hasa Mabalozi na kuwaambia wakae mkao wa tahadhari, kwani Tanzania kuna ugaidi na unaongozwa na Mbowe....
Sasa kama hayo anayofanyiwa Rais huko Marekani ni kweli, basi inaonyesha kuna shida ktk Uongozi wa Taifa letu kwa sasa.
Isipokuwa, suala la kutegemea misaada "hapana", hembu tutoke huko na tufanye kazi kwa juhudi tuweze kujitegemea, sio kuendelea kutegemea misaada mpaka leo hii miaka 60 toka tupate Uhuru......
Kibisa aiseeUnataka kunambia hadi mwanamke mwenzie Khamala kashindwa kumuona wakabadilishana mawazo...anakome kuonana na makamu wa rais wamwake wa nchi tena za kiafrika. Hata Angella Merkel....yaani gender imeshindwa kupenetrate wenzetu wanaangalia democracy na usawa tu na haki. Wao usawa sio gender bali ni matendo na mienendo
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Moja kwa moja kwenye mada.
Siku za nyuma enzi za J.K Nyerere hadi kipindi Cha Mkwere, Tanzania tulingaa Sana kimataifa,,, tulikuwa tunapendwa Sana, na tulikuwa na marafiki wengi wa kutoka magharibi hasa Ulaya na Marekani.
Kipindi Cha Mkwere (JK) Raisi George W Bush alikuja Bongo,, kipindi Cha Obama alikuja Bongo.
JK alikuwa the first African president kwenda white house kipindi Cha Obama, na kwakweli tulipata misaada mingi mno na ilitusaidia Sana.
Sasa hivi Tanzania imechafuka mno,, yaani barozi mulamula anaenda state department ili ku organize Kama SSH anaweza kuonana na Biden au Harris lakini anakataliwa, kisa Tanzania imekuwa adui wa demokrasia na haki za binadamu.
Angalia Raisi wa Zambia alivyopokelewa na Western Leaders, kila mtu ana wish kukutana nae,Jana kakutana na Kamara Harriss, sababu ni kuwa Zambia ni mfano Bora wa demokrasia.
Believe me Kama SSH angefata Democracy angetengeneza marafaki wengi mnoooooo, na angepata misaada mingi mno. Na hili likesi la Mbowe linamuharibia ata Kama CCM hatutaki kusema ukweli.
Samia kwa upande wa democracy alianza vizuri,alikosea kuwasikiliza wafuasi wa dikteta wakampotoshaMoja kwa moja kwenye mada.
Siku za nyuma enzi za J.K Nyerere hadi kipindi Cha Mkwere, Tanzania tulingaa Sana kimataifa,,, tulikuwa tunapendwa Sana, na tulikuwa na marafiki wengi wa kutoka magharibi hasa Ulaya na Marekani.
Kipindi Cha Mkwere (JK) Raisi George W Bush alikuja Bongo,, kipindi Cha Obama alikuja Bongo.
JK alikuwa the first African president kwenda white house kipindi Cha Obama, na kwakweli tulipata misaada mingi mno na ilitusaidia Sana.
Sasa hivi Tanzania imechafuka mno,, yaani barozi mulamula anaenda state department ili ku organize Kama SSH anaweza kuonana na Biden au Harris lakini anakataliwa, kisa Tanzania imekuwa adui wa demokrasia na haki za binadamu.
Angalia Raisi wa Zambia alivyopokelewa na Western Leaders, kila mtu ana wish kukutana nae,Jana kakutana na Kamara Harriss, sababu ni kuwa Zambia ni mfano Bora wa demokrasia.
Believe me Kama SSH angefata Democracy angetengeneza marafaki wengi mnoooooo, na angepata misaada mingi mno. Na hili likesi la Mbowe linamuharibia ata Kama CCM hatutaki kusema ukweli.
Hapa mi naomba niseme ndiyo na hapana. Ndiyo kwa wale waliokuwa/waliotengenezewa mifereji, Hapana ni kwa nchi kiujumla, hakukuwa na manufaa yoyote zaidi ya kuiweka ncho rehani na taabuni.na kwakweli tulipata misaada mingi mno na ilitusaidia Sana.
Samia kwa upande wa democracy alianza vizuri,alikosea kuwasikiliza wafuasi wa dikteta wakampotosha