TRA yakusanya kwa mwezi trilioni 1.7

TRA yakusanya kwa mwezi trilioni 1.7

Kwa tax base iliyopo ni impossible kukusanya 1.79 trillion kwa mwezi..... Hizi ni siasa kumfurahisha bwana mkubwa.

Watanzania tuache siasa tufanye kazi.
 
nategemea inflation kwenye real estate ishuke. watu walikuwa wanataja bei za kufuru huku wanajichokonoa meno, kumbe kuna bilioni 800 zipo mtaani kimagumashi.
 
Kwa tax base iliyopo ni impossible kukusanya 1.79 trillion kwa mwezi..... Hizi ni siasa kumfurahisha bwana mkubwa.

Watanzania tuache siasa tufanye kazi.
kwa hiyo ilitakiwa wakusanye ngapi?
 
Kwa tax base iliyopo ni impossible kukusanya 1.79 trillion kwa mwezi..... Hizi ni siasa kumfurahisha bwana mkubwa.

Watanzania tuache siasa tufanye kazi.
Hivi uncle Ruckus ni trilion 1.79 au ni 1.079 ,hii nchi kila kitu ni siasa tu huyo aliyetoa hiyo figure ameudanganya uma
 
jana tumeambiwa eti mwezi huu serikali imeshakusanya trilion 1.79 takwimu hizi zinamaanisha kwamba huenda tukafikisha trilion 2 mpaka mwisho wa mwezi kama sikosei kwakweli hizi takwimu ni tamu sana maskioni ila kiukweli mimi sioni zikigusa maisha yangu binafsi coz katika manunuzi yangu yote sioni niwapi hayo makusanyo yameleta unafuu kwani bado nanunua unga 1200 kg maharage 2400 kg sukari 2200 kg petrol desel kerosene around 2000 nauli ya daladala bado ipo palepale cement 14000 mkaa 45000 mshahara wangu uko palepale kimsingi nimefanya taathini ya manunuzi yangu yote hakuna kitu ambacho nimepata unafuu wa bei kulinganisha na awamu iliyopita sasa hili ongezeko linaninufaishaje mimi kama si sifa za kijinga!!
 
jana tumeambiwa eti mwezi huu serikali imeshakusanya trilion 1.79 takwimu hizi zinamaanisha kwamba huenda tukafikisha trilion 2 mpaka mwisho wa mwezi kama sikosei kwakweli hizi takwimu ni tamu sana maskioni ila kiukweli mimi sioni zikigusa maisha yangu binafsi coz katika manunuzi yangu yote sioni niwapi hayo makusanyo yameleta unafuu kwani bado nanunua unga 1200 kg maharage 2400 kg sukari 2200 kg petrol desel kerosene around 2000 nauli ya daladala bado ipo palepale cement 14000 mkaa 45000 mshahara wangu uko palepale kimsingi nimefanya taathini ya manunuzi yangu yote hakuna kitu ambacho nimepata unafuu wa bei kulinganisha na awamu iliyopita sasa hili ongezeko linaninufaishaje mimi kama si sifa za kijinga!!

Wewe ulitaka revenue revenue collection ya TRA ikanunue unga na mkaa nyumbani kwako? Mapato ya serikali yanafanya kazi za nchi kama Usalama, Barabara, Huduma za Afya, Huduma za Elimu etc. Huduma hizi zikishaboreshwa wewe unaweza kufanya kazi more efficiently na kuwa productive na tija yako kuongezeka. Its is not a matter of a minute its should take time
 
jana tumeambiwa eti mwezi huu serikali imeshakusanya trilion 1.79 takwimu hizi zinamaanisha kwamba huenda tukafikisha trilion 2 mpaka mwisho wa mwezi kama sikosei kwakweli hizi takwimu ni tamu sana maskioni ila kiukweli mimi sioni zikigusa maisha yangu binafsi coz katika manunuzi yangu yote sioni niwapi hayo makusanyo yameleta unafuu kwani bado nanunua unga 1200 kg maharage 2400 kg sukari 2200 kg petrol desel kerosene around 2000 nauli ya daladala bado ipo palepale cement 14000 mkaa 45000 mshahara wangu uko palepale kimsingi nimefanya taathini ya manunuzi yangu yote hakuna kitu ambacho nimepata unafuu wa bei kulinganisha na awamu iliyopita sasa hili ongezeko linaninufaishaje mimi kama si sifa za kijinga!!
Kwan philosophy yako ni ipi katika kuona serikali inafanya kazi?
 
