Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 10,063
- 14,697
Binafsi nashangazwa sana na Maswali ambayo mnajaribu Kubashili mimi siwezi kutoa swali mboga kiasi hicho Kipimo cha Ufaulu kitakua nini?Habari, nani anakumbuka duties and responsibilities za assistant custom officer maana nikitambo toka hizo post zitoke na zimesahaulika. mwenye nazo please azi-apload....
Kwa kukusaidia naweza kutoa haya hapa.
1. Tax Administration
2. Concept of Double Taxation and Tax evasion
TUMIA East African Community Custom Management Act (EACCMA)
4. Prohibited goods and Restricted goods as Used in Tax law.
Hapa hebu pitia
PART 3 Section 18-20 Soma Section 39
PART 5 Section 70,71,72,82
PART 12 Hebu soma section Zote hapa. Section 149-159
PART 17 Najua inatia Uvivu but you never know nitatoa wapi soma yote.
Part 18, 19, 20
VAT Act of 1997
Nitazidi kukupa maswali mengine Kadri unavyoyaelewa hayo. Mtihani hautakua Rahisi