TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

hv wale wa Diploma walio fanya oral interview kwa upande wa tax ass..wamesha anza kuita au bado...napenda kujua
 
kwa upande wa records wameanza kuitwa kulipoti kazin waliofanya interview mwez wa6 mwaka huu
 
Si tulifanya mwezi huu tarehe 5 ..TRA...mi nili piga post ya tax assistant
 
Jaman mwenye taarifa kuhusu interview iliyofanyika tarehe 5 TRA chuo cha kodi...
 
Back
Top Bottom