TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

teh teh teh.mkuu hapa me mwenyewe nilitegemea kuitwa ila naona chenga tu,yani naona kama vile nimeishapigwa chini kama rafiki yako perry.
Wewe si ndo Unaitaga mkuu ndo maana nimekuuliza!
 
  • Thanks
Reactions: irk
teh teh teh.mkuu hapa me mwenyewe nilitegemea kuitwa ila naona chenga tu,yani naona kama vile nimeishapigwa chini kama rafiki yako perry.
Wewe si ndo Unaitaga mkuu ndo maana nimekuuliza!
 
Sina hakika na hizo post kwa sababu zilitoka baadaye, hizi walizoanza kuwapigia watu ni zile zinazo anza na assitant tax officer, assistant preventive officer, assistant customer officer hizi zilitoka mwaka jana
Sio Customer officer ni customs officer
 
TRA wanaita siku ya Tatizo la Umeme I love my Country!!!! Hivi ndo kinanifanya niendelee kuishi Tanzania.
 
mimi pia nimepgiwa simu leo, wenye Madesa ............. wayamwage hapa.
 
Jamani kuna wale tulifanya usahili january tarehr 11 kwa nafasi za IT Hivi washaitwa kwenye oral maana kimya kingi sana.wadau kama kuna aliyeitwa atupe taarifa
 
Back
Top Bottom