ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,746
Wakuu m email Wameni2mia sasa hv
hongera mkuu mimi pia, ila wale wadada walionipigia simu wameniingiza cha kike, waliniambia custom barua imandikwa tax ..........
Wakuu m email Wameni2mia sasa hv
Nenda kafanye ile uliyokuwa umeaplywakuu jana na mimi nimepigiwa nikaambiwa nimechaguliwa kwa post ya assistant tax officer, sasa leo asubuh nimepigiwa na dada mwingine kaniambia amenitafuta tangu juzi anipati na kuwa nimechaguliwa kwa post ya assistant custom officer.
ila nimechungulia ka email kangu nimetumiwa ka barua ka assistant tax officer. wamenichanganya
niliomba zote mkuuNenda kafanye ile uliyokuwa umeaply
wengine tumeaply hatujaitwa,hatujafikia vigezo nini ?Habari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA
Updates
Kwa wale waliokua na wasiwasi kuhusu barua tayari TRA wameishatuma kwenye email zenu angalieni
kweli umeota nadhani ongezea na mbolea kabisaBREAKING NEWS??????Interview ya TRA kufutwa:Baada ya kuota jana usiku.
Kama zinafanyika muda tofauti fanya zote braza.wakuu jana na mimi nimepigiwa nikaambiwa nimechaguliwa kwa post ya assistant tax officer, sasa leo asubuh nimepigiwa na dada mwingine kaniambia amenitafuta tangu juzi anipati na kuwa nimechaguliwa kwa post ya assistant custom officer.
ila nimechungulia ka email kangu nimetumiwa ka barua ka assistant tax officer. wamenichanganya
Kwahiyo atafanye?Mke wangu /Mama yenu mdogo ametumiwa Email ila simu hakupigiwa.
teh tehLeo TRA wamenipigia Simu nimefurahi sana hiki kitu nimekisubiria mda mrefu nimeruka ruka sana kwa furaha Kwa kweri Mungu ni mwema na Wewe atakusaidia Leo ndo nimepigiwa simu Nikachukue TIN number.
kwa nini mkuu au rate ya vijana kutangaza kama wameitwa imepunguaHii interview ya sahiv inaonekana haitakuwa na nyomi kama kijiji..
au upper second na first class pia ni kgezo kinchochangia wawe wachache?Hii interview ya sahiv inaonekana haitakuwa na nyomi kama kijiji..