Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
Kuna mapropagandist wapo tu ili serikali ipewe sifaTuliambiwa November 1.4 Trilioni
December 1.6 Trillioni
January 1 Trillion
Leo wanatwambia 1.7 Trillion, mbona basi Figure hazitally?
Je Huyo ng'ombe mnayemkamua mnampa majani? au mnaenjoy kukamua tu.
Sera ya Serikali inabidi iwe kuwakuza wajasiriamali na siyo kuwakamua tu