MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,097
- 35,475
Mtakalia hivyo hivyoTeh teh,cant you differenciate propagandas and true stories? these are the same stories from the same people
Ila ukweli ndio huo
Mtakalia hivyo hivyoTeh teh,cant you differenciate propagandas and true stories? these are the same stories from the same people
Hapa inakuwa vyepesi kumbana waziri mwenye dhamana pale mambo yanapo kwenda sivyo na pesa wamepewaKinachonifurahisha zaidi ni utaratibu wa wizara ya fedha kutoa taarifa kila mwezi kuhusu mgawanyo wa pesa walizokusanya.
Natumaini wataendelea na utaratibu huu katika kipindi chote cha utawala wa Awamu ya Tano.
umejumlisha hizo figures? hapa nikisikia kuna miradi imekwama ndo nitaamini hizi ni takwimu za makaratasi otherwise it is trueTaarifa kuhusu Makusanyo inapatikana katika linki hii hapa:
Serikali yakusanya Sh trilioni 1 kwa mwezi
Kilichokusanywa ni Shilingi Trillion Moja Tu, acheni Propaganda
Huelewi chochote inavyoonekana..wewe ni mmoja kati ya watu wa kuwahurumia tanzania.. mipango ya standard gauge railway ilikuwepo kabla hata ya Magu kudhaniwa kuwa rais.. kukopa kupo palepale..we ni mjing namba moja, ukiangalia deni tunalipa zaidi ya b800 halafu tuendelee kukopa?
Huelewi chochote inavyoonekana..wewe ni mmoja kati ya watu wa kuwahurumia tanzania.. mipango ya standard gauge railway ilikuwepo kabla hata ya Magu kudhaniwa kuwa rais.. kukopa kupo palepale..
Uwe unafuatilia mambo kabla ya kuleta makanyagio hapa
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaammimi nadhani tukiimalisha taasisi za kifedha za ndani kama NSSF,PSPF,TASAF, n.k. tutakuwa na uwezo wa kukopa ndani kwenye mifuko hii ambapo tutapunguza utegemezi wa kukopa nje.madeni yakilipwa yote madeni yatashuka hadi bn 700. halafu mbona hatuoni impact ya makusanyo hayo?
Huyo jamaa ni mpuuzi, watu wa namna hii tusihangaike nao kabisa maana hawana mawazo yoyote chanya. Wanakosoa lakini hawasemi mbadala au uboreshaji, tuwaache tu watatuchelewesha hawaKinachoshangaza wewe unafahamu ni story lakini huchoki kuzisoma na kutoa comment!
Kwani huna suala lingine la kufanya ili uachane na stories from the same people?
ni haki yao waniletee walau mara moja kwa mwaka. Si nalipa kodi? Au nalipa kodi kujifurahisha nakuwafurahishaWewe kaa ndani subiri uletewe kiroba cha mchele nyumbani kwako lakini serikali inafanya kwa nafasi yake wewe unayetaka mpaka uletewe vitumbua shauri yako.
SERIKALI imeendelea kupaa katika ukusanyaji wa mapato baada ya kukusanya hadi Sh trilioni 1.79, ambazo imezipeleka katika huduma za jamii, ikiwamo elimu, maji, miundombinu na miradi ya maendeleo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dk Servacius Likwelile alisema hayo jana wakati akitoa taarifa ya hali ya mapato kwa kipindi cha Februari mwaka huu. Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata alisema makusanyo yameongeza kutoka Sh trilioni 1.2 Desemba hadi Sh trilioni 1.79 Januari.
Kabla ya Oktoba mwaka jana, makusanyo hayo hayakuzidi Sh bilioni 900 kwa mwezi. Dk Likwelile alitaja maeneo ambayo fedha hizo zimeelekezwa ni kwa Mamlaka ya Elimu (TEA) iliyopewa Sh bilioni 23.078; Sh bilioni 18.7 zinatekeleza utoaji wa elimu bure kwa wanafunzi wa shule za awali, msingi hadi kidato cha nne kwa ajili ya ada, chakula na ruzuku.
Aidha, Sh bilioni 13 zimeelekezwa kwenye mikopo ya elimu ya juu na Sh bilioni moja zitatumika kujengea uwezo walimu walio masomoni na wakufunzi wao. Pia Sh bilioni mbili zimeelekezwa kupanua udahili katika mkoa wa Dar es Salaam kama Rais John Magufuli alivyoahidi katika mkutano wake na wazee wa mkoa huo.
Dk Likwelile alitaja maeneo mengine yaliyonufaika na fedha hizo na shilingi kwenye mabano ni Mpango wa Maji Vijijini (bilioni 17.1), maendeleo ya ujenzi wa barabara (bilioni 58.8), miradi ya umeme vijijini (bilioni 20.2), reli (bilioni 2.034) Serikali za Mitaa (bilioni 4.5), na Mahakama zimepatiwa Sh bilioni 12.3.
