Itakua shida kama ni kweli tulipewa takwimu za uongo. Watu tulishafurahi sana. Anyway majipu yaendelee kutumbuliwa nidhamu itarejea na makusanyo ya kodi yatapanda.Hivi hizi taarifa kila siku zinabadilika? Mbona leo wanasema wamekusanya trilioni moja tu?
Sasa wanasema January walikusanya trilioni 1.07 na February 1.02.
Mbona tofauti ni kubwa sana na hiyo 1.79 trilioni waliyoisema mwanzoni?
Kuna sarakasi katika utoaji wa hizi taarifa.