Train za zamani (mchakachua)

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,314
2,635
Wazee jana nilikua naangalia movie ya jean c. Vandamme akiwa kaka yake alex.kuna scene moja vandamme yupo ndani ya meli anachochea mkaa wa moto katika injini ya meli.mie pia nikakumbuka kwamba zamani kabisa hapa kwetu tz kulikuwepo na train zinazo tumia kuni/mkaa inasemekana zilikuwa na uwezo mzuri tu kiutendaji. Mie sikuwahi kuziona ila nimeona mabaki ya vichwa yakitumika kama mashine za viwandani. Hivi hizo train za ki zamani na hizi za kisasa ni zipi ambazo ni bora na zisizo na gharama kubwa ki uendeshaji.? Na ni ni vp zilifutwa kufanya kazi. Naomba uelewa wako juu ya hayo majongoo ya kizamani na majongoo haya tuliyo nayo.
 
Hahaha, aisee! Nimekumbuka kwanza wimbo wa 'stimela' wa yvone chakachaka. Kuch kuch, via soweto!
Sijaona hizo treni ila nadhani kama zilitumia kuni na mkaa, efficiency yake itakua ilikua ndogo sana. Imagine kuendesha dude lile hadi kigoma na kurudi dar,ungekatwa msitu size gani? Na sasa tungeshakua jangwa! Lakini pia kuna uchafuzi wa hali ya hewa pia. Nahisi ulichoona ww yalikua makaa ya mawe (calorific value/nishati inakua kubwa kuliko ya kuni ikifuatiwa na ya mkaa). Hivyo linabeba behewa zima fuel, na wakifika mbele huko wabebelee tena!
Haya ni mawazo tu ya kimtazamo, sina hakika kama zilikuwepo lakini nafikiria tu sababu za kutupilia mbali.
 
Hahaha, aisee! Nimekumbuka kwanza wimbo wa 'stimela' wa yvone chakachaka. Kuch kuch, via soweto!
Sijaona hizo treni ila nadhani kama zilitumia kuni na mkaa, efficiency yake itakua ilikua ndogo sana. Imagine kuendesha dude lile hadi kigoma na kurudi dar,ungekatwa msitu size gani? Na sasa tungeshakua jangwa! Lakini pia kuna uchafuzi wa hali ya hewa pia. Nahisi ulichoona ww yalikua makaa ya mawe (calorific value/nishati inakua kubwa kuliko ya kuni ikifuatiwa na ya mkaa). Hivyo linabeba behewa zima fuel, na wakifika mbele huko wabebelee tena!
Haya ni mawazo tu ya kimtazamo, sina hakika kama zilikuwepo lakini nafikiria tu sababu za kutupilia mbali.

yaani ulipo anza na kuchetu mimi ndo kabisaaa! Nikaangua cheko. Any way hapo umesema point ya uhakika mkuu.nadhani unapata tabu kidogo uki piga picha na kuona jinsi msitu ambavyo ungeteketea huku ukiacha hari mbaya ya uchafuzi wa mazingira nk. nk. Lakini vp ingeshindika kuanzisha mashamba ya miti ya kisasa inayo kua kwa miaka 3 mbadala wa ile inayo kua kwa mika 30 kama mibanga na mitundu.nadhani tungepata maalifa ya namna ambayo tungeweka uwiano wa uzalishwaji miti na matumizi.
 
Kuna issue 2 nimeziongelea. Uhitaji mkubwa wa miti, na uchafuzi wa mazingira.
Dude lote lile, kwa nguvu inayotoka kwenye kuni, sijui tutapanda ekari ngapi! Ili kua na plan ya kutosha. Nimeona sehemu wanatumia boiler za kuni kwa plants 3 tu, lakini walikua na ekari 3000 za miti. Maintainance ni ghali, ukataji na usafirishaji pia. Risks pia ni nyingi na unahitaji labour ya kutosha. Kuhusu uchafuzi, CO2 na SOx inayotoka hapo sio ya mchezo na itaharibu hali ya hewa zaidi. Ungeongelea kuwekeza kwenye walau makaa yetu ya mawe, japo nayo ni tatizo. Muhimu tungekaba uranium yetu tukapata umeme wa kuendeshea treni ingekua saizi yake. Shida yetu kubwa ingebakia kwenye maintainance.
Ila kwa kuni mzee? Hata speed itakua kimeo
 
One more thing, hiyo miti ya kisasa inayokua haraka nadhani calorific value yake inapungua pia. Aisee, tufanye research ya hii kitu tupate chenchi ninii? Hahaha. Japi hakuna outside donors, labda tumuombe lowassa aturudishie za richmond,lol
 
One more thing, hiyo miti ya kisasa inayokua haraka nadhani calorific value yake inapungua pia. Aisee, tufanye research ya hii kitu tupate chenchi ninii? Hahaha. Japi hakuna outside donors, labda tumuombe lowassa aturudishie za richmond,lol
haah! haaaaah!! hahaaaaaaa !!!!! kaka samahani sana chunga mbavu zangu.!!!!!!!!

hapo kwenye red nadhani ndo mpango mzima lakini hapo kwenye brue sidhani kama bado anazo maana nasikia hivi sasa anazibgawa ile mbaya na hivi karibuni katoa kama 11.ml katka kanisa flani kule nyakato jijini mwanza.
 
Back
Top Bottom