TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

Mkuu 'MCHINA' wangu ana:
2G: GSM 850/900/1800/1900MHz
3G: WCDMA 850/1900/2100MHz

Vipi anasupport?
Nimejaribu kusearch kuna mtandao umeingia kama 64009 sijajua ni mtandao gani mkuu!
 
Mkuu 'MCHINA' wangu ana:
2G: GSM 850/900/1800/1900MHz
3G: WCDMA 850/1900/2100MHz

Vipi anasupport?
Nimejaribu kusearch kuna mtandao umeingia kama 64009 sijajua ni mtandao gani mkuu!
sikumbuki vizuri ila ni 850 au 900mhz,

halotel na smart wote network zao zinatokea kama namba, sometime smart inatokea kama tritel pia.

jaribu hio network na line ya halotel ikikataa ni ya smart, tafuta line ya smart upime speed kama ni nzuri enjoy unlimited internet kwa 20,000
 
Ok Sir.
 
halotel mpambanishe na 3g wenzake kama airtel anaekupa 2gb kwa buku (uni) hii ni 4g, mitandao ya 4g ni Tigo, voda, Ttcl, smart, smile na zantel (wanatumia net ya tigo)
Hee unakijua unacho kisema hapa au ndy ugeni wa mitandao?
 
Tatizo vifurushi gharama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…