HAKUNA SIFA ZA KIJINGA ILA LABDA WEWE NDIO MJINGA!!!! Tafakari!!! Serikali haigawi hela kwa wananchi wake!!!!

Queen Esther

jana tumeambiwa eti mwezi huu serikali imeshakusanya trilion 1.79 takwimu hizi zinamaanisha kwamba huenda tukafikisha trilion 2 mpaka mwisho wa mwezi kama sikosei kwakweli hizi takwimu ni tamu sana maskioni ila kiukweli mimi sioni zikigusa maisha yangu binafsi coz katika manunuzi yangu yote sioni niwapi hayo makusanyo yameleta unafuu kwani bado nanunua unga 1200 kg maharage 2400 kg sukari 2200 kg petrol desel kerosene around 2000 nauli ya daladala bado ipo palepale cement 14000 mkaa 45000 mshahara wangu uko palepale kimsingi nimefanya taathini ya manunuzi yangu yote hakuna kitu ambacho nimepata unafuu wa bei kulinganisha na awamu iliyopita sasa hili ongezeko linaninufaishaje mimi kama si sifa za kijinga!!
 
Mabadiliko huwezi kuyaona saa hii,atleast miaka mbili
 
Kwa mujibu wa Azam tv news .....Likwelile aliongelea makusanyo kuwa ni Trln 1.079 na na sio hiyo ya kutoka habari leo ua Trln 1.7
Wewe nyumba hivi 580bil +843bili unapata ngapi ulipata zero form four wewe
 
hawa TEA ndio nani na wanafit vp kwenye system za Tamisemi na Wizara ya Elimu? kweli mabadiliko sio kuzungusha mikono, watanzaniia tungejuta!
mkuu hujui TEA(mamlaka ya Elimu Tanzania) ww mkenya au Mganda
 
Itachukua muda gani hadi mama anayeuza Bamia kule Tandale kwa Mtogole aone matunda ya ongezeko la ukusanyaji wa Kodi!?
Uulitaka ichue muda gani???? imechukua muda gani wewe kuweza kuingia humu JF ???development is not instant changes
 
Magufuli tumbua hili
Jipu.


MSHAHARA & MARUPURUPU YA MBUNGE wa TANZANIA


1. Mshahara = 3,400,000/=

2. Posho ya Jimbo, Gharama za ofisi, Mafuta, Wasaidizi = 8,200,000/=

Jumla =11,600,000/= kwa mwezi.


KIKAO BUNGENI
1. Posho = 80,000/=
2. Mafuta =50,000/=
3. Kikao =200,000/=
Jumla = 330,000/ kwa siku.

NB
"Posho ya siku ya mbunge ni mara mbili ya kima cha chini cha Mshahara ambacho ni 150,000/=.


Kwa msaada wa Mtandao na Magazeti.
 
teh teh teh teh Mtu muongo anatakiwa awe na kumbukumbu...

Too bad hata kumbukumbu za kwenye vitabu vya mahesabu zinawashinda..

Tuwaache waendelee kupika makusanyo ila muda haudanganyi... Alafu kitu kingine kinachonishangaza ni makusanyo ya January kutangazwa February 23.. Sasa hatujui hii imekaaje..
Acha ujinga wewe yumbu hebu leta data za makusayo ambazo ni verified hapa
 
Kwa tax base iliyopo ni impossible kukusanya 1.79 trillion kwa mwezi..... Hizi ni siasa kumfurahisha bwana mkubwa.

Watanzania tuache siasa tufanye kazi.


Hawa tunawaita "Romantic Economist"



Raisi anasema wamekusanya 1Trilioni wao wanasema 1.79Trilionin
 
Back
Top Bottom