Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
- Thread starter
- #221
hilo ni muhimu sana sana. imagine unakuwa na mtu anakusikiliza tu kila unachomwambia anajua huyu ananidanganya tu........ hata haipendezi, ndo maana mashostito wanaweza kukukimbia sababu wanaona kila unalolisema ni la uongo......Aahhhhh unaumiza sana i see.....unabaki unamwangaliaaa na kujifanya kweli hujui hesabu za kujumlisha....na unaendelea kupata faida na kumjua zaidi bila ya yeye kujijua mwisho wa siku you tell him all...but bado ataweka uongo mwingi kujitetea.
Trust ni muhim sana kwenye mahusiano...kuwa mkweli kwa vidogo ili uaminiwe katika vingi