TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

Onyo:-Wale ambao mna tabia ya kubadili simu na namba imekula kwenu,Pili,wale ambao mda wa mchana mpo kwenye bando na simu ipo busy ikipigwa na ofisa wa TRA akiambiwa busy hapigi tena
 
Onyo:-Wale ambao mna tabia ya kubadili simu na namba imekula kwenu,Pili,wale ambao mda wa mchana mpo kwenye bando na simu ipo busy ikipigwa na ofisa wa TRA akiambiwa busy hapigi tena
Bora umewapa angalizo mkuu
 
Leo TRA wamenipigia Simu nimefurahi sana hiki kitu nimekisubiria mda mrefu nimeruka ruka sana kwa furaha Kwa kweri Mungu ni mwema na Wewe atakusaidia Leo ndo nimepigiwa simu Nikachukue TIN number.
Teh teh teh kweli kwenye wengi kuna mengi
 
Leo TRA wamenipigia Simu nimefurahi sana hiki kitu nimekisubiria mda mrefu nimeruka ruka sana kwa furaha Kwa kweri Mungu ni mwema na Wewe atakusaidia Leo ndo nimepigiwa simu Nikachukue TIN number.
ok,ngoja nasi tuwe karibu na simu
 
Habari wadau, poleni na majukumu, hatimaye TRA wameanza kuita watu kwa usaili utakaofanyika tarehe 11 bunju Ilipo NBAA
Habari, nani anakumbuka duties and responsibilities za assistant custom officer maana nikitambo toka hizo post zitoke na zimesahaulika. mwenye nazo please azi-apload....
 
wakuu ni kweli kuna dogo wangu kapigiwa leo, ila kaambiwa tarehe kumi na tatu, embu tujuzane kwa iyo tarehe
Mkuu huyo dogo wako kaambiwa tarehe 13 kwa post gani na interview yake itafanyika wapi?
 
Habari, nani anakumbuka duties and responsibilities za assistant custom officer maana nikitambo toka hizo post zitoke na zimesahaulika. mwenye nazo please azi-apload....

mkuu zilizoitwa ni Assistant custom officer au Assistant Customer officer?? ............
 
Customs officer, rudia kusoma vizuri

sio kwamba nasema yeye ndio amekosea hapana, nauliza post zilizoitwa ni custom au customer? mana km zile za mwanzo2015 zilikuaga customer au nilisomaga vibaya .............. vipi umeshapata email?
 
Kwa mwenyekujua plz!
Nikitokea MWENGE nitafikaje kwenye hayo majengo ya NBAA?
 
Kuna ambaye ameitwa nafasi ya assistant tax officer? mlioitwa tupeane info ili interview tuikabili vizuri
 
unapanda daladala za Bunju unaomba wakushushie kituo kinaitwa mianzini .............. ukishuka hapo utaulizia tu.
 
Back
Top Bottom