Tuache kulalamikia TISS kwa majukumu yasiowahusu ya kudhibiti ufisadi au kuendesha uchumi wa nchi

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,660
46,349
Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.

Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.

Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.

Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.

Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
 
Mkuu unatetea ugali wako hapo kitengo lazima tuwalaumu sababu kila halmashauri mnawawakilishi iweje over price zitokee na bado kutoke halmashauri inapata hati chafu.
 
Unayajua majukumu ya TISS kama yalivyo kwenye katiba?
Mkuu unatetea ugali wako hapo kitengo lazima tuwalaumu sababu kila halmashauri mnawawakilishi iweje over price zitokee na bado kutoke halmashauri inapata hati chafu
 
TISS wataendelea kulaumiwa maana kila pahala wapo, wasukuma mikokoteni, wanaojifanya omba omba, wamachinga, wakulima, walimu, wachungaji, mashehe, wanafunzi, manesi, madaktari, mainjinia,, mapolisi, wanajeshi, walinzi, wahudumu mahotelini, wahasibu, makaarani, wafanya biashara, mama/baba lishe viabrua nk humo pote wamo kwa hiyo hakuna kisingizio kwamba hawakujua ila kwa sababu zao walichelea.
 
Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.

Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.

Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.

Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.

Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.

TISS ni idara ya usalama wa nchi sasa kama kuna watu wanahamisha dolla kinyemela wanalinda usalama wa nn? Usalama ni pamoja na uchumi wa nchi, maliasili za nchi, usalama wa watu physically, na wao si kwenda site kutuliza bali ni mashushu wakiona kuna hatari wanatoa tahadhari kwa vyombo vingine husika.

Sasa unawatetea nn wakati nchi inaibiwa kila kukicha nakodi zetu zinatumika kuwalipa marupurupu kibao bila matokeo yoyote
 
Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.

Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.

Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.

Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.

Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
TISS wewe unaielewaje!!?

Ni idara pana sana yenye uwanja mpana na taarifa za kutosha za huo ufisadi kabla hata CAG hajabaini!!wanaweka kumzuia kabla hata haujatokea coz wao ndio wenye taarifa nyeti za mambo yote!!!

Usalama wa taifa maana yake usalama wa watu wa nchi yetu na mali zao!!usalama sio vita wala risali bali uchumi na mali za nchi na kodi za watanzania!!

Hujawahi sikia ujasusi wa kidola!!?na ujasusi wa kiuchumi!!?unafikiri Nani anaufanya huo!!?sio watu wa idara !!?

Makinika mkuu!!
 
Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.

Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.

Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.

Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.

Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
kwa hiyo unadhani corruption is not a threat to national security and stability?....you need to recheck your fatcs
 
Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.

Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.

Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.

Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.

Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
''To evaluate information relevant to security''. Hapo nmekuelewa, mambo ya ukwapuaji hayawahusu TISS.
 
Sijwahi kuona taifa lingine ambalo wizi/ufisadi wa mali za umma unatokea halafu Idara za ujasusi ndizo zinalaumiwa.

Ukosoma sheria ya kuundwa kwa TISS kazi ya inahusu usalama wa taifa "security". Kufuatilia rushwa, ufisadi katika ofisi za umma, kuendesha uchumi, kupambana na madawa ya kulevya sio kazi yao. Hayo ni majukumu ya vitengo vingine vingi vilivyoundwa mahususi kwa shughuli hizo.

Wao wanapaswa kuingia tu kwenye uchunguzi wa mambo hayo endapo yanahusisha usalama wa taifa, mfano mtu anauza dawa za kulevya kufadhili ugaidi au mtumishi amepewa rushwa kutoa classified information za nchi. Sio kila ufisadi, au biashara haramu ni jukumu la TISS.

Act yao inasema to obtain, correlate, and evaluate intelligence "relevant" to security.

Tuache kwapa TISS majukumu yasiyowahusu, hii ni slippery slope mbaya sana inatengenezwa kwa kufanya hivi. TISS wanapaswa kufanya kazi zao kulingana na Act yao iliyounda hiyo idara.
An economically poor nation is at high insecure risks
 
Back
Top Bottom