Wakati huo huo imeelezwa kuwa makusanyo yameongeza kutoka Sh trilioni 1.2 Desemba hadi Sh trilioni 1.79 Januari. Kabla ya Oktoba mwaka jana, makusanyo hayo hayakuzidi Sh bilioni 900 kwa mwezi. Aidha, Dk Likwelile alisema ili kuwajengea uwezo walimu walio masomoni na wakufunzi wao, Wizara imetoa Sh bilioni 1.65 kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo.
Kati ya fedha hizo, wakufunzi wamepatiwa Sh milioni 431.6, walimu walio masomoni wametengewa Sh milioni 249.2 kwa ajili ya vifaa vya kufundishia, posho na nauli. Alisema kuwa fedha nyingine kati ya hizo, kiasi cha Sh bilioni 573.7 zimetolewa kwa ajili ya ishahara ya watumishi wa umma na ulipaji wa deni la taifa kwa mwezi huu zimetolewa Sh bilioni 842.1 na mifuko ya hifadhi za jamii Sh bilioni 81.13.
Aidha kiasi kilichotolewa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo ni Sh bilioni 166.2 huku Chuo kipya cha Sayansi ya Tiba kilicho katika hatua ya ujenzi cha Mloganzila huko Kibamba, nje ya Jiji la Dar es Salaam, kimepatiwa Sh bilioni 18.
Chanzo: Habarileo
That guy alikuwa na guts na kiburi cha kupanda majukwaani na kuwaaminsha Watanzania kwamba amefakiwa kukusanya kodi kwa wastani wa Bil.900 kwa mwezi bila aibu. Leo hii JPM anakusanya mara mbili yake na yuko madarakani robo mwaka. Kwa nini asishitakiwe kwa treason!SERIKALI imeendelea kupaa katika ukusanyaji wa mapato baada ya kukusanya hadi Sh trilioni 1.79, ambazo imezipeleka katika huduma za jamii, ikiwamo elimu, maji, miundombinu na miradi ya maendeleo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dk Servacius Likwelile alisema hayo jana wakati akitoa taarifa ya hali ya mapato kwa kipindi cha Februari mwaka huu. Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata alisema makusanyo yameongeza kutoka Sh trilioni 1.2 Desemba hadi Sh trilioni 1.79 Januari.
Kabla ya Oktoba mwaka jana, makusanyo hayo hayakuzidi Sh bilioni 900 kwa mwezi. Dk Likwelile alitaja maeneo ambayo fedha hizo zimeelekezwa ni kwa Mamlaka ya Elimu (TEA) iliyopewa Sh bilioni 23.078; Sh bilioni 18.7 zinatekeleza utoaji wa elimu bure kwa wanafunzi wa shule za awali, msingi hadi kidato cha nne kwa ajili ya ada, chakula na ruzuku.
Aidha, Sh bilioni 13 zimeelekezwa kwenye mikopo ya elimu ya juu na Sh bilioni moja zitatumika kujengea uwezo walimu walio masomoni na wakufunzi wao. Pia Sh bilioni mbili zimeelekezwa kupanua udahili katika mkoa wa Dar es Salaam kama Rais John Magufuli alivyoahidi katika mkutano wake na wazee wa mkoa huo.
Dk Likwelile alitaja maeneo mengine yaliyonufaika na fedha hizo na shilingi kwenye mabano ni Mpango wa Maji Vijijini (bilioni 17.1), maendeleo ya ujenzi wa barabara (bilioni 58.8), miradi ya umeme vijijini (bilioni 20.2), reli (bilioni 2.034) Serikali za Mitaa (bilioni 4.5), na Mahakama zimepatiwa Sh bilioni 12.3.
Wakati huo huo imeelezwa kuwa makusanyo yameongeza kutoka Sh trilioni 1.2 Desemba hadi Sh trilioni 1.79 Januari. Kabla ya Oktoba mwaka jana, makusanyo hayo hayakuzidi Sh bilioni 900 kwa mwezi. Aidha, Dk Likwelile alisema ili kuwajengea uwezo walimu walio masomoni na wakufunzi wao, Wizara imetoa Sh bilioni 1.65 kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo.
Kati ya fedha hizo, wakufunzi wamepatiwa Sh milioni 431.6, walimu walio masomoni wametengewa Sh milioni 249.2 kwa ajili ya vifaa vya kufundishia, posho na nauli. Alisema kuwa fedha nyingine kati ya hizo, kiasi cha Sh bilioni 573.7 zimetolewa kwa ajili ya ishahara ya watumishi wa umma na ulipaji wa deni la taifa kwa mwezi huu zimetolewa Sh bilioni 842.1 na mifuko ya hifadhi za jamii Sh bilioni 81.13.
Aidha kiasi kilichotolewa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo ni Sh bilioni 166.2 huku Chuo kipya cha Sayansi ya Tiba kilicho katika hatua ya ujenzi cha Mloganzila huko Kibamba, nje ya Jiji la Dar es Salaam, kimepatiwa Sh bilioni 18.
Chanzo: Habarileo